JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
1. Mke wangu, huwa najiapiza siwezi kumuacha kiurahisi kabisa 2. Jamii forums nimekuwa ni zaidi ya mlevi. Kama bado sijaingia humu hapo bado nitakuwa sijafanya kitu Wewe je?
8 Reactions
12 Replies
330 Views
Wakuu! Umetulia zako huna hili wala lile halafu ghafla unaona mmoja wao, ni mdudu gani kati ya hawa unamuogopa zaidi? 😅 A. Kunguni B. Nairobi fly C. Tandu D. Nge E. Chawa F. Mende
7 Reactions
40 Replies
657 Views
Rejea title, rejelea jukwaa. Ukitaka mada za maana nenda siasani kule ukqjionee vioja. Watanzania wanafki sana, tuambizane ukweli kwa kutoambizana kweli. Niyasemayo ni haki, na dhahiri shahiri...
1 Reactions
14 Replies
213 Views
Kuna makamanda wa Polisi wa mikoa waliovuma sana enzi zao za utumishi Jeshini kwa kupambana na uhalifu. Mmoja wapo ni, Venance Tossi, Afred Tibaigana, Suleiman Kova, Omari Mahita, David Daud...
4 Reactions
102 Replies
28K Views
Hebu wadada wa humu tutongozeni ili tupime misimamo yetu. Shusheni vocal hizo nasisi tuanze kutafuna majani na kung'ata kucha! 🔥
18 Reactions
1K Replies
54K Views
Leo katika pitapita zangu, nikaona nipite nimchukue binti angu. Basi bana watoto wakaniona nimepaki nikashuka kwenye Vogue, nikazunguka nyuma yao. Wakaanza kumtania mwanagu, Neema(code) huyo ni...
8 Reactions
23 Replies
549 Views
Walikua maarufu sana hasa Twitter x" na Telegram,miaka ya 2021 mbaka 2024? :Asha zungu :Sauda Bubu :Linda amossi :Yanga girl :Mona deus aka slim lady, :Sy kivuluge sijapata kabisa kuwaona si...
5 Reactions
25 Replies
359 Views
Huu ni uzi huru ukiwa na wazo unaloona linafaa Kuwa wazo la siku tupia hapa. ..kijiweni Mfano tuanze na "Kadri unavyozidi kupanua ndivyo watu wananyozidi kutamani"
6 Reactions
100 Replies
31K Views
Kuna matukio nikikumbuka huwa najisikia vibaya, fedheha, pengine na kujicheka ndani yake. Kwamba ndio kujifunza huko. Wakati fulani nafanya kazi za video shooting nilishoot dicumentary ya dada...
2 Reactions
0 Replies
129 Views
Swali gani unachukia kuulizwa?
8 Reactions
111 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF, ni id gani ya member wa humu jamvini unayo ikubali zaidi? Mi binafsi nakubali iyi: #Mtoto halali na Hela Sent using Jamii Forums mobile app
7 Reactions
377 Replies
19K Views
Wakuu mko salama humu?. Baada ya kupitia changamoto nyingi za kimaisha,nikaamua kwenda kwa mganga kusafisha nyota.mganga hakua na mengi ya kunifanyia ,zaidi alinipa tu chumvi ya mawe akaniambia...
11 Reactions
35 Replies
3K Views
Soma ujumbe na ufanyie kazi
1 Reactions
5 Replies
162 Views
Deadline ya kunyoa ni kesho ili by valentine uwe umemaliza kujikuna
4 Reactions
53 Replies
592 Views
Sasa mtaanza kumtetea kuwa hio ni briefcase, sijui man purse, lakini kiukweli this is whack!
26 Reactions
114 Replies
2K Views
Nitaanza na hawa dosho12 Vincenzo Jr Upande wa manzi kuna Carleen na leo dada Hawa jamaa wapo active ila sijawah kuona wanafanya ukorofi humu. Wataje wengine🫵
19 Reactions
501 Replies
6K Views
Kuna wakaka wastaarabuuu....yaani mpaka unasema mwenyewe enheeeh. .....huyu ndo mtu. Hata IDs zao tu unaona wapoleeeee. Na wakiandika wanaandika mambo ya maana mpaka unafurahia kuwa JF. wapole...
21 Reactions
193 Replies
5K Views
Back
Top Bottom