JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Za siku wakuu. Kosa nililofanya, niko njiani natokea likizo nyumbani naelekea kazini, ninakoishi pamoja na familia nikasema nichukue mipira ya kiume (condoms), ili nikifika nyumbani kwa mke...
9 Reactions
42 Replies
2K Views
🤣🤣😆 kichwa habari chajieleza yaan marafiki ndugu jamaa wananitenga toka niuze kaeneo kangu huko maeneo ya kibaha nimepata laki8 na nusu basi watu wananionea wivu ama kweli pata pesa matako hulia...
5 Reactions
28 Replies
976 Views
Naam. Kiingilio 500,000,000 tu. Watu unaokaa nao, utafanana nao
7 Reactions
83 Replies
3K Views
Weekend iliyoisha mida ya saa tatu usiku napigiwa simu "oya njoo umchukue rafiki yako huku yupo chakali!" nikang'oka fasta mi nilikuwa sijashitua siku hiyo, kufika namkuta jamaa yupo nzwii haswa...
15 Reactions
26 Replies
1K Views
Wakuu wewe ukifika mgahawani huwa unazingatia nini ili kutambua gharama za hapo ili usije kupigwa na kitu kizito?
4 Reactions
5 Replies
495 Views
Mirinda nyeusi inaniita..... kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋...
54 Reactions
289 Replies
7K Views
Huyu mwanafamilia wa Jf To yeye ameadimika yupo wapi?
14 Reactions
96 Replies
3K Views
1 - Saa 3 usiku hakuna daladala barabarani. 2- Saa 4 usiku huoni watu nje na usiulize kwanini. Jiongeze bro! 3- Ugali wa 1500 unapata mboga 7, usisahau uono (dagaa mchele) buree. 4- Ndio jiji...
13 Reactions
62 Replies
4K Views
Natafakari kwa kina hawa wachawi wangekuwepo. Ila kwa sasa hawa waliobaki nadhani ni wachawi ila hawatishi maana kuna watu bado majumbani wanalalamika kutokewa na wachawi usiku
1 Reactions
4 Replies
441 Views
In fact wanajeshi sio wanafiki Wala wanako kama police hatembei na watu wanafiki kama politician the guy he is so fucking smart Nasubiria siku akija uapisho wa samia na vijana wake walio full armed
1 Reactions
0 Replies
337 Views
Hebu tusaidie mabingwa hapo hiyo ksh 10 imetoka wapi?
0 Reactions
0 Replies
448 Views
Hapa ni katika level zote 3 za elimu shule ya Msingi, sekondari na Kidato cha 5 na cha 6. Mimi nakumbuka niliwahi kamatwa na simu kengele ikagongwa nikaipasua kwa mawe hadharani..
18 Reactions
169 Replies
8K Views
Msn Messenger 2007, kipindi hiko watoto wadogo mnafundishwa "that is an orange" sisi tulikuwa humu msn tukisoma habari za mambele na kufuatilia ulimwengu unaendaje.. Hii marafiki, juu hapo...
36 Reactions
408 Replies
10K Views
Nimeona wachina wengi sana samaki samaki kuna ishu gani inaendelea?
1 Reactions
5 Replies
463 Views
Wakuu Karibuni Dodoma Ambako Kuna Bar, Lounge na Hotel NZuri Kwa ajili kula Gambe na Kuenjoy Pia. Kuna Bar NZuri Kama Bambalaga, Pork Joint, Pestana Pub, New Royal Village. Pia Kuna Malaika...
2 Reactions
25 Replies
11K Views
HONGERA wASIRA.......YUPO.......YUPO..........YUPO................YUPO......................YUPO......................YUPO Steven wasira 80 YRS OF AGE...........................YUPO Pia soma...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
1. Kuwadanganya watu wa mwanza kuwa dagaa zao ni tamu kushinda dagaa Mchele wa pwani na dar na WA majichumvi huu unafiki nmeuvumilia mda MREFU sana kiukweli dagaa watamu ni wa 1. DAR, 2.MWANZA...
18 Reactions
96 Replies
3K Views
Bandugu! Kesho Hapa Dar es Salaam jambo kubwa ni mchezo wa Yanga dhidi ya MC Alger katika kufunzu kwenda robo fainali ya klabu bingwa Afrika. Naamini timu yangu ya Yanga itapiga tu na kufuzu...
0 Reactions
0 Replies
357 Views
Habari zenu wakuu. Nipo maeneo ya Muheza town. Kama kuna mdau anayajua maeneo haya, anielekeze chocho moja matata ya kula raha. Si mbaya kama nikipata toto moja ya kitanga ikanikata huu msongo.
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Tunsume - tumuombe Mungu Tumpale - tumsifu Mungu Wenye.majina zaidi watiririke hapa Naruhusu corrections Edited*
1 Reactions
165 Replies
43K Views
Back
Top Bottom