Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Kutoka GEITA-Tanzania, napenda kuiomba mamlaka ya ufundi Stadi Veta kurekebisha mifumo yao ya matokeo wanachelewesha mno, yani toka mwezi December 2025, tulifanya Mitihani ya CBA na NABE mpaka...
0 Reactions
1 Replies
143 Views
VETA HQ Tunaomba Wizara ya Elimu na Bunge itusaidie kujua kuhusu Utaratibu wa kupata Vyeti Mbadala Kwa level 2 na level 3 Maana kila Tukifatilia VETA Makao Makuu Tunaambiwa Wanasubiri Sheria...
0 Reactions
1 Replies
120 Views
Leo nlikuwa napitia baadhi ya mitihani yangu ya shule ya Chekechea nimekumbuka sana wadau au classmates zangu wa Chekechea katika kindergarten ya Step Up Nursery School, tulikuwa tunavaa shati za...
1 Reactions
6 Replies
111 Views
Je, unahitaji mwalimu bora wa kumfundisha mwanao nyumbani? Sisi tupo kwa ajili yako! Tunatoa huduma za Home Tuition kwa wanafunzi wa: ✅ Nursery & Kindergarten ✅ Standard I–VII ✅ Form I–VI ✅ Vyuo...
1 Reactions
3 Replies
82 Views
Kwa wale tunaotoka DIPLOMA Kwenda DEGREE , Mwenye changamoto yoyote inayohusiana NA jinsi ya Kupata AVN NUMBER Nicheki kwa namba Hizi Tusaidiane
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Naitwa Mr Avn number solutions kwa Tatizo lolote La Avn number unalokutana nao lol wakati WA maombi karibu the Mt online stationary Tukuhudumie 0622569980 ✅ Tunafanya maombi ya Avn number ✅...
0 Reactions
2 Replies
76 Views
👉Habari tunafanya application za Maombi ya leseni za Afya Clinical medicine Hprs, Pamoja na Avn number, 👉Pia Application za Vyuo 👉 Application za Maombi ya Mkopo WA elimu ya juu 👉 Application za...
0 Reactions
1 Replies
91 Views
Naomba kufahamu kama kuna tofauti yoyote kati ya Ordinary Diploma in Medical Clinical Officers na Diploma in Medical Clinical Officers. Pia, je, HESLB inatoa mikopo kwa wanafunzi waliohitimu...
0 Reactions
3 Replies
157 Views
Anonymous
Naomba mnisaidie kupaza sauti kuhusu changamoto inayowakabili wahitimu wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (IAE), hususan wanafunzi wa Diploma in Adult Education. Mimi ni mwalimu niliye kazini...
0 Reactions
0 Replies
111 Views
Vyuo vingi vya makanisa vimepteza dira, zamani vilikuwa vinagusia masomo ya dini lakini sikuhizi vimefuta. havina utofauti na vyuo visivyo vya dini. Kwa upande wa wasabato niwapongeze kwa...
6 Reactions
10 Replies
722 Views
G.S lilikuwa somo la ajabu sana kwenye ufaulu unaweza kupiga points 3 ila G.S ukawa na S ila madogo wa siku hizi wanapiga mpaka B G.S nimeshangaa sana. Madogo mliopiga paper mwaka huu la G.S...
3 Reactions
23 Replies
277 Views
Anonymous
Hello Nina mwanangu ambae Siku zote alikua na ndoto za kusomea Diploma ya uuguzi. Lakini kutokana na kukosa vigezo Ikabidi ahangaike kutafuta D za masomo ya Sayansi kwa Miaka miwili mpaka...
2 Reactions
13 Replies
453 Views
Anonymous
Habari za kazi. Naomba kuwasilisha changamoto inayowakabili wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA) kuhusu ada kuelekea mitihani ya mwisho ya muhula wa pili wa masomo, inayotarajiwa kuanza...
0 Reactions
0 Replies
87 Views
NACTE na HESLB, mbona hampokei simu wala kujibu barua pepe? Kama huduma hizo hazitumiki, ni bora mziondoe kuliko kuwaacha wananchi wakipoteza muda wakijaribu kuwasiliana nanyi bila mafanikio.
0 Reactions
0 Replies
47 Views
Nazungumza hapa nikiwa ni mmoja wa wanaofuatilia suala hili na ninaomba mamlaka husika zilichunguze kwa kina, baadhi ya wanafunzi wa University of Dar es Salaam (UDSM) tuliingiziwa fedha za mkopo...
7 Reactions
58 Replies
1K Views
Mtihani wa kidato cha sita, takwimu zinaonesha kuwa ufaulu kwa watahiniwa wa shule ni asilimia 99.9, ambapo watahiniwa 125,056 kati ya 125,320 wamefaulu kwa kupata madaraja ya I, 2, 3 na 4."...
1 Reactions
20 Replies
543 Views
Wanafunzi wa CBE campus ya Dodoma NTA LEVEL 4, 5 na 6 tupo kwenye preparation week kwaajili ya mtihani wa kumaliza semister ya pili ila course work hatujapata na baadhi ya waalimu hawajakamilisha...
0 Reactions
0 Replies
61 Views
Anonymous
Bodi ya mikopo imekuja na mfumo tofauti tunapata changamoto kwenye upande WA disability form ukiwa unaomba wanahitaji reference number wakati hizo hatuna tunatumia form kutoka kwa DMO au RMO...
0 Reactions
1 Replies
83 Views
Huyu dogo alimaliza form six mwaka 2016 akafeli, sasa karudia sahivi kafaulu ana mawazo eti ataweza, pewa mkopo mana kwao hawana uwezo na anataka kusoma md, nikamwambia ngoja niulize wadau.
0 Reactions
15 Replies
221 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…