Watu mna upwiru siyo kawaida, kwa mlivyojazana na kushupaza vichwa kwenye huo uzi wa mrembo, naamini wengi wenu humu vichupa vimejaa.
Enewei, mida yangu ya kujidai, njooni jamvini tusemezane...
Ndio, nimealikwa kwa rafiki zangu wakristo, nami ni mwislamu.
Pilau nimekula, nyama za kuchoma, pilipili, kachumbari, samaki, juisi na pombe juu nimekunywa
Tunafurahi na hata uzi huu nauandika...
Ndugu wana jf binafsi nimechoshwa na uchawa wa hayo mazimwi hapo juu nawaomba ili kutowapa airtime yoyote kama alivyoshauri comrade Mshana Jr nawaomba wakipost chochote kikaushieni msikoment Wala...
Mimi sio nabii ila tarehe 1 jan 2026, "daughter of long time" atakuja na uzi wa namna alikula bata kwenye mkesha na bwana wake na utapata comments 300
secretarybird
Mjusi Sharobalo
Vincenzo Jr...
Natafuta tiba za mganga wa kiasili Tanzania. Sina nguvu tena mwilini, ya kuenda chooni haja kubwa na ndogo. Nguvu za hedhi pia zimetolewa mwilini. Akili nasumbuka sana. Usiku hua nalala na nyoka...
Ni neno gani la kiingereza ambalo hukubaliani na spelling zake ila unakubali tu ili mawasiliano yafanyike
Mimi naanza na neno ''Psychology'' pana haja gani ya kuwa na P mwanzoni ili hali siitumii...
Habari zenu wakuu,
Kama ilivyo kwa wa Tanzania wengine swala la kusoma vitabu ni gumu sana kwetu hasa vijana na mara nyingi wazee ndo wamekuwa na utaratibu huo.
Leo nataka ku share na nyinyi my...
Wakuu
Hii mada ni maalumu kwa wanywa pombe aina zote za kienyeji(gongo,wanzuki na ile ya mtama) na za kisasa (pombe kati na soft)
Tuambie kwa nini unakunywa pombe?
Mwanzoni mwa mwaka huu kama masihara nilijikuta naingia ktk huu mchezo baada ya kujiunga kampuni mojawapo sitoitaja jina.
Kwa kifupi ni kwamba kushinda huwa nashinda ila kuliwa ni zaidi.
Pili...
Nashukuru sijala chakula cha krismass.
Sio rafiki wala jirani aliejaribu kunialika au kuniletea.
“Mtu yeyote anayeiga taifa fulani au kundi fulani, yeye ni miongoni mwao.”
(Sahih al-Bukhari...
Nimegundua hii trend. Viwanja vyangu vyote vya kumwagilia moyo kila baamedi ninaepiga nae story ananiambia ana mtoto. Ukimuuliza baba mtoto yuko wapi analeta story za hapa na pale.
Hii kazi ya...
Kwa upande wako skukuu yako unaenda wapi? Mimi nitakuepo home tu ila natamani niingie town nidake maini yenye utumbo msafi nikapige nayo bia mbili tatu!
Kula bia bila maini ikiwa pembeni huo ni...
Huu ni uzi maalumu wa kutakiana;
Kheri
Fanaka
Afya njema
Mafanikio
Upendo
Amani
Furaha n.k
Na kwakuwa tuko katika msimu wa sikukuu basi si vibaya tukijuzana nyimbo tam tam za wakati huu..Mimi...
Yaani ni opportunity in disguise ,ile mamlaka tangu jana wawazuie washikaji wasipashane habari ,vidume kibaooo vimeyeyuka havionekani mjini ban limewakalia kooni,walioko ni vidume tu wa mbegu...
Huu uzi ukiingia kichwa kichwa utaishia kuwa na hasira halafu utatoka bila bila
Ila ukiwa makini utatoka na kitu hapa
Nimeweka huu uzi baada ya Juzi kuweka tangazo langu la kuuza ac na vitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.