Mimi nafutilia kwa karibu sana utendaji kazi wa benki zenye sura halisi za kitanzania kwani ni una uhakika faida itayopatikana haitoki nje kama mabenki mengine.Kwa siku za karibuni baadhi ya...
HABAR WAKUUU,
Nnaomba msaada kwa anaejua ni njia zipi nizitumie kupata Tin number ya TRA kwa ajili ya kampuni, nmesajili kampuni brela la usambazaji wa vifaaa, nnahitaj nipate TIN ya mlipa kodi...
Heres the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
Though this pair was trendless in the first few days of last week, it was characterized by high volatility on Thursday and...
Amani iwe kwenu wana J.F.
Nataka kuagiza gari toka Japan, IST, 1290cc, ya mwaka 2006. Naombeni msaada wa gharama halisi za kutoa gari bandarini (Dar) hadi uwanjani kwangu.
Nawasilisha.
Hello!
Ninafanya research nahitaji kuanzisha biashara ya kuendesha photo studio nje ya mkoa wa dar es salaam,kwani nimegundua kuwa eneo ninalotaka kuanzisha biashara hiyo lina wateja wengi lakini...
Balaa la ongezeko la bei na kushuka kwa thamani ya fedha dhidi ya dola ni msiba wa afrika mashariki....inaonekana tunafuata nyayo za Zimbabwe....tulihoji inakuwaje tulipoletewa sarafu ya 500...
Manji ampiga bao Dangote Afrika
 Burudani
 September 16th, 2015
 0 Comments
Mwenyekiti wa Makampuni ya
Quality Group, Yusuf Manji.
Mwandishi Wetu,Dar es Salaam...
Ive not failed. Ive just found 10,000 ways that wont work. Thomas Edison
If trading is only about money, you have very little chance of success. Dr. Van. K. Tharp
In recent times...
Nimefungua ofisi yangu ndogo mtaani. Lengo langu ni kutoa huduma za kuwezesha biashara (Business supporting services). Mimi ni mshauri wa IT (IT consultant) lakini pia kutokana na uzoefu najua...
Habari wana JF
Kwanza napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa msaada nilioupata baada ya kuomba wataalamu wa ramani za nyumba, wabarikiwe kwa wale wote waliochukua muda wao na kuwasiliana na...
I was amazed to hear this news from the equity fund Grofin which offers loans for small and medium enterprise firms.
You can borrow from 50000dollars to 1.5mill dollars.
Payable within 4 and 6...
Karibu kwenye fursa Network marketing isiyohusisha kuuza. Ni network marketing pekee duniani isiyo lazimisha members wake kuuza bidhaa.Kama ni mtu mwenye ndoto kubwa,mchapa kazi na unaependa...
Insignia increases focus on education.
As corporate social responsibility (CSR) turns into a legal mandate in some countries and an option to various countries, various researchers have discovered...
Natanguliza salaam wakuu,
Ndugu naomba mwana JF yeyote anayeishi New York nimuombe kufanya nae assignment/info ya muda mfupi.
+1-202-790-8514 au PM.
Ahsante na natanguliza shukurani.
Rakey.
Wakuu poleni na mahangaiko ya hapa na pale,
Naitaji gari la mkopo. Kama kuna mtu anajua yadi wanayokopesha magari kila mwez ukawa unalipa nitashukuru saaana na mashart yake.
Kama unajua...
Ndugu wana JF
Mimi npo Dar nnahitaji biashara ambayo tayari inaendelea iwe ndogo ama kubwa tutaelewana
Labda kwa nn nahitaji;-
-ntapata experience
-ntajua changamoto zake
Heres the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
As it was mentioned in the last forecast, bulls made effort to push EURUSD upwards, and they were successful in doing...
Kampuni ya Nakumat ya Kenya inakamilisha mchakato wa kuinunua kampuni ya Shoprite Tanzania, yenye maduka matatu nchini. Hii imekaaje? Watanzania tumeshindwa kuingia kwenye retail business? Hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.