JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Vijiweni, maofisini au popote tunapokutana na watu tofauti tofauti kila siku kwa nyakati tofauti huwa kuna wakati tunakutana na watu - hata washkaji zetu wenyewe - wanatupa story kuhusu mambo...
8 Reactions
111 Replies
3K Views
Salaam kwa Wanajukwaa..baada ya pilika pilika na changamoto za hapa na pale nimerejea Jukwaani.Namshukuru Mungu Kwa Uhai..Sasa nitaweza kusoma na Kuchangia hoja
1 Reactions
1 Replies
269 Views
Nina siku kadhaa nikikaa tu mahala kupata safari lager, watu laZima waniulize bro vip umetoka mkoa? Nasema hapana Wanasema unavyotoka jasho hivi wewe ni wa mkoa nami naamua kukubali. Jua na...
25 Reactions
69 Replies
2K Views
Ninawalaumu sana tu pia waliokuwa Msibani kwani hapo ndipo palikuwa patamu na Wao kumaliza Shughuli kabisa!!!!
4 Reactions
14 Replies
676 Views
Ukitaka kutunza pesa yako, jitahidi kuepuka hivyo vitu vitatu unavyoviona hapo kwenye picha. #women #betting #alcohol
8 Reactions
24 Replies
1K Views
Kwa mtazamo wangu naona hizi ndio nyuzi 10 maarufu zaidi hapa jukwaani. KIMASIHARA https://www.jamiiforums.com/threads/ulishawahi-kula-tunda-kimasihara.1634229/ KIHASIBU...
7 Reactions
15 Replies
2K Views
Jana usiku wakati nimekaa na mdogo wangu wa kiume mkubwa anayenifwata kuzaliwa akaniambia "Dada kumbe baba fulani (akamtaja baba mtoto wangu) ndio hana akili hivyo? Yaani jinsi nilivyokuwa...
16 Reactions
357 Replies
12K Views
"kijana unatakiwa ufuate utaratibu wa mtaa wetu Kikubwa unaulizia ishu za michongo ya pesa lipia elfu mbili" (Nahisi jamaa alikua anapiga fegi) Nilikua nauliza kama naweza pata fremu mtaa fulani...
3 Reactions
2 Replies
324 Views
Wakuu, wakati nakuja Marekani nilihakikishiwa uwepo wa watu wengi kusapoti afya ya akili. Kimsingi wameweka misingi mingi mizuri kwamba ukijiona hauko sawa unawacheki wakuweke sawa. Sijawahi kuwa...
17 Reactions
84 Replies
4K Views
Je, bossies nani alikutana na vurugumai ya Buju? Yule headmaster anayevuta bangi alikuwa anaitwa nani? ~ Je, mshana na wenzie wapo? ~ Nani alipigwa mijeledi na yule Jamaa Buju?? ~ Je...
6 Reactions
24 Replies
2K Views
Nilisoma mada moja jinsi panya mende mijusi wanavyoondoa baraka za nyumban nikapiga dawa nkafanikiwa. Sasa na geti moja na wapangaji wangu wakisahau kufunga tu, unakuta mbuzi 10 ndani. Sasa hawa...
6 Reactions
18 Replies
536 Views
Kuna uhusiano gani kati ya pombe na Kiingereza? Kwanini wanywaji wa pombe walio wengi huzungumza kizungu mara baada ya kulewa? Japo ni broken English lakini najiuliza kwanini isiwe kichina? Au...
1 Reactions
6 Replies
392 Views
Wanajukwaa kama mnavyojua kumkopesha pesa ndugu yako lolote linaweza kutokea hivyo hakikisha mnakumbatiana kwa mara ya mwisho. NB; Usimkopeshe ndugu yako pesa bali mpe kabisa Soma Pia...
8 Reactions
34 Replies
1K Views
Homa imenizidia mie, kutwa nashinda nalia, jua linapochomoza machozi mie hunitoka kisa alichonitenda $Rejao, sitakisahau kamwe, amenishawishi nimuache mpenzi wangu ili nikaishi naye, nimeachwa...
6 Reactions
56 Replies
5K Views
Salamu, leo fundi kanisetia Dstv, kwa kifurushi Cha 60,000 hakika napata Kila kitu nilichotaka, channel za muziki za kutosha, tamthilia. Ni gharama ila Kuna vitu vizuri jamani. Sihami tena Dstv mie
34 Reactions
201 Replies
9K Views
VODABIMA: Habari yako Mama Esta , hapa ni Vodacom, tunakukaribisha kujiunga na bima yetu. Ukifa leo watoto wako watasomeshwa, ukipata ajali ukapata ulemavu utatunzwa hadi kufa kwako. Ukiugua...
2 Reactions
4 Replies
447 Views
Wakuu kwema? Ziara ya Nachingwea imetamatika sasa naja Mtwara mjìni. Wenyeji wa Mtwara mjini naomba mnipe maelekezo. Sehemu zipi za kuburudika? Na kuhusu wale watu wetu wa jinsia pendwa ni...
1 Reactions
8 Replies
796 Views
Wakuu kwema.! Wiki ijaona natarajia kusafiri kwenda wilaya tajwa hapo juu natokea mvomero, Morogoro, nitakuwepo huko kwa siku 21 Naomba kuuliza machache, Usafiri wa kwenda huko unaanzia Moro ama...
0 Reactions
9 Replies
727 Views
Back
Top Bottom