JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jambo la kufahamu sijisifu wala sina nia ya kudharau watu wengine hapana bali naongea ukweli Wako walionizidi kwenye historia na wako watakaonizidi baada ya miaka 100 kupita
16 Reactions
207 Replies
7K Views
Ukipewa box ambalo lina kila kitu ulichowah kupoteza kwenye maisha yako! Ni kitu gani cha kwanza utakitafta kwenye hilo box?
5 Reactions
53 Replies
2K Views
Wale ambao tutafika mbinguni tukiwa tumechoka tukutane hapa 1. Kumnyandua mke wa mjomba tumbo moja na mama,staisahau hii dhambi, Mjomba aliniomba nimpe kampani mke wake wakati akiwa amesafiri...
20 Reactions
293 Replies
32K Views
Mwanamke mrefu anapenda mwanaume mrefu. Mwanamke mfupi, anapenda mwanaume mrefu, Sasa mwanaume mfupi atapendwa na nani?
8 Reactions
38 Replies
4K Views
Habari wana JF, Niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa kautafiti kangu kasiko rasmi hasa nikiwa kwenye daladala au kagari kangu ka bei mbaya, nimeshuhudia wengi wa wadada /wamama (sio wote...
10 Reactions
146 Replies
17K Views
Jamani ndugu zetu Wachagga wana majina yaliyo enda shule, na ili uyaelewe shurti uwe msomi. 1. Beautiful Flower Shayo 2. Godlisten Shirima 3. Jesus is God Massawe...... Hebu na wewe tupia jina...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Miezi 9 tumboni mwa mama , saa 12 za uchungu, kukosa usingizi usiku zaidi ya mara 100, kuongezeka zaidi ya kilo 10 , afuuuu anafanana na baba yake.Mungu aendelee kuwa upande wenu wanawake.. 🙏...
2 Reactions
6 Replies
444 Views
Hakuna asiye jua eneo maarufu ndani ya Jiji la Dar es salaam. Embu elezea purukshani yoyote kutokea mbaga la uliyo wahi kukutana nayo:
1 Reactions
0 Replies
207 Views
Je wajua kuwa Wajapan ndio wanashika nafasi ya kwanza duniani kwa kunya kinyesi kidogo sababu hula kidogo sana kuliko watu wengine duniani wa mataifa mengine? Kama una nyumba pangisha wajapan...
1 Reactions
16 Replies
639 Views
Mchungaji alikuwa anawafundisha vijana somo la upendo na kusisitiza "PENDANENI KAMA MUNGU ANAVYOTUPENDA". Baada ya mwezi mmoja, kijana mmoja akamwendea Mchungaji na kumwambia, "MCHUNGAJI, SOMO...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu haya si maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa mtu wangu mmoja ninayemwamini sana kwa kunipa uzoefu na nasaa juu ya mambo mbalimbali ya kimaisha.
3 Reactions
13 Replies
489 Views
Kwangu ilikuwa moja ya siku nzito sana na picha lilianzia palepale showroom ile nimekabiziwa tu mkoko. Nlikuwa sijui kuendesha lakini nling'ang'ana niendeshe mwenyewe nkakoswakoswa na daladala...
10 Reactions
32 Replies
989 Views
Ndugungu zangu katika imani! 1. Siku hizi nikiona mtu anaongelea usimba na uyanga namwona punguani. 2. Nikimwona mtu wangu wa karibu anaisifu Korea kaskazini kama nchi hatari duniani namwona...
33 Reactions
113 Replies
3K Views
Hivi huwa mna matatizo gani? Hili haliusiani na siasa tafadhali sana. Hapa ilipoandikwa tuende hapo. Wewe binti leo umekua vimaziwa hivyo Mabazazi wananyonya. Wewe binti umezaliwa baba yuko wapi...
2 Reactions
6 Replies
429 Views
hahahahahahahaha hii iliniacha hooi bin taabani MKURYA MMOJA ALISIKIKA AKISEMA: AROO! HAYA MAJITU YANASHINDWA KUBIKIRI FIZURI, MAWASO YAO YOTE YAKO KWENYE KURA KIBORO NA UCHI. akiwa na...
7 Reactions
109 Replies
24K Views
Hii nchi ina vituko na JF ndio studio yake🤣 Ni basi tu tunawaponda dada zetu walio 30+ ila Kijana wa kiume ukishafikisha 30+ wewe nae ni "LIJOMBA" hadhi ile ile ya lishangazi. Siku hizi wadada...
11 Reactions
36 Replies
1K Views
Majina ya kwanza kwa watoto wa kwanza wa kiume Marwa-Pombe Mwita-vita Chacha-zimekuja( ng'ombe zilizoibwa zimekuja) Majina ya kwanza kwa watoto wa kwanza wa kike Rhobi- msururu wa( hasa ng'ombe...
2 Reactions
19 Replies
16K Views
Amani iwe nanyi waungwana... Haya maswala ya kuigaiga na kujifanya over confidence kisa Umeona kuna watu wa aina fulani, niwaonye yatakuja kumtoa mtu uhai!. Kiberenge wa watu nilikuwa nimeenda...
140 Reactions
183 Replies
15K Views
Wakuu Leo nilikuwa na laki moja na elfu 47,nimeiteketeza yote.kivipi?kihivi! Leo nilikua nakunywa pombe za kistaarabu heinikeni nikanywa vingi tu kwenye grocery fulani sasa nimewakuta mademu...
5 Reactions
24 Replies
3K Views
Heshima mbele wakuu. Tumeshuhudia mara nyingi, watoto hurithi kazi za wazazi wao. Kama baba alikuwa mwimbaji mtoto nae anakuwa mwimbaji, kama mama alikuwa muigizaji mtoto nae anakuwa muigizaji...
12 Reactions
122 Replies
3K Views
Back
Top Bottom