Nakumbuka wakati naanza safari yangu ya kitaaluma pale Eden Valley primary school iliyopo buswelu mwanza, moja ya kitu kilikuwa kinanishangaza kuhusu hawa wakenya ni kitendo chao cha kunywa uji...
Wakuu,
Kila mmoja wetu humu jukwaani ana stori yake ya kuvutia,kusisimu na kushangaza ya kwa nini alijiunga jf!
Wapo waliovutiwa na stories za mapenzi,siasa,michezo nk.
Kwa upande wangu stori...
Hiyo namba ndio mwaka wangu wa kuzaliwa,ulivyokuwa na hamu ya kujua Etugrul Bey ana miaka mingapi utapiga hesabu bila aibu ujue nina miaka mingapi,usijichoshe hii may nimetimiza miaka 46,je kuna...
Habari wakuu.
Uzi huu ni kwajili ya Quotes Mbali Mbali Kwa watu mashughuli duniani ambao bado wapo Hai na wengine waliotangulia kwenye ulimwengu mwengine.
Tembelea matawi matawi tajwa hapo juu Kisha chunguza Kwa kina.
Ni Pisi zilizo nyooka hazina kipengele na wanatoa huduma nzuri wanakusikiliza mteja wao ..
Huko kwingine wananyodo huduma mbovu...
Kuna mtu mmoja amewahi kusema ntwara(mtwara ) haikuwa ndani ya Tanzania bali ulikuwa ukanda wa Msumbiji, Yawezekana yakawa ni ya kweli mimi sina uhakika.
Dondoo hizi zinahusu mambo ya kunishangaza...
Hiyo konyagi hapo mnayoiona bei ni 3,500/=,soda 7,00/= maji 1,000/=
Totall 5,200/=
Nipo kwa shangazi pub huku uyole tulia road napiga vyombo tu,aliyeko karibu aje tule vitu.
Kitimoto huku nusu ni...
Kuna chawa , kuna kada,kuna mwanaharakati ila politics ni kifo cha mende, au popo kanyea sinia la wali, politics upside down ,mjinga anajiita mwerevu,mwerevu anaitwa mjinga 🤣🤣🤣🤣, choicevariable...
Eti wakuu yupi ni kiumbe hatari ukikutana naye huwezi pona kati ya hawa na yupi unaweza Pona?
Na kwa mbinu zipi?
Kati ya nyoka KOBOKO na mnyama SIMBA
Kwangu Mimi naona Bora nikutane na koboko...
Mie upande wangu la saba nilimaliza Mugabe sinza .......20003
Form four azania sec 2007
Form six tambaza sec 2010
Wana nzengo katika hili hebu tuanze kufahamiana wewe ni wa mwaka gani ukutqne...
Anapenda sana siasa huyu MamaSamia2025. Ila shida sasa siasa yenyewe bado hajaiweza au niseme haijui. But nadhani ni vyema tumpongeze kwa kuonesha juhudi.
Ingawa huwa anakuwa na hasira na...
Ndugu yangu Lucas Mwashambwa kapatwa na nini siku hizi?
Zamani alikuwa anaandika mabandiko mareefu yenye ucheshi ndani yake na alikuwa anawajibu watu kwa ucheshi vile vile.
Lakini siku za hivi...
Katika kajitafiti kangu kafupi nimegundua kuwa hakuna kabila inapenda kula mzigo kama wanyiramba awe wa kike awe wa kiume kazi ni ile ile halafu kwa kuzaa watoto holela, unakuta kila mtoto ana...
Nipo Las Vegas hapa USA kama kuna mtu yupo karibu please tuwasiliane maana nipo tu bored. kulikuwa na kikao tumemaliza toka Jumamosi so nikaona nikae kae kidogo kuonana na jamaa zangu. bahati...
Historia na maandiko yanasema kwamba Sodoma na Gomola ni miji iliyokuwa ina fanya mabalaa kibao, kinyaa kibao, ushenzi kibao...
Yaani mpaka ikafikia miji hiyo kuangamizwa
Ila nionavyo mimi..kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.