JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nyie kuku wangu amejiuwa je naweza kula kuku aliyekufa maana bado wa moto moto 👀
13 Reactions
34 Replies
1K Views
Kitu au jambo gani ukilisikia tu au kuliona unajua linafanyika Tanzania hakuna sehemu nyingine. Naanza na mimi Kuunga kifurushi cha wiki kikaisha ndani ya siku moja
4 Reactions
21 Replies
840 Views
Hahh wale masista duuu Depal na nyie vibiuhandsom boy wa makumbusho mixer virasta na mkorogo muda wa kumkaribisha mgeni nyumani na chooni Msijali mwakani muda kama huu pia mtateseka kwa desing...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Apa lazima kichapo kikali kimtembeleee
11 Reactions
39 Replies
1K Views
Yaani..... 1. Nimepoteza kabisa Nuru 2. Natia Huruma niwapo na Watu 3. Sijiamini amini 4. Najishtukia 5. Napatwa na hamu ya kwenda Kijijini mara kwa mara 6. Nikikumbuka tu nilichokifanya...
12 Reactions
22 Replies
937 Views
Moja kwa moja kwenye mada. Leo tu waandikie wazazi wako ujumbe mzuri kwa yote waliyokufanyia hadi sasa upo hivyo ulivyo. Haijalishi wako hai au wametangulia mbele za haki, wewe andika neno zuri...
4 Reactions
2 Replies
659 Views
Habari zenu
1 Reactions
1 Replies
160 Views
Mimi nakumbuka ilikuwa ni mwaka 2008 nikiwa katika pita pita zangu nikafika kwenye mjengo mmoja wa maana ulikuwa na madirisha ya vioo vile vyeusi si nikaanza kujiangalia vile vioo huku nikiwa...
3 Reactions
12 Replies
732 Views
Screenshot high score ulizofikisha katika uchezaji wako wa magame. Andika jina la game kisha picha, kama kuna mtu kazidi alama za game unalocheza ata reply. 2048
0 Reactions
1 Replies
239 Views
Kweli tembea uone kila siku utaona mapya na hutoyamaliza mengine ya kuelimisha kuburudisha na kusisimua hakika dunian ni sehemu ambayo unapata full package kujifunza, kuburudika n.k Mchana mwema...
5 Reactions
6 Replies
565 Views
Mimi maisha ya utafutaji yanahitaji Sana nidhamu kubwa kuliko elimu
1 Reactions
0 Replies
249 Views
Habari ya jioni wana JF. Mko salama jamani?😊 Ninaimani kichwa cha habari kinajieleza vyema. Yes! natamani sana kuacha kunywa coffee hususani espresso. na cappuccino. Nisipokunywa Kwa asilimia...
11 Reactions
284 Replies
9K Views
Huu ni uzi wa watu mbalimbali tuliowahi kusoma shule hii kongwe inayopatikana katika kata ya TANDALE, wilaya ya KINONDONI, mkoa wa DAR ES SALAAM katika miaka tofauti tofauti ili tuweze kujuana na...
0 Reactions
11 Replies
718 Views
"Sio kila mtu anafaa kunywa hata glasi moja ya Pombe"-Dk.Nuruel Kitomari - Bingwa wa Afya ya Akili na magonjwa ya akili kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili. Chanzo: itvtz Hakuna kitu nakichukia...
1 Reactions
1 Replies
509 Views
Ni kama miezi 3 kwenye social networks nyingine. Ila JF vivulana vinatongoza sana PM. Ni kama vimetumwa kunijaribu.
32 Reactions
281 Replies
4K Views
Leo mtag unayetamani awe mchumba wako hapa alafu mwambie maneno mazuri. Akikujibu vizuri endelea nae huwezi jua ya Mungu mengi. Tag wengu kadiri uwezavyo. Twende kazi.
10 Reactions
419 Replies
8K Views
Mi mkongwe sana humu jf ila ndo hvyo,mambo ya ID tena okay iko hiv Mi nilisoma hapo udsm, miaka hyo ya 2009-13 Aisee ni moja ya vijana tuliopata matokeo mazur 6,sio TO lakin. Ila ni kijana...
17 Reactions
68 Replies
4K Views
huyu jamaa alikuwa anaua nini hapa jamani?!
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Kwa sisi tulio nyumbani leo tutafuatilia mbashara matukio mawili. Mosi; Tanzania vs Guinnea Pili; Kamala Haris vs Donald Trump presidential debate live on ABC. Wakuu hilo la pili sio la kukosa...
1 Reactions
0 Replies
229 Views
3 Yoh 1..2 N mapenzi ya Mungu ufanikiwe, Lakini sio ktk dhambi. Kama unataka kufanikiwa tubu omba rehema Acha dhambi za sirini
3 Reactions
7 Replies
372 Views
Back
Top Bottom