JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Bro huu sio utu wala uungwana kabisa, hata Kama ni unyama huu sio wa Dunia hii. nakumbuka ni wewe ndio uli nishauri nitoke kwetu nanjilinji, ili nije kukutembelea huko daslam. Kila tuki piga...
51 Reactions
420 Replies
9K Views
Wakuu huku watu wanauza radi
6 Reactions
9 Replies
442 Views
Hello, Nadhani most of us have all been there, maybe nduguyo kakupa zawad ya million 5, au dili zimekubali ukashika mpunga mrefu, au job ndiyo umepokea mshahara wako wa kwanza au maybe umepata...
3 Reactions
155 Replies
22K Views
Haya twende kazi, 1. Hawa wa pua za hivi wanapenda kuangalia mambo yao. Hawasumbuliwi na mambo ya watu wengine. 2. Hawa wengi wao wana sifa za uaminifu na uvumilivu. 3. Hawa hawapendi...
5 Reactions
22 Replies
951 Views
Usimueleze mtu mipango yako kabla hujakamilisha kwa ground wachawi wengi japokuwa hawashiki tunguli Watu wetu wa karibu ndo huwa wanatuharibia michongo yetu siku zote, usimuelezee yoyote kuhusu...
15 Reactions
19 Replies
511 Views
Wadau hamjambo? Nimehamia huku panaitwa Zumba mabanzini mkoa wa Pwani, kwa ufupi unapo toka Dar panda magari pale Mbezi yanayokwenda Boko Mnemela ukifika Boko Mnemela kodi boda boda elfu 6 mpaka...
7 Reactions
44 Replies
8K Views
Huyu ni miongoni mwa member kijana ambaye alikuwa na mchango mkubwa katika mijadala mbalimbali Jf katika kujenga hoja za nguvu na michango chanya ya kuelimisha , ushauri na ukombozi wa kifikra...
5 Reactions
64 Replies
1K Views
Utotoni Mchezo wa mieleka unapendwa sana, tupia kumbukumbu yako ya styles mbalimbali ulizozipenda kutoka kwa wanamieleka mbalimbali, Mimi naanza na; 1. Tombstone Piledriver - The Under Taker...
2 Reactions
179 Replies
14K Views
Wakuu naomba tutambuane kwa code maalumu leo! Achana na majina yako na vyeo vyako, em comment maneno unayoongea kila wakati ukiwa kazini kwako ili tukutambue unafanya kazi gani. Nasoma comment chini.
4 Reactions
58 Replies
1K Views
Hivi kwanini wadau Tanzania nzima haina fundi wa earphones na chaji za simu, Taa za umeme ? Taja vitu vingine ambavyo havina fundi nchi nzima.
6 Reactions
21 Replies
558 Views
Haya tuachane na ya Jana (hasa humu Mitandaoni) tuamke na tukafanye Kazi ili kujiletea Vipato, kutunza Familia zetu na kuimarika Kimaendeleo.
1 Reactions
4 Replies
163 Views
Tujitahidini kutunza vinywa huko..
2 Reactions
32 Replies
1K Views
Leo ni tarehe 8 December hebu tuambie upo wapi kwa sasa mjini au kijijini! Kwanini upo hapo ulipo Binafsi nipo mjini naendelea na shughuli zangu kama hamna kinachoendelea nchini wewe je?
6 Reactions
30 Replies
578 Views
Tunajua kipindi cha Desemba ndo kipindi cha kukusanyika na familia na kufurahi kwa pamoja kipindi hiki cha likizo. Lakini niwe mkweli natamani sana mwaka huu nisherekee mwenyewe au tutoke out na...
7 Reactions
40 Replies
996 Views
Sina kumbukumbu kabisa mara ya mwisho kuona kipepeo, watoto wengi sikuhizi wanamjua kwa picha na kumuimba lakini hawajawahi kumuona kwa macho yao
11 Reactions
62 Replies
1K Views
Eti mala yako ya mwisho wewe kuokota pesa lini na ulikota shingapi? Na ushawai oupoteza pesa kiasi gani mpaka ukajilaumu sana Mimi mara ya mwisho kuotoka pesa ilikuwa juzi shilingi 100 niliokota...
6 Reactions
12 Replies
832 Views
Back
Top Bottom