Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Kama kijana nimeamua kuja huku ,tupeane ujuzi na ushauri,kuna MTU yuko tayari kunipa mtaji wa biashara,kuanzia 1m kushuka chini,je ungekuwa ndo ww ungefanya bizness IPI yenye mzunguko mzuri wa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mmiliki wa makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL) MOHAMMED DEWJI katika mtandao wake wa twitter amesema kuwa ameiagiza kampuni yake ya kurecycle chupa nyeusi za mo energy...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu nimevutika na hii biashara naomba kujua wapi naweza pata baibui safi nzuri kwa jumla bei rahisi ili niprlekr kwetu nikauze nipste chochote kitu mana maisha kushughulika.baibui za mtaani hizi...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Natumaini mko poa, Niingie kwenye mada me ni mwanafunzi wa elimu ya juu nipo hapa mjini niseme baada ya pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii nikakutana na tangazo la ujasiliamali motion in...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Katika pitapita zangu nilikutana na watu waliojiajiri katika biashara zao tukawa tunabadilishana mawazo,mmoja akasema 'usiku wa manane ndio muda mzuri kwa wafanyabiashara/wenye makampuni...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimepita sehemu nikakutana na takwimu zikionyesha Kenya ni nchi ya tatu kwa uzalishaji na Exportation ya zao la Chai Dunia only behind China and Sri Lanka at staggering 1.4 billion US$, nikajaribu...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Za mda huu wadau wa hapa. Leo nikiwa sehem na baadhi ya watu tunapiga story.mtu mmoja akasema ni kama amesikia tangazo kuwa machinga Mwanza mwisho ni mwezi wa sita maana serikali ina mpango wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanabodi wik iliyopita kuna jamaa yangu katika Biashara yake Toma January ana hasara ..mpaka mda huu amechanganyikiwa aende tra kwa makadkilio au afunge Biashara... Je kwa wataalam WA tax... Huyu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari ndugu na jamaa! Nimekuja na ka uzi kadogo haka nikihitaji mawazo yenu. Nipo sekta ya Afya kikazi,nalipwa vizuri pesa kila mwisho wa mwezi, tatizo baada ya siku mbili tatu sielewi pesa...
2 Reactions
53 Replies
6K Views
Umasikini sio kitu kizuri naimani hakuna anaependa kuwa masikini kila mja anapenda kuwa na maisha mazuri but usikubali kuwa masikini kifikra sababu kuwa hivo ni kujichelewesha katika kufikia...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Na Gaudence Msuya,kilimanjaro Mkuu wa wilaya ya Hai,mkoa wa kilimanjaro ndg LENGAI OLLE SABAYA, Amerudisha shamba kwa wananchi chini ya bodi ya LYAMUNGO AMCOS,Lilokuwa likimilikiwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na Gaudence Msuya,kilimanjaro Mkuu wa wilaya ya Hai,mkoa wa kilimanjaro ndg LENGAI OLLE SABAYA, Amerudisha shamba kwa wananchi chini ya bodi ya LYAMUNGO AMCOS,Lilokuwa likimilikiwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hakika maisha ni vita. Maisha ni mapambano. Mimi pia nimekuwa nikijaribu huku na huku ili kuinua kipato cha familia. Kazi ya kwanza Baada ya kumaliza elimu yangu ya chuo kikuu, nilitafuta kazi...
10 Reactions
20 Replies
6K Views
Team, Naomba kufahamishwa ni taratibu zipi za kisheria kwa mujibu sheria za Tanzania zinatakiwa kupitiwa ili kuweza kuagiza (to import) vinywaji kutoka nje ya nchi? Natanguliza shukurani.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari yenu wana JF, Naomba msaada kwa anaeelewa taratibu za kuagiza vinywaji moto na baridi kutoka nje ya nchi. Gharama za ushuru mpakani zipoje kwa vinywaji? TFDA au TBS ni mamlaka ipi inaruhusu...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Cruise terminal ...ni jengo liliojengwa pembezoni mwa bahari lenye uwezo wa kuhudumia cruise ship..hizi cruise ship husafirisha sana watalii kutoka maeneo mbali mbali duniani ..na hutia nanga...
4 Reactions
1 Replies
2K Views
Namaana nataka kujua shilingi 10 ya china nishingapi ya tanzania? Sent from my iPhone using JamiiForums
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni madini gani, je yanapatikana Mkoa gani Tanzania,Thamani yake ipoje kwa wenye uzoefu, na soko lake lipo wapi Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
1K Views
64Door Tanzania is a subsidiary company of 64Door Factory Ltd based in Kenya. The 64Door Factory manufacturing facility located in Nairobi Kenya is truly state of -the- art door solutions service...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa TAHA dada Jaque, tumeona namna nchi za kiarabu zimefunga milango kwa nchi ya Qatar, na kipindi hiki cha mfungo ni vizuri mkaanza kunegotiate deals ili kujaza nafasi zilizoachwa wazi...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom