mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,867
- 8,271
Wapendwa kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza ,nauliza ni shirika lipi la ndege lina bei ya nauli nafuu zaidi kwa usafiri wa ndege kutoka jiji la Dar Es Salaam,Tanzania na kwenda moja kwa moja katika majiji ya New York au Boston au Washington DC na je nauli inarange katika USD ngapi kwa safari ya kwenda na kurudi. Ni hilo tu wapendwa.