Hebu leo tujadili vichwa hatari sana kwa leo kwa story
Je ni umughaka aliyeandika 👇
Au YOGA 🧘♀️ mwandishi na mtunzi wa👇
www.jamiiforums.com
Je ni umughaka aliyeandika 👇
Au YOGA 🧘♀️ mwandishi na mtunzi wa👇
Dark days 17/03/20
Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi! Big...