CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,915
Huyo Ng'ombe ni moja ya Breed wanao toa maziwa mengi mno anatoa hadi lita 100 kwa siku.
Sasa kweli Tumeshindwa kumfanyia majaribioa Tanzania? make anaweza saidia kabisa kuondoa umasikini huko Vijijini.
Sidhani kama hawezi kusavave Tanzania ila ninacho jua ni kushindwa kwa Watalamu kuwaza nje ya Box.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kweli Tumeshindwa kumfanyia majaribioa Tanzania? make anaweza saidia kabisa kuondoa umasikini huko Vijijini.
Sidhani kama hawezi kusavave Tanzania ila ninacho jua ni kushindwa kwa Watalamu kuwaza nje ya Box.
Sent using Jamii Forums mobile app