Mkuu darasa la graphics programming open gl na open cl liliishia wap, wadau walinambia eti umepata kazi nvidia kama computer vision engineer, ya kweli hayo??Wafanyabiashara hii tabia imezidi siku hizi eti "sina chenchi" kwa hiyo nisinunue alafu kibaya zaidi hadi kondakta naye anasema "sina chenchi" kwa hiyo nisilipie.