sekulu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 988
- 157
Ndugu wana JF,
Nawasalimu.
Naomba kutoa yangu ya Moyoni kuhusu huu mtandao wa sim wa AIRTEL kwa wateja wao waotumia huduma ya ONE NETWORK.
Hivi ninavoongea tangu jana mida kama ya saa saba mchana wateja wa Zain Tanzania wanaotumia Huduma ya One Network Wakiwa Nchi ya Uganda Simu Zao Hazina Network Mpaka muda huu. Hii sio haki ya Mteja hata kidogo. Ukiwoana kwenye Matangazo yao wanatangaza one network kumbe wizi Mtupu kwa sababu zifuatazo:
Ukitoka Tanzania Ukienda Uganda, kenya na ukaendelea kutumia namba yako ya kitanzania utakatwa TSHS 45 kwa kupokea simu,wakati unaunganishwa na kampuni moja. siielewi hii!
Ukiwa na voda na ukiwa nchi ya UGANDA AN KEnya, Utapokea simu bure bila kukatwa hata cent!
Airtel hayo mambo mumeanza lini????????????
Nawasalimu.
Naomba kutoa yangu ya Moyoni kuhusu huu mtandao wa sim wa AIRTEL kwa wateja wao waotumia huduma ya ONE NETWORK.
Hivi ninavoongea tangu jana mida kama ya saa saba mchana wateja wa Zain Tanzania wanaotumia Huduma ya One Network Wakiwa Nchi ya Uganda Simu Zao Hazina Network Mpaka muda huu. Hii sio haki ya Mteja hata kidogo. Ukiwoana kwenye Matangazo yao wanatangaza one network kumbe wizi Mtupu kwa sababu zifuatazo:
Ukitoka Tanzania Ukienda Uganda, kenya na ukaendelea kutumia namba yako ya kitanzania utakatwa TSHS 45 kwa kupokea simu,wakati unaunganishwa na kampuni moja. siielewi hii!
Ukiwa na voda na ukiwa nchi ya UGANDA AN KEnya, Utapokea simu bure bila kukatwa hata cent!
Airtel hayo mambo mumeanza lini????????????