Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
231
Posts
7.2K
Threads
231
Posts
7.2K

JF Prefixes:

Habari wadau, nahitaji kujuzwa kiukweli.. kuhusu biashara ya mtandao km vile forever living. ni kweli inakuwa na faida ulilinganisha na biashata zingine km kuuza duka?
0 Reactions
1 Replies
912 Views
wadau mimi ni mtumishi nataka kuchukua mkopo, ni benki ipi kwa sasa yenye riba nafuu tanzania?
0 Reactions
0 Replies
712 Views
Nahitaji combine harvester kwa ajili ya kuvunia mpunga ya aina niliyo itaja hapo juu.Nime ulizia hapa bongo bei yake ni kati ya milioni 75-85 kupitia kwa agent wao na sellers wengine wa mashine za...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wadau naomba kuuliza mtu ukitaka kufungua stationery unatakiwa uwe na minmum kam sh ngapi kwa kianzio hiyo inajumuisha na kodi ya pango kwa maeneo ya arusha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Redirect
Hebu wakuu niambieni nani ndo bilionea (mtu binafsi ama taasisi binafsi) wetu number one Tanzania? Wale wazungu wasitupangie nani tajiri namba moja nchini kwetu. Hebu wenyewe tujadili kati ya...
0 Reactions
Replies
Views
Millions of mobile phone users face higher monthly bills after Ofcom TREBLES the fee for using 3G and 4G networks Independent regulator and competition authority for the UK communications...
0 Reactions
3 Replies
850 Views
Goodevening ladies & gentlemen! Disclaimer: I admit that this thread is of ultimate importance and genuine to my best knowledge. Despite long-term efforts of starting an advertising agency...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari humu, Nina wazo bora na nimepata tender ya biashara pale QUALITY CENTRE MALL. Wazo lenyewe ni kufungua PLAYSTATION AND XBOX GAMES STUDIO pale Quality centre, Funspot. Mpaka sasa nimeshapata...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish This pair initially moved upwards last week, but it could not reach the resistance line at 1.1500 before it got corrected...
0 Reactions
0 Replies
392 Views
Tanzania: TPDC hints at grand ambitions for Natural Gas Master Plan While the oil prices mean that many decisions on East African oil and gas developments appear to be on hold for now, our East...
0 Reactions
0 Replies
882 Views
Hbr mwana Jf, naomba kujua bei ya gunia la mchele kwa dar, ili nifanye arrangement za ujasiriamali mkuu, ahsante,
0 Reactions
1 Replies
4K Views
JF habari zenu nani anaweza kunisaidia mkopo niko mwanza???please
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Bilionea Mtanzania Mohamed Dewji huenda akaikwaa tuzo ya 2015 person of the Year ya FORBES iwapo kura zitatosha. yeye ni miongoni mwa nominees watano waliofikia fainali. Ukitaka kumpigia kura...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Siku ya tarehe 10 October 2015 Historia itaandikwa katika Manispaa ya Mtwara na Afrika Mashariki ni pale kiwanda kikubwa cha uzalishaji wa Siment Afrika Mashariki na Kati kitakapofunguliwa na Mh:-...
3 Reactions
13 Replies
5K Views
Wadau mambo vipi? Kwa wale wenyeuzoefu na taalumu katika swala la makampuni ninaomba nijuzwe ni jinsi gani ninaweza fungua kampuni na taratibu zote zinazotakiwa pamoja na mambo ya share holders..
0 Reactions
7 Replies
1K Views
KENYA YAWEKEZAJI DOLA ZA KIMAREKANI, MILIONI $1.685, TANZANIA, KATIKA MIRADI 518 KUPITIA KITUO CHA UWEKEZAJI. Taarifa hii ni kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za mchana huu wana jukwaa, poleni sana na mikikimikiki ya siasa, nahitaji mtu ambae anafaham microfince yoyote ile yenye masharti nafuu kidogo kwa mkopaji, ntashukuru sana kwa atakae nipa...
0 Reactions
6 Replies
852 Views
USDJPY = Buy AUDJPY = Buy CADJPY = Buy CHFJPY = Buy EURJPY = Buy GBPJPY = Buy NZDJPY = Buy NB: Every trade could be entered with a stop loss of 100 pips and a take profit of 200...
0 Reactions
0 Replies
586 Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish EURUSD went north last week, closing above the support line at 1.1350. This seems to have ended the recent choppy...
0 Reactions
1 Replies
647 Views
Kama una CRDB Visa Card, na ulikuwa unafikiria kuitumia kwenye internet, basi usithubutu kutia sahihi kuiwezesha kutumika mtandaoni (ila kama tu unajua unachokifanya). CRDB wametoa card mpya...
0 Reactions
85 Replies
20K Views
Back
Top Bottom