linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,699
- 4,326
Habari wana JF,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa kautafiti kangu kasiko rasmi hasa nikiwa kwenye daladala au kagari kangu ka bei mbaya, nimeshuhudia wengi wa wadada /wamama (sio wote mnielewe) wakiwa wanaendesha vigari vyao huku mapaja yakiwa wazi tofauti na wadada/wamama wanaopanda daladala.
Mbona wanaume hawana mbwembwe za hivi? Yaani aibu huwa naona mimi hasa pale mdada anapokuwa na mapaja personal.
Sina picha naogopa TCRA.
Badilikeni banaa kisa upo kwenye kimkweche ndo utuanikie tupaja twako, aaagh!!
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa kautafiti kangu kasiko rasmi hasa nikiwa kwenye daladala au kagari kangu ka bei mbaya, nimeshuhudia wengi wa wadada /wamama (sio wote mnielewe) wakiwa wanaendesha vigari vyao huku mapaja yakiwa wazi tofauti na wadada/wamama wanaopanda daladala.
Mbona wanaume hawana mbwembwe za hivi? Yaani aibu huwa naona mimi hasa pale mdada anapokuwa na mapaja personal.
Sina picha naogopa TCRA.
Badilikeni banaa kisa upo kwenye kimkweche ndo utuanikie tupaja twako, aaagh!!