Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Habari wana Jf Nimeonelea kuleta wazo hili linalowahusiana na biashara ya usafirishaji mizigo hasa ya nje za nchi 'Transit Goods' kwenda nchi mbali mbali tuweze kubadilishana mawazo, kusaidiana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wanajamii forum.mm ni mtumishi .nlikopa mkopo benk ya posta.sasa nmepata hela ya kuwalipa mkopo wao.lakini.wanagoma kutoa riba.wanataka nlipe yote.naomba mnisaidie ni sawa .au ni ujanja...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mm n mwalimu wa shule ya msingi nilianza kaz 2014 mwaka huo huo nikafanikiwa kukopa mkopo ambao unanitesa kwel mpaka sasa mshahara wangu n mdogo Nina madeni kila kona mpaka kazi naiona gunia LA...
4 Reactions
63 Replies
10K Views
Wadau mwenye kujua hili tafadhali jiji au mkoa wenye mapato makubwa Tanzania ni upi.
1 Reactions
24 Replies
12K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish This pair edged higher last week, reaching the resistance line at 1.1900, before the pullback that is currently being...
3 Reactions
1 Replies
727 Views
Hebu tukokotoe faida itakayopatikana kutokana na malipo ya USD 12.5 kwa pipa itakayolipwa Tanzania kutokana na bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda mpaka Tanga Tanzania. Kutokana na maelezo...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji mtu ambaye yuko serious anamalengo na awe mtu asiyependa starehe kupita kiasi awe anajua vzr Biashara Awe angalau na ml2 jinsia yeyote Njoo watsapp 0752841018 nikuambie ni Biashara gani...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wanajamvi. Mimi ni mjasiliamali, nina jihusisha na utengenezaji wa bidhaa za ngozi, hasa sandals aka viatu vya kimasai, mikanda, mabegi na bidhaa nyingine nyingi. hivi sasa nipo katik...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Helium is one of the most abundant elements in the universe, forming about 23 percent of all matter. It becomes a liquid at the lowest boiling point of any element. But because it is lighter than...
0 Reactions
1 Replies
997 Views
Huyo Ng'ombe ni moja ya Breed wanao toa maziwa mengi mno anatoa hadi lita 100 kwa siku. Sasa kweli Tumeshindwa kumfanyia majaribioa Tanzania? make anaweza saidia kabisa kuondoa umasikini huko...
6 Reactions
36 Replies
21K Views
Ndugu wana Jf Wachumi ningependa kufahamu nini athari ya dhamani ya dola ya marekani dhidi ya kushuka kwa riba za benk wanaokopa BoT Kutoka 12% hadi 9%, Kuna wengine tuna vidola vyetu ndani visije...
1 Reactions
4 Replies
994 Views
Naweza pata wapi weighted average interest rates za BOT za 2017. Nimejaribu sana ku google lakini sijafanikiwa. Mwenye nazo naomba plse.
0 Reactions
0 Replies
773 Views
Natafuta kiwanja Dodoma mitaa ya kisasa au ilazo,offer 14 m. Sqr m 100 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
WAREHOUSE FOR RENT (KILIMO WAREHOUSE) Location; Yombo vituka area,behind Tazara Railway station,Dar es salaam. 7.7 km from Dar es salaam harbour port 6.6 from Dar es salaam international airport...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tafadhali nataka kujua soko na bei ya kilo mwaka huu tafadhali maana huku mambo yanaanza kuiva tayari
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
834 Views
Msaada wa ndugu hizo pesa za zimbabwe bado zinatumika ,na je ? Kama zinatuka ukichenji bongo sh ngap Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Watu wengi wanaajiri kwa sababu tofauti, wengine kwakuwa wanapenda, wengine ajira ngumu , mazingira n.k Kuna vijana wengi ambao wapo mitaani hawajui pakunzia , ila kikubwa safari ya kujiajiri...
19 Reactions
19 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…