Chemba ya viwanda, biashara na kilimo nchini (TCCIA ) imepokea ugeni wa wafanyabiashara kutoka nchini Ufaransa wenye lengo la kujadili na kupanua mianya ya biashara kati ya Tanzania na Ufaransa...
Habari wadau,
Siku za karibuni nimeanza kufanya biashara za usindikaji, nasindika asali na korosho, ila nna changamoto ya kuwa na barcode kwa bidhaa zangu, naomba kwa anaejua mchakato wa kupata...
Ndugu wanajamvi, heshima kwenu.
Nataka kujiingiza kwenye hii biashara ya kununua machupa na kuuza kiwandani.
Kwa wale wanaofanya au waliofanya nipeni dondoo ya hii biashara.
Bei ya kununulia...
Ni rahisi kufanikisha jambo lolote, ikiwa jambo hilo utataanza kulifanya mara moja na kuacha kusubiri.
Ni rahisi kujifunza kitu kipya kwenye maisha yako, ikiwa utaamua kweli kujifunza kila siku...
Ni wazo kuu ni hivi kutegemea na soko la ajira kwa wenye taaluma mbalimbali limekua gumu napenda kuwaomba vijana wenzangu tuungane kwa pamoja kisheria tufanye jambo.
Kwanza nimeandaa mkakati...
Mimi namiliki gari aina ya center yenye uwezo wa kubeba tani 2. Nimeajiriwa na kampuni za bandarini hivyo natakiwa kila Siku ofisini gari nmepaki tu nyumbani. Wikend napata muda wa kutumia gari...
Hawa jamaa wa BRELA wametumia BILIONI 1 kununua software ( kuna taarifa ni kwa njia ya utatanishi kwani haikutangazwa hata hiyo tenda)
bonyeza section ya services kwenye hii website below...
Mfanyabiashara Aliko Dangote amefungua kiwanda cha saruji chenye thamani ya dola milioni $300 nchini Congo Brazzaville ambacho kina uwezo wa kuzalisha tani 1.5 milioni kwa mwaka.
=========
The...
Wakuu habari za jioni
Naombeni msaada nimepatwa Na tatizo kwenye kiofisi changu wadau watu wa manispaa wamekuja funga ofisi Sina leseni
Sasa tatizo linakuja jamaa wananiambia nilipe faini laki...
Wakulu,
Kutoka katika ajira ya kuajiriwa na kuingia katika ajira ya binafsi ni kazi kubwa.Mimi niko njia panda nataka kupata mkopo wa kununua truck ili hata nikiacha kazi yangu ya kuajiriwa...
Wakuu habari za hapa,natumaini mko salama.Wakuu kuna watu wananifuata inbox face book na kunishawishi nijiunge na hiyo Aim globe.sasa mpaka naileta kwenu hapa in kqamba naogopa kuingia choo cha...
i have reached the threshold on adsense Lakini bado sijajua njia ya kutoa pesa hizi au kinachoendelea nimeshaset Western union kama Primary way to get my Revenue ila bado hawajanitumia lolote!
Bank of Tanzania.
The Bank of Tanzania (BoT) has issued another business license to Creditinfo Tanzania Limited, a credit reference bureau based in Dar es Salaam.
A brief statement issued by the...
Wakuu,
Kwa wale wenye uelewa wa biashara za kukupa tija maana kwa sasa hali halisi kwa pesa ngumu tusaidiane kwa wale wenye nia ya kuanzisha biashara kwa sasa nawasilisha. Nb; mtaji wa laki 4-5
Kwanza nikiri kwamba sijui chochote kuhusu uchumi.Ninavyofahamu mimi ni kwamba uchumi wa nchi unapokuwa mkubwa na ndivyo thamani ya pesa yako inavyokuwa kubwa/imara linapokuja swala la masoko...
Wakuu habari za hapa, natumaini mko salama,
Wakuu kuna watu wananifuata inbox facebook na kunishawishi nijiunge na hiyo Aim globe. Sasa mpaka naileta kwenu hapa in kwamba naogopa kuingia choo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.