habari zenu .... huu mkasa umenikuta Jana nlipotoka town ambapo nilikuwa na mshikaji wangu tunatandika masanga tuliangusha bapa au lusekelo kubwa tatu mpaka mida ya SAA tano kasoro tukaagana mzee...
Kuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar"...
*Vuta picha ww ni mwanachama wa Yanga. Unaipenda Chadema kindakindaki halafu unasali kwa mchungaji Gwajima*
[emoji23][emoji23][emoji23] *My friend Mungu akutie Nguvu*
~benglasis
Kuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar"...
watu wa Dar kwanini mnapenda kubeba zawadi ya mikate mkienda mikoani? nilijua siku hizi mmeacha lakini kumbe mnaendelea. wote mnabeba mikate utafikiri mmeambizana. mbaya zaidi ikifika na nyie...
mimi ni kijana mchapakazi,namiliki nyumba yangu mwenyewe na naendesha biashara kibao hapa mjini,natafuta msichana mrembo mwenye umri kati ya miaka 23-28 aniazime charger ya HUAWEI
*ndugu zangu...
VALENTINE is around the corner! Give different presents to your loved ones, such as mobile phones,cars & property( land, houses, money and others)
Nafasi ni hii acha kuzubaa changamkia fursa...
Ningependa kuchukua nafasi hii na kusheherekea pamoja nanyi siku ya kuzaliwa kwangu,,,pia sio mbaya kama kuna mtu nimezaliwa nae siku moja...8th,feb.
Happy birthday mimi na kwa wale niliozaliwa...
Iv inakuadje mnapanga mipango mingi ww na demu wko then mwixho wa cku ata mpango mmoja haujakamilika anakuja Kukuambia kwmb fanya yko wala ucmfikilie iv n nn cha kufanya?!
saizi huwezi kujua nani guilty na nani yuko clean,katika vita hii ambayo inahusisha watu wa kada mbali mbali inaweza ikabadili uso mzima hata wa siasa za bongo
kwenye zike Movie za Mafian watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.