Leo ni siku nzuri sana ❤️
Jumapili njema yenye kupendeza,nawakumbusha Baba, mama,kaka,dada zangu.
Lakini na wadogo zangu pia.
Twendeni kanisani (wakristo)
Ni utaratibu mzuri,unaotukumbusha...
Hata kama vyuma vimekaza lakini kula bata muhimu
Tarehe 10 ya mwezi nataka kwenda Tanga kutembea je nisehemu ipi nzuri katika Jiji la Tanga nataka kwenda kula bata na familia yangu.
Huyo mtangazaji wa TBC taifa,napenda utangazaji wake,kila kipindi anachotangaza nakipenda sana,hivi sasa anatangaza mkesha wa wahenga,nipo macho mpaka amalize.
Nataka nione km ww ni mjanja na mzaliwa wa TZ,ni mji gani una majengo ya kifahari na jina la mji huo ni kifaa kitumikacho MSIKITINI NA KANISANI na vile vile jina la mji hilo ni jina la msanii wa...
Kwema jamani
Jana na leo niko viunga vya jiji la Arusha,Yule aliyeubatiza huu mji Geneva of Africa atafutwe,akamatwe,achapwe bakora 13,ANYONGWE!....THE CITY IS OVERLY HYPED samahani washkaji...
Wakuu za Leo,
Naamini tuko poa kabisaaa na wale ambao wanapitia magumu kwenye maisha Yao basi mungu atawasaidia mkae poa.
Kumbe jamiiforums Kuna feature ya kusoma maandishi kwa sauti na hamsemi...
Sababu iliyonifanya nijiunge na kifurushi Cha hatukomi kutoka CHAPUTA ilikuwa Ni kupunguza shahawa ambazo niliamini kuwa ndizo zinasababisha nitokewe na chunusi usoni.na kwa kuwa sikuwa na access...
Tabia hizi zina kela watu wengi
1) Mtu anaekula na unamsikia kabisa anavyo tafuna Mdya mdya mday
Hii sio sawa tena mbele za watu ase
2) Unywaji wa chai hii shida ya taifa anaivuta kabisa fvuuuu...
Je WAJUA kuwa MABARA (continents) yote duniani yanaanza na herufi sawa na kumalizika na herufi sawa pia ??
mfano huu hapa :
1. Afrika
2. Asia
3. Ulaya
4. Amerika (Kaskazini)
5. Amerika (kusini)...
1.Nilipokua mdogo, nilikua naona watu wakubwa Wana Raha sana ktk Maisha wanafanya Kila watakacho. Baada ya kua mtu mzima mambo ni Tofauti.
2. Nilipokua mdogo nilikua najua Askali awafi...
Wakuu Bar Maarufu ya Ambiance Sinza Imerudi.
.
Bar ya Ambiance Kwa Sasa Ina Unyama Mwingi.
.
Jamaa kaweka Tv Mpaka Bar, Sehemu ya Smoking Ndio Unyamaaa Mwingiii.
.
Pale smoking room Mwanangu...
MALKIA WA NGUVU~PART1
SIA:
Birthday yangu inakaribia, Oh My Gaaaaash! Hata sijui nitafanya kitu gani, muda umeenda na nimechelewa mpaka inakaribia valentine sijaplan uuuwi nafwaaaa!
Sijui niende...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.