fukunyungu
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 717
- 194
Habari za mchana huu wana jukwaa, poleni sana na mikikimikiki ya siasa, nahitaji mtu ambae anafaham microfince yoyote ile yenye masharti nafuu kidogo kwa mkopaji, ntashukuru sana kwa atakae nipa hzo taarifa, na awe na experince mfano kama kuna jamaa yake au yeye mwenyewe amewahi kukopa kwenye hiyo microfince.