Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
231
Posts
7.2K
Threads
231
Posts
7.2K

JF Prefixes:

Chemba ya viwanda, biashara na kilimo nchini (TCCIA ) imepokea ugeni wa wafanyabiashara kutoka nchini Ufaransa wenye lengo la kujadili na kupanua mianya ya biashara kati ya Tanzania na Ufaransa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau, Siku za karibuni nimeanza kufanya biashara za usindikaji, nasindika asali na korosho, ila nna changamoto ya kuwa na barcode kwa bidhaa zangu, naomba kwa anaejua mchakato wa kupata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nataka nisafirishe mbegu za korosho nje ya nchi. Je mbegu ntapata wapi maana nimepata wateja Zambia wanataka hizo mbegu. Naombeni maoni Na ushauri
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi, heshima kwenu. Nataka kujiingiza kwenye hii biashara ya kununua machupa na kuuza kiwandani. Kwa wale wanaofanya au waliofanya nipeni dondoo ya hii biashara. Bei ya kununulia...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Ni rahisi kufanikisha jambo lolote, ikiwa jambo hilo utataanza kulifanya mara moja na kuacha kusubiri. Ni rahisi kujifunza kitu kipya kwenye maisha yako, ikiwa utaamua kweli kujifunza kila siku...
4 Reactions
5 Replies
3K Views
  • Redirect
Will it reach 13,000 before next year or re-rate?
1 Reactions
Replies
Views
Habari wana Jf. Naomba msaada kuhusu Benki yenye mikopo yenye riba nafuu. Ni mkopo wa kupanua biashara.
0 Reactions
17 Replies
7K Views
  • Redirect
Mwenye uelewa wa hii currency
0 Reactions
Replies
Views
Ni wazo kuu ni hivi kutegemea na soko la ajira kwa wenye taaluma mbalimbali limekua gumu napenda kuwaomba vijana wenzangu tuungane kwa pamoja kisheria tufanye jambo. Kwanza nimeandaa mkakati...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Mimi namiliki gari aina ya center yenye uwezo wa kubeba tani 2. Nimeajiriwa na kampuni za bandarini hivyo natakiwa kila Siku ofisini gari nmepaki tu nyumbani. Wikend napata muda wa kutumia gari...
0 Reactions
37 Replies
8K Views
Hawa jamaa wa BRELA wametumia BILIONI 1 kununua software ( kuna taarifa ni kwa njia ya utatanishi kwani haikutangazwa hata hiyo tenda) bonyeza section ya services kwenye hii website below...
0 Reactions
95 Replies
19K Views
Mfanyabiashara Aliko Dangote amefungua kiwanda cha saruji chenye thamani ya dola milioni $300 nchini Congo Brazzaville ambacho kina uwezo wa kuzalisha tani 1.5 milioni kwa mwaka. ========= The...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
  • Redirect
Wakuu habari za jioni Naombeni msaada nimepatwa Na tatizo kwenye kiofisi changu wadau watu wa manispaa wamekuja funga ofisi Sina leseni Sasa tatizo linakuja jamaa wananiambia nilipe faini laki...
0 Reactions
Replies
Views
Wakulu, Kutoka katika ajira ya kuajiriwa na kuingia katika ajira ya binafsi ni kazi kubwa.Mimi niko njia panda nataka kupata mkopo wa kununua truck ili hata nikiacha kazi yangu ya kuajiriwa...
0 Reactions
43 Replies
22K Views
Wakuu habari za hapa,natumaini mko salama.Wakuu kuna watu wananifuata inbox face book na kunishawishi nijiunge na hiyo Aim globe.sasa mpaka naileta kwenu hapa in kqamba naogopa kuingia choo cha...
0 Reactions
1 Replies
674 Views
i have reached the threshold on adsense Lakini bado sijajua njia ya kutoa pesa hizi au kinachoendelea nimeshaset Western union kama Primary way to get my Revenue ila bado hawajanitumia lolote!
0 Reactions
2 Replies
893 Views
Bank of Tanzania. The Bank of Tanzania (BoT) has issued another business license to Creditinfo Tanzania Limited, a credit reference bureau based in Dar es Salaam. A brief statement issued by the...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Redirect
Wakuu, Kwa wale wenye uelewa wa biashara za kukupa tija maana kwa sasa hali halisi kwa pesa ngumu tusaidiane kwa wale wenye nia ya kuanzisha biashara kwa sasa nawasilisha. Nb; mtaji wa laki 4-5
0 Reactions
Replies
Views
Kwanza nikiri kwamba sijui chochote kuhusu uchumi.Ninavyofahamu mimi ni kwamba uchumi wa nchi unapokuwa mkubwa na ndivyo thamani ya pesa yako inavyokuwa kubwa/imara linapokuja swala la masoko...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Wakuu habari za hapa, natumaini mko salama, Wakuu kuna watu wananifuata inbox facebook na kunishawishi nijiunge na hiyo Aim globe. Sasa mpaka naileta kwenu hapa in kwamba naogopa kuingia choo...
1 Reactions
0 Replies
741 Views
Back
Top Bottom