Special kwa wana jf wote walio single na wachache wenye watu wao humu...
kama unajiamin wewe ni mjanja na unamistari raini ya kumtoa nyoka pangoni basi thread ndo hii.. Ni wakati wako...
Hivi kwanini mnakua hamuelewi pale mwanamke anapokwambia tiari anampenzi wake, jamani mnakela yani mtu anang'ang'ania tafikiri aliambiwa nimezaliwa kwa ajili yake.!!!
zilikua ni siku ngumu sana kwangu kupita bila kusikia kitu chochote kutoka kwa judgement jaman, huyu kaka sijui kanipa nini kila muda ilikua ni kumuwaza yeye... lakini cha kustukiza nlivorudi...
Habari zenu wakuu
Wengi wetu kama sio wote tunawasiliana kwa njia ya simu mara kwa mara, lakini wakati mwingine unakuta kuna ile huna story ya kupiga na aliekupigia/uliempigia, kwangu mimi vitu...
Mada ngumu sana hii hata sijui niianzie wapi?
Ila nadhani inaeleweka.
We unajijua unapenda DOMPO unaendaje kwenye mwaliko huna hata kachupa kamoja ka iyo dompo, just in case aliyekualika...
Wakuuu waslaam.
Mudaa mwingine tuwaze ujinga,nipo natizama mechi ya watani baada ya gori la azizz nikapata wazo fln. Iko hivi hapa mezani kwangu wakati napata chakula na burudani kwa wakati mmoja...
Simulizi: My family
Sehemu ya pili
Mtunzi: Kijana Masikini
ILIPOISHIA
"Daa Qashy nae akapanda bodaboda na kumpa ishara dereva aifate pikipiki aliyopanda yule mzee...
Wiki moja toka nichapishe chapisho kuhusu ni namna gani ya kujikinga na wezi unapokwenda sehemu zenye mikusanyiko ya watu wengi niliibiwa
Kwanza unachokisoma kwa watu mbalimbali humu unatakiwa...
Nimechoka na nimeboreka, niambie kimoja kati ya hivi vitano;
Kitu gani cha ajabu mwanaume au mwanamke ameshawahi kukuomba?
Umeshawahi kuvunja urafiki, nini kilitokea?
Umetumia hela yako kununua...
Nilijitahidi sana na kufanikiwa kununua iPhone 7 Plus nikiwa mwaka wa kwanza chuoni mwaka 2019, kipindi hicho simu hiyo bado ilikuwa maarufu sana. Nilikuwa naipenda sana kwa sababu ilikuwa inapiga...
Kama unadondoo yako juu yachochote weka hapa, iwe wazo ama msemo uliobuni weka hapa!, sharti iwe dondoo fupi tu!.
Naanza namna hii!.
Soma kuhusu saikolojia ya binadamu, ukiielewa utapunguza...
I'm so happy today, I celebrate another year in my life. I would like to share this information so that I can earn something new from this platform. I expect to get sometips about opportunities in...
Ukichelewa kurudi nyumbani ni shida,ukiomba unyumba unapewa kwa manyanyaso.Ukikutwa unaongea na mwanamke mwingine hata kama ni mambo ya kawaida unaweza kulala Lock up.Kila kitu unaelezwa kwa ukali...
Naimani mko poa.
Leo nimeleta huu uzi kuchangamsha jukwa kidogo 🤣🤣
Kuna VICHAA wengine ni real wanashida hiyo lakini nina imani wapo wengine wanaigiza Kwa sababu zao binafsi.
Hapa mtaani kwetu...
Wakuu nasikia hivyo wakuu leo nimekaa kijiweni na wazee wa pwani hapa pwani ya pangani wanasema kwasababu mti wa minazi ni twahara kwa maana hiyo ili upande unatakiwa uwe twahara ukiushika huo mti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.