JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nakumbuka wakati naanza safari yangu ya kitaaluma pale Eden Valley primary school iliyopo buswelu mwanza, moja ya kitu kilikuwa kinanishangaza kuhusu hawa wakenya ni kitendo chao cha kunywa uji...
6 Reactions
21 Replies
950 Views
Wakuu, Kila mmoja wetu humu jukwaani ana stori yake ya kuvutia,kusisimu na kushangaza ya kwa nini alijiunga jf! Wapo waliovutiwa na stories za mapenzi,siasa,michezo nk. Kwa upande wangu stori...
5 Reactions
34 Replies
1K Views
Wife kajifungua salama kabisa, with no any complications OK. Jina gani Zuri la mtoto wa kiume , la kikristu , Lianze na alphabet A
4 Reactions
115 Replies
5K Views
Hiyo namba ndio mwaka wangu wa kuzaliwa,ulivyokuwa na hamu ya kujua Etugrul Bey ana miaka mingapi utapiga hesabu bila aibu ujue nina miaka mingapi,usijichoshe hii may nimetimiza miaka 46,je kuna...
38 Reactions
274 Replies
8K Views
Huku kuna baridi sana, Nimepita dukani nikachukua Four Cousins nipige. Baadae nakumbuka ninatumia Cold-Off Capsule. Daah basi bwana
1 Reactions
2 Replies
280 Views
Habari wakuu. Uzi huu ni kwajili ya Quotes Mbali Mbali Kwa watu mashughuli duniani ambao bado wapo Hai na wengine waliotangulia kwenye ulimwengu mwengine.
1 Reactions
11 Replies
725 Views
Tembelea matawi matawi tajwa hapo juu Kisha chunguza Kwa kina. Ni Pisi zilizo nyooka hazina kipengele na wanatoa huduma nzuri wanakusikiliza mteja wao .. Huko kwingine wananyodo huduma mbovu...
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Kuna mtu mmoja amewahi kusema ntwara(mtwara ) haikuwa ndani ya Tanzania bali ulikuwa ukanda wa Msumbiji, Yawezekana yakawa ni ya kweli mimi sina uhakika. Dondoo hizi zinahusu mambo ya kunishangaza...
12 Reactions
80 Replies
4K Views
Hiyo konyagi hapo mnayoiona bei ni 3,500/=,soda 7,00/= maji 1,000/= Totall 5,200/= Nipo kwa shangazi pub huku uyole tulia road napiga vyombo tu,aliyeko karibu aje tule vitu. Kitimoto huku nusu ni...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Kuna chawa , kuna kada,kuna mwanaharakati ila politics ni kifo cha mende, au popo kanyea sinia la wali, politics upside down ,mjinga anajiita mwerevu,mwerevu anaitwa mjinga 🤣🤣🤣🤣, choicevariable...
4 Reactions
58 Replies
2K Views
Huyu Mbunge aliyeita watu ni Kenge kumbe katumia miaka 27 kupata Diploma. Ila nadhani hakuna Bunge duniani lina vilaza kama hili.
3 Reactions
2 Replies
343 Views
Eti wakuu yupi ni kiumbe hatari ukikutana naye huwezi pona kati ya hawa na yupi unaweza Pona? Na kwa mbinu zipi? Kati ya nyoka KOBOKO na mnyama SIMBA Kwangu Mimi naona Bora nikutane na koboko...
3 Reactions
13 Replies
630 Views
Mie upande wangu la saba nilimaliza Mugabe sinza .......20003 Form four azania sec 2007 Form six tambaza sec 2010 Wana nzengo katika hili hebu tuanze kufahamiana wewe ni wa mwaka gani ukutqne...
4 Reactions
3 Replies
313 Views
Anapenda sana siasa huyu MamaSamia2025. Ila shida sasa siasa yenyewe bado hajaiweza au niseme haijui. But nadhani ni vyema tumpongeze kwa kuonesha juhudi. Ingawa huwa anakuwa na hasira na...
5 Reactions
14 Replies
676 Views
Zamani mimi nilikuwa najua manesi wanaolewa na madokta baadae wanakuja kuzaa wagonjwa. Wadau hamjamboni nyote? Read somewhere, laughed loudly, glad I was alone.
6 Reactions
12 Replies
660 Views
Kwanini usipooa/olewa ni ngumu kupata chumba cha kupanga? Lakini sio chumba tu; hata nyumba, ajira, na heshima?
3 Reactions
41 Replies
3K Views
Ndugu yangu Lucas Mwashambwa kapatwa na nini siku hizi? Zamani alikuwa anaandika mabandiko mareefu yenye ucheshi ndani yake na alikuwa anawajibu watu kwa ucheshi vile vile. Lakini siku za hivi...
16 Reactions
71 Replies
2K Views
Katika kajitafiti kangu kafupi nimegundua kuwa hakuna kabila inapenda kula mzigo kama wanyiramba awe wa kike awe wa kiume kazi ni ile ile halafu kwa kuzaa watoto holela, unakuta kila mtoto ana...
2 Reactions
14 Replies
18K Views
Nipo Las Vegas hapa USA kama kuna mtu yupo karibu please tuwasiliane maana nipo tu bored. kulikuwa na kikao tumemaliza toka Jumamosi so nikaona nikae kae kidogo kuonana na jamaa zangu. bahati...
21 Reactions
29 Replies
2K Views
Historia na maandiko yanasema kwamba Sodoma na Gomola ni miji iliyokuwa ina fanya mabalaa kibao, kinyaa kibao, ushenzi kibao... Yaani mpaka ikafikia miji hiyo kuangamizwa Ila nionavyo mimi..kwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom