Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Habari ya leo wakuu? Samahani,siku za nyuma nilipost thread ya kutafuta kazi au kibarua sikuweza kufanikiwa ila kuna eneo la biashara ya jikoni nimelipata na pako vizuri sana,aliye kuwepo mwanzo...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu, Niko najaribu kuwaza tu kwanini ushirika ulikufa yawezekana sababu zipo, lakini zikawa hazina mashiko sana. Tufanye nini ili kuinua na kufufua upya vyama vya ushirika vyenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Salam wakuu. Ni taasisi /agent/ saccos gani (ukiacha mabenki) naweza kupata mkopo wa TZS 1.000.000 haraka ndani ya siku moja? Hata kama mtu binafsi sawa tu. Nina nyumba.gari. Naomba kujua na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ukiskia fursa kwako wewe mfanyabiashara, hii ni yako. Tumia tips hizi kuongeza mauzo/sales katika biashara yako kipindi hiki cha sikukuu. 1. TOA DISCOUNT Kulingana na biashara unayofanya, angalia...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ongezeko la gharama za uendeshaji wa benki na masharti mapya ya kodi yaliyowekwa na serikali kwa taasisi za fedha yameathiri yametajwa kuathiri mwenendo wa utoaji mikopo kwa wafanyabiashara...
1 Reactions
1 Replies
945 Views
Kutoka kununua hisa moja tsh 800 imeshuka mpaka tsh 72 haibu nimejuta kununua hisa zenu
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba tudiscuss fursa ambazo mwana chuo anaweza akazitumia awapo chuoni kujitengenezea kipato Karibuni sana wadau na wanajukwaa
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu mm ni kijana wa miaka 22 niko mjini nafanya kazi ya kuajiriwa kwa mtu kwahiyo kila siku inanipasa niamke saa 12 asubuhi na kurudi saa moja usiku Hii kazi nimefanya kama miaka 4 ila naona...
1 Reactions
32 Replies
8K Views
Kama una njia mwanana ya kupunguza nilichokitaja hapo juu unawepa pata promotion nzuri ya kazi eneo mwanana.. Nipe mkakati mzuri wa jinsi ya kufanya hivyo.nikiona unafaa kwa sbb nmekua na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
1. Kodi lazima iwe jambo la kwanza kuwaza. Hebu waza kwanza ni biashara gani nifanye ambayo haitonilimbikizia mzigo wa kodi? Ni lazima biashara utakayoichagua iweze kukupa faida ya kutosha kuliko...
6 Reactions
10 Replies
2K Views
Binafsi ni muumini wa kilimo na Teknolojia. Najaribu kuwaza kiwanda gani naweza kununua au kutengeneza kwa gharama ya millioni nne za kitanzania angalau kije kufunguliwa na kiongozi wangu wa mtaa...
12 Reactions
162 Replies
57K Views
Wakuu kama uzi unavyojieleza wewe unatarajia kuanzisha either genge kijiosk. Duka ama project yeyote yenye kuwekeza kias fulani cha pesa ila kutokana na kukosa ujuzi unahisi kama hutofika mbali...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Salamu, Nimgependa kupata ushauri na maelezo wa jinsi ya kuwa a Clearing Agent. Ningependa kujua ni license gani zinahitajika na ni mamlaka zipi zinatoa hizo license Ningependa kujua gharama...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Baada ya bomoa bomoa ya maeneo ya JAMATINI,SARAFINA NA STAND YA MKOA maeneo ambayo yanamilikiwa na Shirika la Reli Tanzania na Wajasiliamali kupitia umoja wao wameomba eneo la kufanyiabiashara kwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Biashara ni ajenda ya Duniani sasa, Viwanda ni kujenga uchumi wa kujitegemea, hivi ni kuvifikia ikiwa Taifa halifundishi jinsi ya kupata mahitaji ya kwa kujitegemea. Ikiwa shule zitafundisha...
2 Reactions
0 Replies
747 Views
Hamjambo wakuu, Napenda kufahamu namna watengenezaji wa sabuni majumbani wanavyopata faida, hasa sabuni za kipande/miche . Je , gharama za maligjafi zikoje? Mfano soda ash nk Je, time...
0 Reactions
0 Replies
893 Views
Jamani kuna mkasa umenipata nimeona niuweke hapa ili kama kuna watu wa TRA wausome na waache wizi. Jamaa yangu amenunua gari zake mbili zilizotumika. Gari alizonunua ni Escudo gharama zilikuwa...
0 Reactions
58 Replies
14K Views
Naombeni kwa mwenye kujua jinsi ya kupata TIN Number. Asanteni HABAR WAKUUU, Nnaomba msaada kwa anaejua ni njia zipi nizitumie kupata Tin number ya TRA kwa ajili ya kampuni, nmesajili kampuni...
0 Reactions
173 Replies
68K Views
Nimekuwa na biashara ya kutengeneza chopstick wengine huziita chokstick, nataka niziweke kwenye kifungashio na ziweze kukaa hata kwa mwezi mzima bila kuharibika na pia kupanua soko langu, naomba...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…