Shirika la ndege lipi lina nauli nafuu zaidi kutoka Dar Es Salaam kwenda New York,Boston au Washington DC

mfianchi

Platinum Member
Jul 1, 2009
11,867
8,271
Wapendwa kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza ,nauliza ni shirika lipi la ndege lina bei ya nauli nafuu zaidi kwa usafiri wa ndege kutoka jiji la Dar Es Salaam,Tanzania na kwenda moja kwa moja katika majiji ya New York au Boston au Washington DC na je nauli inarange katika USD ngapi kwa safari ya kwenda na kurudi. Ni hilo tu wapendwa.
 
Nijuavyo mimi, shirika la bei nafuu ni Etihad Airways lakini kinachofanya gharama za ndege ziwe juu au chini ni:-

1. Kuwahi kukata tiketi mapema hupunguza nauli

2. Kuchelewa kukata tiketi husababisha nauli iwe juu.

3. Msimu ambao kuna abiria wengi husababisha nauli ziwe juu na msimu ambao siyo season ya abiria wengi husababisha nauli ya ndege ipungue.


Nadhani utakuwa umenielewa ndugu mtoa mada.

Ahsante sana
 
Nijuavyo mimi, shirika la bei nafuu ni Etihad Airways lakini kinachofanya gharama za ndege ziwe juu au chini ni:-

1. Kuwahi kukata tiketi mapema hupunguza nauli

2. Kuchelewa kukata tiketi husababisha nauli iwe juu.

3. Msimu ambao kuna abiria wengi husababisha nauli ziwe juu na msimu ambao siyo season ya abiria wengi husababisha nauli ya ndege ipungue.


Nadhani utakuwa umenielewa ndugu mtoa mada.

Ahsante sana
Nashukuru sana ndugu yangu
 
Back
Top Bottom