JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ndug zangu, msaada wa haraka kwenu juu ya hii ndogo nafahamu hapa kuna watu wabobezi wa mambo mbalibali, ndoto hiyo imenipa hofu sana. Ndugu zangu naombeni maaana ya ndoto hiyo kama ndoto hiyo...
4 Reactions
27 Replies
13K Views
Kisokolonkwinyo ni binti wa miaka 21 huyu binti amezaliwa tu katika familia ya kipato cha kati, baada ya kuzunguuka huko nahuko katika mashule na chuo amefanikiwa kuhitimh Diploma ya Uhasibu...
1 Reactions
3 Replies
343 Views
Hatimaye nilitafakari swali la zamani: Je, kuzaa ni uchungu zaidi kuliko kupigwa teke kwenye korodani?. Wanawake daima hushikilia kwamba kuzaa ni uchungu zaidi kuliko mwanaume anayepigwa kwenye...
12 Reactions
43 Replies
4K Views
Njoo ujishaue kama upo hivi, ~ Mwanamke usiyeomba hela. ~ Njoo mwanamke unayependa na kula utakavyo kwa pesa yako bila kuhongwa wala kubegi mtu. ~ Njoo kama ni mwanamke anayefanya juhudi...
6 Reactions
54 Replies
2K Views
Nasema ivi hata salamu simlikuwa hamtaki eti kisa mpo kwenye funga, mtajua hamjui na sisi mabaharia tumeanza funga yetu kivyetu. Tunaenda na wale tuliokuwa nao pamoja katika kipindi hiki kigumu.
5 Reactions
14 Replies
792 Views
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana Husika na kichwa cha habar hapo juu Mungu aliiumba dunia hapo zaman za kale, aliumba wanyama wakali kama simba na wajanja kama sungura, lakin...
15 Reactions
416 Replies
44K Views
Leo nimetimiza miaka kadhaa ,leo ni siku yangu ya kuzaliwa mimi na brother from another mother Me two aka Sugu Tu wishi tu USSR
2 Reactions
5 Replies
501 Views
Leo ni siku ya wafanyakazi Duniani. Majobless inatuhusu pia kujua nini kinaendelea duniani. Kujua tu inatosha. Sasa kwenye mada moja kwa moja kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Haki au...
0 Reactions
6 Replies
412 Views
Hebu leo tujadili vichwa hatari sana kwa leo kwa story Je ni umughaka aliyeandika 👇...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Jamani walimwengu wabaya,dunia mbaya.jana niligeuka kenge kwa muda usiojulikana baada yakulala na mkewa mtu. Sasa iliishia nipo juu ya meza na type uzi humu JF na ukizingatia mkono ulikuwa mnene...
1 Reactions
3 Replies
503 Views
Salaam MMU, guyss naomba tushare chats huku tukificha contacts za warembo tunaochat nao kila siku, either iwe tunawatongoza, tunavoomba mbususu, wanavotupiga mizinga etc ili tujifunze na...
4 Reactions
62 Replies
7K Views
Wakuu, Hebu tuachane na story za yule mpuuzi jana katutia aibu sababu ya utoro wake kutohudhuria vikao, barua yake ya kumfuta uanachama iko tayari, itamkuta huko huko aliko. Kila Mara kwenye...
36 Reactions
131 Replies
5K Views
Cc Castr
8 Reactions
90 Replies
7K Views
Napenda kutoa salam kwa ndugu zangu humu jukwaani vijana kwa watu wazima. Moja kwa moja kwenye mada...Maisha yana Mapito mengi sana. Lakini Mimi nitawaletea vituko, nilivyowahi kuvifanya...
6 Reactions
27 Replies
3K Views
Kuna Mmoja nimepishana nae Stendi ya Makumbusho nikitaka kupanda Gari za Mbagala Rangi Tatu na kwa jinsi yalivyonivutia yalivyokuwa yanatikisika Kiushawishi wa Tendo Pendwa la Kibaiolojia...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Sikuzote hawa wenzetu huongea kinyume, ukikutamkia anakupenda jua hupendwi,akikutamkia hakupendi jua unapendwa. Jitahid umakinike na matendo yake na sio maneno yake wanaume weng mmeingia kwenye...
1 Reactions
4 Replies
432 Views
Kwa wale wasiofahamu, Simba SC imewahi kutinga na kunyanyua kwapa mara kadhaa katika hatua ya nusu na fainali hatimaye ubingwa huko ughaibuni. Hapa ni moja ya viungo wakabaji akiwa amenyanyua...
5 Reactions
3 Replies
454 Views
  • Closed
mahondaw when i think of you... I long to feel your touch, am whispering in your ears, words are old as time, words only you hear because are mine... mahondaw remember the very first day i...
8 Reactions
203 Replies
19K Views
Diagnosis iko hivi; Stress level iko juu Wana msongo mkubwa wa mawazo Hasira kali iliyo changanyika na njaa kali; and Kujinyonga ni most natural and probable consequence. Mungu awafanyie wepesi.
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Nchi ngumu sana, kwasababu kama tatizo dogo la mfumo wa umeme limeshindikana kabisa je, hiyo treni ya umeme usalama wa abiria utakuwaje? Ni maswali tunapaswa kujiuliza kwa upana zaidi na sio...
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom