Wadau ningependa mnifahamishe jinsi ya kujishindia zawadi zitolewazo na TiGo... Je, hizo fedha za ushindi huwa kwenye vocha au baada ya kuingiza salio ndiyo utapata ujumbe wa kuonesha umeshinda...
Hii kitu wameanza majaribio kitambo kidogo kimepita. Hivi sasa wameamua kushirikisha "watu wote." Ni wakati wa kutumia ubunifu kujipatia 'tupesa' kwa wale walioko Marekani kwa sasa!!
Tafadhali...
Zoezi zima la kuhesabu watu katika nchi zetu za kiafrica limekuwepo kwa muda mrefu.
Tukiangalia jirani zetu Kenya jana walipewa offday ile wakahesabiwe,na pia zoezi zima lilifanyika hata nyakati...
Huu ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu sana cheki hii linki kama huamini
http://www.eturbonews.com/11221/tanzania-tourism-reap-nothing-world-cup-others-gain
Hawa viongozi wanafanya nini...
Barrick North Mara Mine in Tanzania Sees 24% Rise in Output
By Ray Naluyaga
Aug. 18 (Bloomberg) -- Barrick Gold Corp.'s North Mara mine in north-western Tanzania is expected to increase...
Tanzania to Spend $5 Billion on Transport Upgrade (Update1)
Share | Email | Print | A A A
By Ray Naluyaga
Aug. 12 (Bloomberg) -- Tanzania will spend $5 billion over the next five years to...
Written by Esther Nakkazi
Land and taxation issues are delaying a cross-border hydropower project between Uganda and Tanzania.
This could set an ominous precedent for investments promoted under...
In a bid to attract more tourists from abroad, the Zanzibar Tourism Commission (ZTC) is now using four more international languages to sell Zanzibar by e-marketing. Samia Suluhu Hassan, the...
MTO LUVANYINA KATA YA KIPAGALO TARAFA YA BULONGWA WILAYA YA MAKETE, Hospitali ya Bulongwa unazalisha umeme huu kwa bei nafuu na mto huu haukauki throughout the year!!
ONA PICHA ZAKE
Kampuni kadhaa zinataka kuinunua kampuni ya simu za mkononi, Zain Afrika.
Bodi ya Wakurugenzi ya Zain inajadiliana kuhusu suala hilo na watayatathimini maombi yatakayowasilishwa.
Taarifa...
Precision Air ilitakiwa kuwa Arusha Airport saa tisa na robo na mpaka sasa ni saa kumi na mbili na nusu naambiwa haijafika na wasafiri hawana taarifa yoyote na wala msaada kwa kuwa hawana 24hrs...
Jameni nahitaji maoni kuhusu hizi links kama ni kwreli au udanganyifu tu!
http://www.the-cash1234-system.com/ na hii
https://www.googleworkstoday.com/MTAyNDN8NDk0fDM2Njc1OHx2Mg==/5xysn4b9/g
Jana nimepokea suala toka Tanzania kwa mmoja wa jamaa zangu akiwa ananiuliza nini sharti za Islamic bank and accounts kama ilivyoelezwa kisharia.
Amesema Kenya Commercial bank (KCB) huko...
hy! al jamii forum members! i guess this is our platform 2express our thoughts and even To get answers for our questions from members. IS THERE ANY NEED TO ESTABLISH WOMEN BANK?
Nani wahusika au viongozi walioteuliwa/chaguliwa kuongoza hiki kitengo cha National Backbone Infrastructure Project (NBIP)?!
The CEO called on businesses and individuals to join the technology...
Tanzania to Halt Power Utilitys 41-Year Monopoly by Year-End
By Ray Naluyaga
Aug. 12 (Bloomberg) -- Tanzania plans to enact a law allowing private companies to provide electricity in the...
Ama kweli kama kuna mambo yanatendeka hili lilinipita kabisa .Leo hapa mjini Moshi kuna mtu kani habarisha juu ya Chenge kuwa na Bank na iliitwa Chenge Rural Bank ama CRB , na mie sikuwahi kulijua...
Ndugu wana JF,
Kwanza nianze kwa kukushukuru kusoma posti hii.
Pili, ningependa kupata ushauri wako juu ya Huduma za kupitia internet ambazo zingewafaa wenzetu walioko nje ya nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.