Nadhani leo ilikuwa ile siku ambayo ulimwengu ulikuwa na mpango maalum wa siri wa kunitesa,..
Kwanza Leo nimeamka kww kuchelewa Sana.. Nakujq kucheki simu iko low charge.. Kumbe jana nilichomeka...
Huu utakuwa uzi wa kumbukumbu zangu za kawaida ambazo si rahisi kupotea
Hii itakuwa diary yangu humu JamiiForums
Simu inaweza kupotea, au vitu nilivyohifadhi vikafutika
Lakini humu kumbukumbu...
Kumekuwa na wimbi la watu kutuonyesha pesa, dhahabu, majengo, magari n.k bila kutuonyesha njia zilizotumika kupata hivyo vitu.
Wanakuwa wanatuonyeshea matokea, badala ya mchakato mzima uliotumika...
Kila mtu ana ndoto ya kumiliki jabo fulani kwenye maisha yake, wengine tuna ndoto ya kumiliki vyombo vya moto kama magari lakini ndoto bado zinagoma tunaishia kumiliki tu majiko ya mkaa.
Wewe...
Kama umeniroga awee
Siambiwi kwawee
Overdose me
Your love dey overdose me
Paa pee pii papapuu
Your love dey overdose me
paa pee pii papapuu
Overdose
Joanah usiuchoshee huu moyo
Joanah upoze huu...
Amri iliyo kuu ni UPENDO! Basi tupendane..
Leo nimekaa nikitafakari kwa kina kuhusu jukwaa letu.
Mara nyingi tunakutana humu kuchangamsha akili, kubishana, na wakati mwingine kupeana changamoto...
Wanajamvi nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa JF,
Nimekuja hapa kuwajulia hali zenu hasa wadada wale wa enzi ile!
Mko hali gani kipindi hicho wadada wa moto? Hebu wa-tag waje hapa...
Nimeamua kuja hapa Las Vegas kwa ajili ya mapumziko ya wiki moja lakinaishi nayohitaji kuishi hapa naona kwa hela hii niliyonayo sitoboi wiki
Nilikuwa nimeandaa bajet ya dollar 1 million kwa...