JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mtaje rafiki yako ambaye alifariki mapema sana na hutawahi kumsahau, naanza na mimi kaka yangu mtoto wa mama mdogo. Rest in peace broh.
2 Reactions
57 Replies
3K Views
Na majimbo ambayo ukija Mkoani Mara tutakupa Ugombee ni ya Tarime Mjini, Serengeti na Mwibara kwa Watu waliopinda. Cc: Maxence Melo
3 Reactions
21 Replies
699 Views
Kama umewahi kumla dada wa rafiki yako kimya kimya au hata mdogo wake na kwa wanawake kama umewahi kutembea na kaka wa rafiki yako kimya kimya au mdogo wake huu ndio muda wako wa kutubu usamehewe...
1 Reactions
54 Replies
9K Views
Samaleko... Nilikutana na binti fulani wenyewe wanasema English figure!, kitoto cheupe rangi ya mtume, kilichonipendeza zaidi ni muonekano wa sura yake!, anamacho fulani hivi akikuangalia unaweza...
10 Reactions
23 Replies
1K Views
Ananifanya niende mbali kufata bidhaa ila nisiende kwake, suala la kuongezana ni kati ya mwanamke na mwanaume, sasa mwanaume kumuongeza mwanaume mwenzio kila akinunua kitu unamanisha nini? Suala...
31 Reactions
182 Replies
6K Views
Wishing you a birthday as perfect as you are for me. Your day is as special as you are! May your birthday be as unforgettable as you are every day. Here's to another year of good health and...
31 Reactions
297 Replies
9K Views
Iwe hivi sasa... Bila kujali muda na Umri wako Jf Chit chat iamke!! Wakongwe na Wasasa Hoyeee. Nitakuja na list muda sio mrefu. To be continued... By the way hii forum inaendelea. Kwa picha...
34 Reactions
3K Replies
140K Views
Kwema wakuu. Jambo gani umekuwa unataka kumwambia mtu lakini hujamwambia, huenda ni kumpa pole, kumuomba msamaha, kumshukuru kwa jambo, kumwambia jinsi gani unampenda. Share jukwaani ni jambo...
11 Reactions
124 Replies
3K Views
Wasomi Kwa maksudi mmepuuza siasa na hamtaki kugombea, Wacha Sasa mtawaliwe na kuongozwa na mambumbumbu 1. Mh Dj Romy Jons Waziri wa Katiba na sheria 2 Mh Shilole Waziri wa Viwanda na uwekezaji...
3 Reactions
21 Replies
946 Views
Natumai mu wazima. Nakumbuka way back nikiwa kwenye harakat zangu... Kuna baharia aliniita na kuniuliza ishu Fulani, nilmjibu kavu akanambia "chora". Nikawa nashangaa tu kumbe maana yake ilkuwa...
6 Reactions
14 Replies
875 Views
Heshima kwenu wakuu wa Jamiiforums! Kama kawaida, dunia haina usawa, ila kuna viumbe ambao wao wanaamini wameumbwa tofauti na sisi wengine. Hapa sizungumzii malaika au miungu, hapan naongelea wale...
9 Reactions
54 Replies
3K Views
Kwa wale wapenda mambo yetu yale huwa una pendelea kutumia kinywaji gani uwapo maeneo ya burudani? Binafsi nikiwa viwanja napenda sana wine ya "saint Anna" ina nipa stata kwa uzuuuriii...
4 Reactions
102 Replies
5K Views
Sina maneno Sina maneno, ila ukweli ndiyo huu
5 Reactions
14 Replies
687 Views
Walio sema Shule ni Ufunguo wa Maisha wametupiga na kitu kizito Kama ni kweli mbona wasomi wengi bado wanahangaika na Maisha? Sahihi ni kusema Shule ni Ufunguo wa Maarifa Ni hayo tu!
11 Reactions
55 Replies
1K Views
Nakusalimia tu boss wangu uliye mbali na mboni ya macho yangu Haiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!,umenizururisha kwenye hilo jiji ,kidogo nilifahamu, nilieenjoy Nitarudi tena,nakumis , nakumiss, nakumiss...
31 Reactions
237 Replies
5K Views
Nimekutana na Mwamba hajali kubabake tuwe tunasoma kilichoandikwa kwenye nguo
8 Reactions
23 Replies
1K Views
Hili wala halina Ubishi kuwa Suala la Bahati na Nuksi itokayo kwa Mtu au Watu fulani ina Nguvu Kubwa mno katika Mafanikio ya Jambo au Mkakati fulani. Kuna Watu ukiwa nao katika Familia au Taasisi...
0 Reactions
17 Replies
894 Views
Wanaume, Usipoteze muda kurekebisha sahani ambayo hujaivunja wewe..
4 Reactions
3 Replies
288 Views
Mko salama wakuu? Jana nikakutana na jamaa zangu flani ambao saivi ni madereva wa IT,tukapiga tungi weee nikaona jamaa wanachanganya kuberi na konyagi kuwauliza wanasema eti inakata...
2 Reactions
18 Replies
739 Views
Kwema wakuu. 1. WAPO WATU wanaodai radi ni jogoo, na mtabishana sana ukipinga kwamba sio jogoo. Wanadai mvua ikinyesha jogoo yuko nje, kuna uwezekano mkubwa wa radi kupiga eneo hilo. Je ni kweli...
7 Reactions
37 Replies
1K Views
Back
Top Bottom