Wanyekuelelwa naomba kujuzwa hili.
Unapopita Mtaa wa Toure Drive ukitokea Mijini utakutana na mabango mengi mno yanatangaza huduma zinazotolewa na Benki ambayo haikitajwa katika mabango hayo...
Biashara hizi kutakiwi kujiingiza, kwasababu hata kama huna tamaa. Zinakujengea matumaini na tamaa ya muda mfupi ya Kutajirika.
Zina sifa mbili au zote ya sifa zifuatuatazo;-
1. Idea ya...
Habari za kazi wakubwa
Kutokana na kuona watu mbalimbali wakiomba kurushiwa/kupatiwa vitabu mbalimbali vinavyotoa mafunzo na motisha kwa watafutaji wa maisha hususani wale Wajasiri katika...
Jaman Leo nilikuwa na noti mbili za USD 10 , 10 yaani USD 20. Ajabu nimeenda kubadili Mbeya maeneo ya Mwanjelwa pale Century plaza nimeshangaa kukuta wananunua $ kwa Tsh...
Wadau naomba mwenyevuzoefu wa kilimo, cha matikiti maji kwa arusha kinafaa sehemu gani na itakua sh ngapi kukodi shamba sehemu yenye maji ya kumwagilia nataka nijaribu heka moja au mbili .pia...
Kwanza poleni na majukumu ya kujenga taifa,niende kwenye mada naomba kujuzwa kati ya kuendesha boda boda yako au bajaji ya kwako pia ni ipi hap inalipa zaidi mana nataka nichukie kimoja kati ya...
Naitaji kufanya biashala ya Maji
Mimi nimgeni
Kwenye maswala ya biashala
Naitaji muongozo kwa winye ufaamu wa iyo biashala nduguzangu nina msingi wa milioni1 sijapata frem bado na nipo dar.
Heshima kwenu wakuu wangu
Kama kawaida leo nakuja tena katika jukwaa muhimu kwangu hapa JF.
Hakika kuna mambo mengi sana yanayochangia mpaka mtu kuwa na mali nyingi ama utajiri. Ukiachilia...
Ni baadhi ya bidhaa zinazo uzwa kupitia (OMASAM TRADERS LTD)ni oil bora na salama kwa Gari,piki piki,Mitambo,yako
Na greases,mafuta ya break
Tuna ujazo wa aina mbali mbali kama ifuatavyo...
Wanajukwaa Salaam,
Imani yangu tunaendelea vizur.
Nina mpango wa kuanzisha biashara ya kuuza bidhaa mbalimbali za wanawake.
Kitu kimoja kinanisumbua kichwa, niiweke hii biashara yangu sehemu gani...
Wadau wale wenye uelewa na hili mnisaidie kufaham, hivi pale unapoachishwa kazi yale malipo anayotakiwa akulipe mwajili mwenyewe huwa yanakatwa kodi? Na je yale malipo ya Sikh huchukuliwa kutoka...
Ndugu wana jukwaa poleni na shughuli na majukumu ya kila siku.
Nianze moja kwa moja kuhusu mada iliyo tajwa,Kwa vijana wa kitanzanzia ambao wanajituma kila
siku ili kuhakikisha maisha yanaenda...
Imani iwe kwenu wana Jamvi.
Kama heading ilivo naomba kujuzwa faida ama hasara za kuendesha biashara kama kampuni maana nimefuatilia nimeona kuna utitiri wa kodi/gharama na uendeshaji kampuni...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Neutral
This pair is bearish in the short-term, and neutral in the long-term. Price has gradually come down since November 27...
Wana jf wenzangu naomba mnisaidie kupata sehemu au maeneo gani ya kuweka huduma za afya ? Nataka sehemu zenye sifa zifuatazo ,nyumba iwe inafikika kwa gari , nyumba iwe na vyumba visivyopungua...
Hivi hawa jamaa wako serious na Product zao maana Ofcoz product zao ni Affordable ila Garantii ni Muda Mchache Hali inayopelekea kua na mashaka na product zao....Wenye uzoefu na product zao...
Naomba mwongozo katika kuanzisha biashara ya spare za magari kama option no. 1 n.a. option no 2 ninayoifikiria ni biashara ya construction Hardware 3. Biashara ya kilimo. Naomba ushauri nipewe na...
Niwashukuru tu airtel kwa muda wote wa 3month niliovumilia kuwa nanyi am going back kwa wezi wangu voda majuzi walizima internet usiku na walitutaarifu.
Wanaupdate/upgrade network zao ziwe fasta...
Kufumba na kufumbua nimefanikiwa kupukutisha acc zangu ndogo za forex. Moja ilikua na $78 ambayo niliikuza kutoka $10
Nyingine ilikua 40 ambayo niliikuza kutoka $5 ndani ya siku 4.
Nilifanya...
Baada ya tetesi za muda kampuni ya Apple imetangaza rasmi kuinunua App maarufu ya kutambua muziki ya Shazam.
Katika taarifa iliyotolewa na pande zote mbili kulionesha mafanikio yaliyofikiwa kwa...