1. Mke wangu, huwa najiapiza siwezi kumuacha kiurahisi kabisa
2. Jamii forums nimekuwa ni zaidi ya mlevi. Kama bado sijaingia humu hapo bado nitakuwa sijafanya kitu
Wewe je?
Wakuu!
Umetulia zako huna hili wala lile halafu ghafla unaona mmoja wao, ni mdudu gani kati ya hawa unamuogopa zaidi? 😅
A. Kunguni
B. Nairobi fly
C. Tandu
D. Nge
E. Chawa
F. Mende
Rejea title, rejelea jukwaa.
Ukitaka mada za maana nenda siasani kule ukqjionee vioja. Watanzania wanafki sana, tuambizane ukweli kwa kutoambizana kweli.
Niyasemayo ni haki, na dhahiri shahiri...
Kuna makamanda wa Polisi wa mikoa waliovuma sana enzi zao za utumishi Jeshini kwa kupambana na uhalifu. Mmoja wapo ni, Venance Tossi, Afred Tibaigana, Suleiman Kova, Omari Mahita, David Daud...
Leo katika pitapita zangu, nikaona nipite nimchukue binti angu.
Basi bana watoto wakaniona nimepaki nikashuka kwenye Vogue, nikazunguka nyuma yao. Wakaanza kumtania mwanagu, Neema(code) huyo ni...
Walikua maarufu sana hasa Twitter x" na Telegram,miaka ya 2021 mbaka 2024?
:Asha zungu
:Sauda Bubu
:Linda amossi
:Yanga girl
:Mona deus aka slim lady,
:Sy kivuluge
sijapata kabisa kuwaona si...
Huu ni uzi huru ukiwa na wazo unaloona linafaa Kuwa wazo la siku tupia hapa. ..kijiweni
Mfano tuanze na
"Kadri unavyozidi kupanua ndivyo watu wananyozidi kutamani"
Kuna matukio nikikumbuka huwa najisikia vibaya, fedheha, pengine na kujicheka ndani yake. Kwamba ndio kujifunza huko. Wakati fulani nafanya kazi za video shooting nilishoot dicumentary ya dada...
Habari zenu wana JF, ni id gani ya member wa humu jamvini unayo ikubali zaidi? Mi binafsi nakubali iyi:
#Mtoto halali na Hela
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu mko salama humu?.
Baada ya kupitia changamoto nyingi za kimaisha,nikaamua kwenda kwa mganga kusafisha nyota.mganga hakua na mengi ya kunifanyia ,zaidi alinipa tu chumvi ya mawe akaniambia...
Nitaanza na hawa dosho12 Vincenzo Jr
Upande wa manzi kuna Carleen na leo dada
Hawa jamaa wapo active ila sijawah kuona wanafanya ukorofi humu.
Wataje wengine🫵
Kuna wakaka wastaarabuuu....yaani mpaka unasema mwenyewe enheeeh. .....huyu ndo mtu. Hata IDs zao tu unaona wapoleeeee. Na wakiandika wanaandika mambo ya maana mpaka unafurahia kuwa JF. wapole...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.