Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Nina Kiasi cha Milioni 1.6 je nikianza kujenga room self naishia wapi?kiwanja nacho
3 Reactions
46 Replies
5K Views
Habarini ndugu zangu wana JF Mimi niko Dar es salaam na ninataka kufanya Biashara kutoka Zanzibar na kwa utafiti nimegundua Biashara ya electronics kutoka Zanzibar ni rahisi ila sijui ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajamvi, Hapa Niko katika kituo cha Bus liitwalo FRIENDS jijini Kampala (Uganda) nikielekea nyumbani Tz. Ninachokiona hapa ni wafanyabiashara wa Ki-Tz toka Dar na Mwanza wamefungasha mizigo ya...
16 Reactions
75 Replies
22K Views
Wakuu, Ni kamapuni ipi inatoa bima kwenye mizigo inayosafirishwa kwa malori hapa nchini? Je gharama zikoje? Kwa anayejua tafadhari.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kumekuwa na makundi tofauti tofauti katika whatsapp yanayoibuka Ili kumvutia mtu awekeze pesa ili wajanja wazipige kwa kisingizio cha kutrade ili upewe mpaka 70%ya mtaji wako in 4days only...
12 Reactions
74 Replies
10K Views
*_TO BECOME SUCCESSFUL YOU NEED TO DO THE FOLLOWING :_* ● *_BELIEVE_* [emoji117] while others are doubting. ● *_PLAN_* [emoji117] while others are playing. ● *_STUDY_* [emoji117] while others...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Ninawasalimu kwa jina la Tanzania ya amani ndugu zangu walipa kodi,wafanya biashara,wanauchumi na wajasiriamali. Ni halali na wajibu wa kila mtanzania kulipa kodi kwa kila pato analoliingizaa...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu, Kuna mzigo nahitaji kusafirisha South Africa, nilikuwa naomba kuuliza kama kuna basi ambalo linafanya safari za Zimbabwe au nchi nyingine jirani na SA kisha mzigo ukifika...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Popular California Based E-Commerce Website StatesDuka Makes Its Debut in Kenya & East African Market USA to Kenya, Tanzania & East Africa Online Shopping and Shipping for $15 per KG by Air...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TBL Batch yenu ya tarehe 21 September, 2017 kwenye saa 4.13 hivi ina bia yenye ladha ya Apple nhisi ni Reds. Mnatuharibia kwakweli, hii ni bia ya Tatu wiki hii naikuta. Kakagueni niko Mbezi...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Maisha ya mafanikio na uhuru wa fedha ni jambo linalotafutwa na kila mmoja wetu, lakini ni wachache mno huwa wanafanikiwa. Hii ni kwa sababu kuna wanaotaka na wanaotamani mafanikio na uhuru wa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wahusika 20/10/2017 ni deadline na mliniandikia barua kuanza KULIPA Mwezi September Online. Nipo online tangia asubuhi kwenye TAX RETURN ELECTRONIC FILING SYSTEM Usajili is complete tangia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tanzanian entrepreneur is looking for business partners to join forces in exploiting a lucrative business in the DRC. PM to see the business plan.
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wajuvi, Niko na shida naomba kuuliza njia gani naweza tumia kurekodi mauzo na manunuzi ya vitu kwenye biashara (duka). Ili niweze kujua nimepata faida au hasara kubwa or ndogo.
0 Reactions
16 Replies
9K Views
Natumai mko salama, Dhumuni la Uzi huu ni kuwaomba wadau wote wenye Uzoefu na Usafirishaji wa Bidhaa mbali mbali kwenda Kuuza Nje ya Nchi, Haswa Bidhaa za Vyakula na Matunda. Ningependa Kujua...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wakuu! natumaini nyote ni bukheri wa afya ngoja niende kwenye mada moja kwa moja,kama wewe ni mtengenezaji wa bidhaa za chakula kwa mfano,unga wa lishe,unga wa mhogo au bidhaa za...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za muda huu wana Jamii forum, Mimi ni kijana ambaye nimechaguliwa chuo cha maji ngazi ya stashahada kozi ya Water Supply and Sanitation Engineering mwaka huu. Naomba mchango wenu wa tsh...
1 Reactions
78 Replies
6K Views
Wakuu habari za majukumu, Nina kiasi cha milioni mbili na nusu, naomba ushauri wenu kati ya haya mawili -Nina eneo kujenga chumba self kimoja cha standard ni milioni mbili na nusu, umeme, maji...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Benki Kuu ya Tanzania ndio taasisi yenye usimamizi wa taasisi za kifedha zifanyazo kazi nchini zikiwemo mabenki. Moja ya jukumu la Benji Kuu ya Tanzania ni kui endorse maafisa wakuu wanaotaka...
0 Reactions
1 Replies
886 Views
Biashara ya kuuza vifaa vingi hususani till za voda ni chanzo kikubwa cha utapeli kwenye ofisi zao. Vifaa vingi vinavyotumika kwa ajili ya kazi zinazohusu vodacom hutolewa bure lakini ukienda na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…