Mimi kwa upande wangu hali imekuwa tofauti sana. Uchumi umekabia juuu wee sasa naona ukabie miguuni sasa.🥺
Kwani nyie chakula kutwa mnakula mara ngapi , isijekuwa mimi ninazidisha idadi ya milo ???😥
Leo Nusratt Mohammed nimepata nafasi kuliko siku zote tangu nimejiunga humu JF (Jamii Africa).
Hivyo basi kutokana na jambo hili natoa nafasi kwa member yeyote aliyepo MMU:-
Kuniuliza Swali...
Tajiri hasalimii.
Kuna hawa wamama wakikuona umezubaa zubaa tu mtaani huna hili wala lile, yaani hawasikii siku umeng'oa demu wala skendo yoyote mbovu basi wanaamua kukublesi na kipisi Chao...
Nilichokiona kwa wazungu au watu nje ya bara la Africa wengi awe mwanaume au mwanamke mara nyingi mkikutana tu popote ikatokea mkaanza kupiga story na ikaonekana mtaendelea kuongea muda mrefu...
Dar bwana unashangaa mwanaume amekuzoea ghafla.anajileta bana anajileta tena hakujui humjui unasema mtu kanielewa nini? unamshukuru Mungu mkeka wa wa maombi kumi na mbili kwa mwamposa umetick...
Moja kwa moja bila kupoteza muda tuambie ni nini hicho ambacho pengine unakihitaji au hukihitaji ila ukipewa lazima ukichukue .
------------------------------
Binafsi nikipewa chai ya maziwa...
Tafuta hela hakuna mzee wa miaka 60.
Tafuta hela V8 Sio gari za selikari.
Tafuta hela usiwe unalala na gesi chumba
kimoja haupo ICU wewe.
Tafuta hela uache kusema weka chipsi za kushiba...
Chat gpt imepagawa haiwezi kutofautisha 10,007 (Kumi alfu na saba) na 17,000 (elfu kumi na saba)
Ona ilivyojam 😂😂
Hakika! Hapa chini ni maandishi ya nambari hizo kwa maneno ya Kiswahili...
Kuna Bar moja nilipita kupata Kifungua kinywa. Nikaona wapishi wa majiko mawili tofauti wakiazimana sahani, kisu,sufuria na Toothpick Unaposema huli kitimoto ukienda bar yenye majiko mawili kuwa...
Nataka kumtumia jamaa yangu hela anakuwa mkali anasema "usitume usitume huko kwenyo line nadaiwa"😂😂😂
Karibu kila Mtanzania mwenye line ya simu ana deni kwenye line hiyo. Hii kauli ya "usitume...
Hi chit chat,
Mimi
Mtaani
1. Cheupe
2. Wa kishua
3. Mwanachuo
JF
1. Mwanaume
2. Kuna member miaka ileeee aliniPM kuniambia "kumbe wewe ni bigmind " akimaanisha mimi na hiyo ID ni mtu mmoja...
https://www.jamiiforums.com/threads/tukutane-hapa-tuliowahi-kuvamiwa-na-majambazi-tupeane-uzoefu-ushuhuda.1680289/
Ni wa Stori za kusisimua juu ya kuvamiwa na majambazi.
Vp upande wako?
Kama bado una pambana ili kumlidhisha mwanamke naomba nikukumbushe kuwa Kuna harmonize Ali honga Range kajala one and two bado haikutosha ku mridhisha mwanamke
Haji Manara ame mpeleka Zay Lissa...
HABARINI ZA UZIMA
WANA UBAYA UMWELA
KESHO TUTAKUW NA MFUNGO MAALUM KUANZIA ASBH MIN MASAA SABA MAX 12 UNAWEZA
LENGO KUU
BERKANE ASHINDE KWA MAGOLI MENGI KULE.MOROCO
TTUIMBEEEE MAGOLI YA...
ASILI ni mafumbo.
Ikiwa wanakuonea sana nanguvu za kupigana nao huwezi.
Mwanao mtaani imekua yeye ndio kama mpira wa kuchezea!
Usijari solution yake ni! (KIKUNTI)
Wale watu wa kigoma wanaelewa...