BIASHARA YA TAX DAR NI GARI GANI INAFAA ZAIDI?
Wadau wa hiyo biashara hapo juu,
Naomba kupata ushauri kwa aina ya gari inayofaa ili kukuwezesha kupata faida kama mmiliki na kuwakabidhi madereva...
Inaaminika kwamba mishahara watu wanayo lipwa ni hongo ya kuwafanya watelekeze Ndoto zao na waanze kutekeleza ndoto za wale wanao wapatia mishahara.
Hii inapata Nguvu kwa sababu Msomi au mtu...
Mimi ni mteja wa benki inayotoa card za Tembo card VISA na Master Card.
Nimekuwa mteja wa benki hiyo kwa kipindi kirefu tangu enzi hizo tukiwa tunatumia tembo card ya kawaida.
Baada ya...
Tanzania sasa imekua si sehemu salama kibiashara kwa upande wangu, tangu mwaka jana November sijawahi kuona faida ya biashara, matumizi yamekua makubwa kuliko faida, yes nikaona isiwe shida...
Kipindi cha nyuma kulikuwa na taarifa ya kujengwa kwa bandari mpya ya mwambani. je ule mpango bado upo au ujio wa bandari ya kusafirisha mafuta ya chongoleani umekwamisha.. pia napenda kufahamu...
Habari wakuu.
Wanasema wahenga wa kizungu "Ukishindwa kupanga, umepanga kushindwa''.
Hivyo Andaa mpango wa biashara yako kwa kuzingatia maeneo yafuatayo kama nilivyofanya kwa mpango huu wa mafuta...
Jeffrey Jessey ni kijana wa Kitanzania ambaye baada ya kumaliza masomo yake aliajiriwa na Benki ya Dunia nchini Tanzania lakini aliacha kazi na kuanza kushona nguo akisema alipenda kushona nguo...
Habari,
Mimi naishi Marekani nataka kuanza biashara ya kusaidia kununua na kusafirisha chochote kile kutoka marekani.
Unachotakiwa ni kwenda online kisha unaamua nini cha kununua unanitumia link...
Habari za asubuhi ndugu wana JamiiForums,
Ninaomba kwa yeyote anayefahamu bei ya mayai ya kienyeji kwa mkoa tajwa hapo juu anijuze au atujuze wenye uhitaji wa kujua kama mimi pamoja na masoko...
MAADUI WA VITA YA UCHUMI
Waraka wa BASHIR YAKUB.
+255784482959.
SIKILIZA Radio CHANYA
Tumegusa uchumi wa bepari. Mara zote, na kote duniani bepari alipoguswa kwenye uchumi wake basi ametumia...
Wakuu
Kama watanzania na watanganyika mnaona je. Nini kinatakiwa kufanyika? au tunashindwa nini kuwa a infunce kubwazaidi ya usafirisha bidhaa za Rwanda na Burudi kupitia tanzania na...
Habarini Wadau,
Nimekuwa nikitembelea mara kadhaa jiji la Mwanza kikazi na kuvutiwa mno na huduma ya chakula inayotolewa pale Malikusema, naamini wadau wengi humu waliofika mwanza wanapafahamu...
Wakuu,
Nina kiwanja kipo Kijenge juu -Arusha. Kiwanje hiki hakina hati ila kima offer tu. Je, ninaweza kupata mkopo kutoka kwenye taasisi za fedha?
Kama ndio ni zipi,
Na masharti yakoje?
Naweza...
Humu ndani ni ukweli kwamba kila mtu ana ndugu na jamaa na marafiki ambao kwa sasa wako kitaa hawana kazi na wengine wamepiga hada Masters na wako mtaani.
Kizazi cha kuto dhubutu kilianza enzi za...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Neutral
The market is bullish in the long-term and neutral in the short-term. There was a slight bearish movement last week...
Wasalamu,
Wakuu maisha yamebana sana na kila mtu anatakiwa kujiongeza ili mambo yaende. Mimi nina kautalaam kidogo ka silaha za jadi ie: upinde, mishale, mikuki na kadhalika.
Nilipata kuletewa...
Kipindi cha nyuma kulikuwaga na mijadala migumu sana humu,
Kulikuwa na hamasa sana, watu nakumbuka walikuwa hadi wanakutana kwa Chai day na wana discus Biashara hasa kilimo,
Idea ya Jamii Saccos...