Mimi nikiwa mdogo nilikuwa najua baba na mama mzazi wao ni mmoja
.
Mimi nilijua baba alikuwa mzembe kutojenga ghorofa mbona wenzake wamejenga?
Mimi nilikuwa najua baba hatupendi kwanini hanunui...
Tumetoka kwenye familia, zilizopanga kwenye nyumba iliyopewa jina la Muhimbili.
Korido ndefu kama Sgr, kila mtu kapanga ndoo mlangoni..
Kulia vyumba tisa, kushoto nane, mwenye nyumba yupo uani...
Yani hata avae au ajifarague vipi bado, ukikutana nae tu unamua amekaa kishamba shamba.
Then kuna sisi, bila ya kutumia effort kubwa, mtu akituona tu, ana perceive amekutana nae confident...
Habarini za sahizi watu wa humu jukwaani.
Mimi nina kero na TANESCO.
TANESCO msiwe mnakata umeme huku kuna watu wengine ni machizi radio vichwa vyao vimejaa stress. Umeme ukikata radio haziongei...
Hii hoja naomba isichanganywe na hoja ingine yoyote na wala haihitaji mjadala mreeeefu wakuu.
Ima faima mkuu kisandu aka Don Nalimison aka ex wa Malia Obama huko aliko atambue anamisiwa huku jF...
Karibu kwenye mada hii maalum kwa wapenzi wa teknolojia na ubunifu! 🌟 Katika zama hizi za akili bandia (AI), tunaweza kutengeneza picha za kuvutia kwa kutumia teknolojia ya AI.
Katika mjadala...
Mmoja akinunua Gari aina ya IST basi Wote watanunua, kwa sasa wameshaacha Kununua IST wamehamia katika Gari aina ya Rumio ( Rumion )
Mmoja wao akinunua tu T-shirt au Jeans fulani basi ndani tu ya...
Huyu mtu mwenye ndoto/maoni ya kweli tu wapi!?..nakumbuka maono yake kuhusu machi 17 na ajali ya ndege kule bukoba
Au 'wenyewe' wamekuzuwia kuanika ndoto kuhusu jamhuri hadharani!?
U wapi ndugu...
Salaam!
Tangu kuzaliwa kwangu nimeshapika vyakula vingi. Hata hivyo (nadhani kwa kutokana na kuzaliwa wa kiume) sikuwahi kupika chapati. Niliaminishwa mapishi ya chapati yana utaalamu ambao ni...
Wapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari, maziwa na mito ipo teleeee.
Poleni wale wenye simu changamoto za battery, sisi wa simu original tunapeta tu...
Mapenzi yamekua changamoto sana kipindi hiki...
Ila haya ni maneno mawili ambayo yatafanya upate mpenzi ambaye atakutii na wewe utamtii yaani kiufupi mtatiana...
Maneno haya ni mawili tuu YAKUZ...
Hivi karibuni Kumekua na Matamasha kila Kona (mwanzo- mwisho kuanzia;
1. Kizimkazi Festival,
2. Tulia Trust Festival,
3. Arusha Land rover Festival,
4. Majimaji Festival,
5. Wasafi Festival,
6...
Baada ya kusoma na kuangalia baadhi ya blogs zinazoonesha udhalilishaji wa Dada zetu Hapa Tanzania, nikaona bora na mimi nitoe somo kidogo,
Somo langu si kubwa sana lakini ni la Muhimu sana kwa...
Resentful people are those who thinks they should get something or all the favor that others have and they don't. They think of it as their birthright.
Niliposema ni handsome na wadada...
Mimi kwa upande wangu hali imekuwa tofauti sana. Uchumi umekabia juuu wee sasa naona ukabie miguuni sasa.🥺
Kwani nyie chakula kutwa mnakula mara ngapi , isijekuwa mimi ninazidisha idadi ya milo ???😥
Leo Nusratt Mohammed nimepata nafasi kuliko siku zote tangu nimejiunga humu JF (Jamii Africa).
Hivyo basi kutokana na jambo hili natoa nafasi kwa member yeyote aliyepo MMU:-
Kuniuliza Swali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.