JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kila shabiki kuna namna alianza kupenda muziki na hatimaye akajikuta hawezi kutoka tena! Mi nakumbuka kwenye 90s mzee wangu alikuwa na music system ambayo alitoka nayo Russia na alikuwa akiplay...
1 Reactions
1 Replies
436 Views
Itifaki imezingatiwa, Wakuu, binafsi chanzo cha kutumia id-enter passcode ni shemeji/wifi/mtoto/mjukuu wenu, simu niliijaza pass words mpaka akitaka kufungua app yoyote inamdai aingize codes...
5 Reactions
14 Replies
836 Views
Wakuu samahani naomba kuuliza na kujuzwa wapi walipo hawa member wa kitambpo wa JF? Walipatwa na umauti? Walibadirisha ID? Wako wapi? GUDume Zero Iq Joseverest Na wengine wengine wakongwe wa JF
11 Reactions
51 Replies
2K Views
Napenda sana maua,mje nayo bas macho yafurahi na moyo uburudike. Hili ni kwa ajili ya jf members wote🧡
27 Reactions
429 Replies
10K Views
Nipo mbeya kwa ajili ya mambo yangu ya kifamilia. Nimekutana na mambo ya hovyo sana, nikasema ngoja niwaulize wadau. Jamani eti kunywa beer 20 pekeyako ni starehe au ni stress. Conclusion yangu...
8 Reactions
13 Replies
800 Views
Katika familia nyingi za kiafrika ukali kutoka kwa mzazi mmoja au wawili, hasa baba imekuwa kama desturi kwa baadhi ya familia. Hali hiyo inaweza kusababisha watoto kuwa na hofu na wasiwasi...
0 Reactions
4 Replies
471 Views
True happyness does not demand expensive stuff. Watu wengi duniani hawana furaha, hivyp basi inawalazimu kuforce Furaha ije hata kwa kiki ya piki piki. Watu wafuatao hawana fursha hata kama...
6 Reactions
19 Replies
966 Views
Hi! Ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya. Naombeni elimu kidogo namna ya ku-mention member kwenye post, mimi nashindwa lakini naona wenzangu mnaweza. Mnafanyaje??
1 Reactions
124 Replies
11K Views
Nakumbuka enzi zile wakati hakuku wa na members wengi kama sasa, na internet ilikuwa hadimu. Yaani wanachat tulikuwa kama family ndogo hivi, tulikuwa tunajuana personality ya kila mtu wako wapi...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kweli wahenga walikua sahihi waliposema tembea ili uone mengi, yahani mimi na ukubwa wangu huu nilikua sijui Kama uji ni juice ya mahindi mpaka nilipofika MBEYA. Kweli wanyakyusa mmetisha sana...
0 Reactions
4 Replies
582 Views
Huyu ni mtangazaji wa kike wa cnn,nampenda sana jinsi anavyoongea kiarabu fasaha kabisa
0 Reactions
2 Replies
238 Views
Wryii
5 Reactions
70 Replies
8K Views
Mswaki uhu wengi wanautumia sana na ili waache kutumia bas labda waone mtoto anauchezea chini au umeangukia chooni vinginevyo utatumika mpaka ulie up one kushoto 🤣🤣 au aende safari af awe...
20 Reactions
139 Replies
4K Views
Nina mdogo wangu kamaliza chuo 2022 up leo hana cv mara ya kwaza nimtumia cv yangu nikamwambia edit ilikuwa mwaka jana akasema hana cv nikampa yangu edit then itumie iyo leo anakuja kusema hana cv...
11 Reactions
94 Replies
3K Views
IKENGYA NA BEYARULA Beyarura, orairota? Ati: “Ndaire mbyamire, oraboine arara ayemereire?” Beyarura, omuka wasigayoki? Ati: “Omuka ni nkahai? Mbali oshanga Omukama niho oramiza.”...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
hii ndo budget ya manunuzi 1. Switch 3 2. Bulb 3 3. Cable 2 4. wire m20 5. Holders 5 6. Tester 3 Kimepelea nini kwa mtaji wa lak 1
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Honey for sale. Very origin, pure Honey.... Karibia Karibia customer....
3 Reactions
11 Replies
707 Views
Ni muhimu sana kuwa makini. Unapoenda kwenye kadamnasi kubwa! Uzi tiyari🤣
6 Reactions
60 Replies
3K Views
Unajuana na na nani ndio msingi mkuu na sio unajua nini Tafakari
0 Reactions
0 Replies
244 Views
Back
Top Bottom