Wanajanvi ni imani yangu mko slalama, nimeingia katika jukwaa hili kutahadhalisha rushwa iliyotamalaki katika taasisi za fedha yaani benki na nyinginezo. Mara ya kwanza nilishuhudia hili katika...
njooni tuanzishe kikundi cha kukopa na kuweka akiba kwa walio dar es salaam ni rahisi kuonana kwa sasa kikundi kuna watu watano kwa walio interested wani pm namba zao za cm wanazotumia whatsapp...
NATAFUTA MTU AMBAYE ANAWEZA KUNIUZIA NGUO ZA KIKE ZA SPECIAL AINA ZOTE KWA BEI YA JUMLA MIMI NIPO ARUSHA.
KINDLY SEND YOUR PRICE LIST VIA KWA EMAIL YANGU
Email: fredyone78@gmail.com
mimi ni kijana wa kitanzania ninayetaka kujiingiza katika biashara ya kilimo cha matunda na mboga mboga ninaandaa business plan lakini nimekwama katika kuandika market analysis kutokana na...
Salaam,
Ndugu wadau nahitaji msaada wa kujulishwa ni kodi zipi (kama zipo) hulipwa wakati wa kuanzishwa kwa kampuni? Na je kiasi cha mtaji wakati wa kuanzisha kampuni kina athari yoyote katika...
Mwaka 2015 uwe ni mwaka wa mabadiliko kwa viwanda vya sukari nchini Tanzania. Sekta hii imekuwa 'baby seated' kwa kipindi kirefu na ninahofu huko mbeleni (hata sasa) haitawezekana kuendelea...
Haya ikiwa tv yako ni plasma old model, kuifanya tv yako iwe katika smart tv uweze kutumia browser na youtube, kuunganisha na simu yako kwa Bluetooth au ipad au tablet. Tafuta hii dongle.
Hello Members,
I have an account at CRDB bank. Do not want the hassle to stand in ques for depositing cash into my own account. As advertised by CRDB they have Easy Deposit ATM's, can anybody...
Habari wanajf..Nimeona niwashirikishe kitu kwa wale wenye maduka yao ambao wataweza kusupply vitu vifuatavyo kwenye ofisi yetu ambayo utaifaham baadae ila sio ndogo ni kubwa na inafahamika...
Habari za wakati Wana JF Jamani mwenzenu naomba msaada wa nyumba ya kupanga Maeneo ya kunduchi au sehem nyingine ila pawe na umeme na maji nna Usafiri wa daladala za kwenda makumbusho.Pia iwe na...
Habar wadau,natafuta vifaa tajwa hapo juu ,endapo kuna mtu anaviuza au anajua vinapopatikana kwa jumla anipe bei tafadhali.Natanguliza shukrani.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Malengo yangu 2014 yalikuwa ni kusimamisha biashara kadhaa ndogo ndogo. Biashara ambazo Inaweza kunipa faida ya Tsh 20000 hadi 50000 kwa siku.
Bahati mbaya hadi mwaka unaisha sijaweza...
Wale wanaouza maduka kariakoo iv kweli wanapata faida au wanatutamanisha tu, iv kweli unamkuta mtu anaduka kariakoo analipa fremu zaid ya million kumi kwa mwaka mzigo wake kama ni nguo au vipodozi...
habar zenu ndugu. Sisi ni vijana wawili wenye wazo la kuanzishha kikundi cha kutoa huduma ya afya katka jamii kwa malipo ya chini na kikundi kitaweza kuajir watu wa kawaida na madaktari.pia...
jaman nina idea ya biashara nchini mozambique,ila tatizo ni mtaji tu,kwa wale wenye mitaji mikubwa wanatoa bidhaa nje,kama vile nguo,wax,bell za mitumba,nk kama unataka kupanua wigo wa biashara...
Mimi ni mteja wenu wa muda mrefu hata hivyo baada ya kuhamishiwa huku kilindi nimekuta nmb imepita bila kupingwa na ingawa wanajitahidi kutoa huduma "kama nmb nyingine" bado pengo lenu kama crdb...
Heri ya pasaka wana JF. Na poleni kwa mihangaiko ya maisha!!
Jamani nilikua nataka kuingia kwenye real estate business kwa kutengeneza online platform flani ambayo watu,makampuni au madalali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.