JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Assalaam, Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu, namshukuru Mungu kwa kuifika siku ya leo nikiwa na afya njema. Allah anijalie afya njema, anilinde, niishi kwa kumpendeza yeye. Oooh ushangazi...
13 Reactions
142 Replies
5K Views
Evelyn Salt You comment like a dude. You post masculine. Unabishana kibabe Simaanishi kwamba wanawake ni weak ila kwa macho yetu ya kiJF unatiki kila box za kuwa boyish Are u a dude, stud or...
36 Reactions
219 Replies
7K Views
Wakati mwingine huwa sielewi shida ya watu wa Dar nini Kuna siku Rafiki yangu nilimwambia nakuja Dar akaniambie niletee zawadi za huko Tukuyu. Nikanunua mkungu wa Ndizi debe la Viazi na Nyanya...
21 Reactions
171 Replies
6K Views
Jumamosi nimetoa zangu vitu ili nihame nikaenda kuita mkokoteni ile narudi nikaambiwa Gari Ya Taka imevibeba🤦‍♂️😂
12 Reactions
30 Replies
1K Views
Mabaharia wenzangu ndio wanaelewa kazi kubwa wanayofanya hawa jamaa katika uzi wetu ule pendwa🤣 Shukrani wakuu Swahili AI Mideko
3 Reactions
5 Replies
311 Views
Wakuu, kama mada inavyojieleza, kuna wamba, huwezi kuamini licha ya umri kwenda bado tu wameng’ang’ana makwao wakigombea vijiko na wadogo zao. Kuna mwamba mmoja huyo, kwao zipo za kutosha. Wazazi...
6 Reactions
4 Replies
508 Views
"Naona tunapotezeana muda tuachane tu. Mimi nimepata mtu mwingine nakutakia kila la kheri" Jibu kama mtu ambae ameshamove on.........................
10 Reactions
52 Replies
2K Views
Ndiyo, Kila mtu humu ndani atakufa. Msijisahau.
2 Reactions
12 Replies
500 Views
Habari ya muda huu wakuu, nimefika mwanza kutoka dsm jiji limepoa sana, nipo kishiri nazunguka zunguka kucheck pisi za kisukuma lkn sijabahatika kbs , kwa anaejua maeneo mazuri kwa hapa kishiri...
6 Reactions
62 Replies
3K Views
Binti Sayuni03 maneno yako ni mithili ya upepo mwanana unaovuma kwa utulivu, ukigusa kila kona ya mawazo yangu. Kuna haiba isiyoelezeka katika jinsi unavyoandika, hisia zinazopenya bila hata...
10 Reactions
161 Replies
4K Views
Jamani nishaurini nianze wapi nimalizie wapi
1 Reactions
1 Replies
144 Views
Habari Wandugu nimeokota Pete ya Ndoa kama kichwa habari kinavyojielezea. Sasa nasubiri niokote mchumba tufunge ndoa tuu 😔😔😔
4 Reactions
15 Replies
702 Views
Huwezi kuamini kama huyu ni Mtanzania mpaka afanye kitu gani.?
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Mabinti wawili walikua wanapiga story ndani ya daladala: Binti 1: je ungependa mume wa aina gani ? Binti 2: Awe bilionea ..! 🙄 Binti 1: Je ukimkosa ? 🤔 Binti 2: Awe milionea ..! 🙄 Binti 1: Je...
2 Reactions
4 Replies
527 Views
Nachangia nini' jamani?!!!! Mpaka Sasa sina hoja hata Moja. Msaada tafadhali enyi wazoefu. Kukaa tu kimyaaa Huku ukiishia kuitikia tu kama ndondo haipendezi!
7 Reactions
56 Replies
2K Views
Miaka michache nyuma ilikuwa nikisearch kitu Google,unakuta hili jina jamiiforums linakuja ila sikuwahi kulitilia maanani. Sasa tangu mwanzoni mwa mwezi wa nne mwaka huu nimesoma visa vingi Sana...
47 Reactions
527 Replies
13K Views
Mimi vita ya KUNYAMAZIANA Sijawahi lose kabisa ,, Ukijifanya bubu ,, Mimi najifanya marehemu kabisa 💯 #@mudytawaleni1802 ✍️
1 Reactions
0 Replies
160 Views
Back
Top Bottom