Mshambuliaji Mohamed Salah hatimaye amesaini mkataba mpya kuendelea kubaki Liverpool kwa mshahara wa Pauni 350,000 kwa wiki baada ya mvutano wa muda mrefu kuhusu suala la Mkataba wake ambao...
Uongozi wa klabu ya Simba umefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kusitisha mkataba na Meneja Mkuu Dimitar Pantev pamoja na Wasaidizi wake wawili.
Kwa sasa kikosi kitabaki chini ya Kocha...
Katika mwendelezo wa Ligi Kuu ya NBC leo, Mnyama Simba atashuka dimbani kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Kikosi cha Simba kitaongozwa na kocha wao wa muda mrefu ndani ya klabu, Seleman...
Haya hawa wapa leo nawatakieni tena....
1. Msemaji Ahmed Ali
2. Mwenyekiti Murtaza Mangungu
3. Kocha Suleiman Matola
4. Meneja Patrick Rweymamu
5. Mkuu wa Itifaki Makoye
6. Aliyekuwa Mwenyekiti...
Washabiki hawamtaki Matola tokea Zamani mno. Kila kocha hufukuzwa na kubaki yaye tu ana nini.
Kocha wa timu kubwa sio kazi ya kilamtu. Shabiki gani atalipia kiingilio kwenda kumuangalia matola...
Najua Tajiri, Magori na 90% ya Friends of Simba ni wana wako (Marafiki zako) na ndiyo wanakubeba na kukulinda hapo Simba SC ila nawe ona Aibu basi yaani Simba SC imeshaachana na Makocha zaidi ya...
Hapo vip!
Kuna jambo halipo sawa kwa wachambuzi na wale watu wanaokoments sana kwenye posts mbalimbali zinazo usiana na posts za Simba.
Kutokana na matokeo mabaya ya Simba kwenye club bingwa ni...
LEO, klabu ya Yanga SC itashuka dimbani nchini Algeria kwenye Uwanja wa Hocine Aït Ahmed kukabiliana na JS Kabylie katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Wananchi wanaingia kwenye mchezo huu...
Kagoma, kibu, chamue na kante sio wakuwekwa benchi na akina maema, budo, kamara, na wengine.
Kiukweli kama Dp world anataka timu mpeni tu.
Huyu budo tunae mwaka sasa hana chochote basi tu...
SIMBA VS YANGA;KIKOSI CHA YANGA KILICHOFUNGWA NA SIMBA NI SAWA NA KIKOSI KILE KILICHOKUWA KINAFUNGWA SANA NA MZEE WA KIMINYIO MADARAKA SULEIMANI.
Leo 10:15hrs 17/04/20223
Mwaka 1994 timu ya...
Mchezo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika unatarajiwa kuchezwa leo saa 7:00 usiku wakati Stade Malien kutoka Mali itakapokutana na Simba SC ya Tanzania.
Mechi hii itachezwa Stade du 26 Mars...
Magoli mchezaji aliyempigania na anakula nae ni Joshua Mutale budo. Lazima aanze piga ua. Na Fadlu kuondoka tu kawashika wasouth wawili. Za ndani kabisa.(kwa mujibu wa za ndani kabisa)
Mpanzu ni...
Klabu ya Manchester United imeamua kuendelea kubaki na Erik ten Hag na tayari mazungumzo ya mkataba mpya yameanza na Kocha huyo ambaye iliaminika atafukuzwa kazi kutokana na kufanya vibaya katika...
Nimemnukuu msemaji wa simba ambaye uwa namuweka kwenye kundi la comedian aliwai kusema Kuna katimu kazi yake ni kugawa utamu tu kwenye kundi lake!
Maneno hayo alikuwa anailenga yanga kabla...
Mwenye macho aambiwi tizama, na mwenye masikio anasikia, hivyo ndivyo unavyoweza kusema juu ya mabingwa wa kihistoria nchini Tanzania Yanga!
Siku zote form uwa inakuja na kupotea lakini class uwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.