Stanboy
JF-Expert Member
- Jul 4, 2013
- 1,115
- 1,300
Habari wakuu?
Naamini Jf ni familia moja,nimepata dharura hivyo nahitaji milioni 6 tu nitatue tatizo langu,dhamana ni gari yangu mwenyewe...gari ni Toyota Wish,utabaki na gari mpaka nitakaporejesha pesa yako ndani ya wiki mbili tu.
Napatikana Dar es salaam
Riba tutaelewana.
Mwenye uwezo wa kusaidia tuonane pm
Asanteni
Naamini Jf ni familia moja,nimepata dharura hivyo nahitaji milioni 6 tu nitatue tatizo langu,dhamana ni gari yangu mwenyewe...gari ni Toyota Wish,utabaki na gari mpaka nitakaporejesha pesa yako ndani ya wiki mbili tu.
Napatikana Dar es salaam
Riba tutaelewana.
Mwenye uwezo wa kusaidia tuonane pm
Asanteni