Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Serikali jana ilitangaza maeneo 13 ambayo kuna uwezekano mkubwa wa kupatikana mafuta na gesi, ikimaanisha hakuna uwezekano kwa nishati hizo kupatikana visiwani Zanzibar.
Sehemu hizo ni Tanga, Dar, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Bigwa, Mafia, Mandawa, Kisangire, Nyuni, Kilwa, Ruvu na Mnazi Bay. Hayo yamesemwa na Waziri Ngereja.
Source: Mwananchi la tarehe 13/11/09 pg 2
Wadau ina maana Baraza la Wawakilishi na vurugu zote zile za kutaka suala la mafuta liondolewe kwenye masuala ya Muungano kumbe hata mafuta yenyewe hayako!!!!
Kweli ingekula kwao!!!
Sehemu hizo ni Tanga, Dar, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Bigwa, Mafia, Mandawa, Kisangire, Nyuni, Kilwa, Ruvu na Mnazi Bay. Hayo yamesemwa na Waziri Ngereja.
Source: Mwananchi la tarehe 13/11/09 pg 2
Wadau ina maana Baraza la Wawakilishi na vurugu zote zile za kutaka suala la mafuta liondolewe kwenye masuala ya Muungano kumbe hata mafuta yenyewe hayako!!!!
Kweli ingekula kwao!!!