Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Binafsi kwa sasa sijivunii utanzania hivyo jambo lolote linalo ihusu Tanzania kama taifa naliombea mabaya. Naanzia mashindo ya AFCON. MUNGU naiombea Tanzania isipate hata goli moja bali vipigo...
45 Reactions
74 Replies
3K Views
Sina mengi sana tuko bar hapa mitaa ya Uyole tunaowashangilia Naigeria wakome na makonda wao ni kipigo cha Mbwa mwizi
8 Reactions
29 Replies
664 Views
Mpanzu na Joshua mutale walifundishwa wakishika mpira wapenye safu ya azam na chenga kama madenge kwenye gazeti la sani na wanashot gool. Wale morisoni, Mukwala na wengine waliambiwa wakiona...
3 Reactions
3 Replies
394 Views
Ninafahamu fika Taifa stars lazima ifungwe hilo lipo wazi kipigo kipo palepale. Ila maombi yangu afungwe goli nyingi zaidi , hamna hamna afungwe kuanzia goli 3 na kuendelea. Asante.
18 Reactions
53 Replies
750 Views
Habari za mchana wana jf, TBC1 walisema wataonyesha mechi 32 kati ya 54 za AFCON, mwenye kujua mechi hizo ni zipi aniambie hapa.
2 Reactions
12 Replies
497 Views
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda ndiye ataongoza msafara wa Tanzania katika Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) zitakazofanyika Morocco kuanzia Desemba 21, mwaka...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Timu ya taifa ya Tanzania itakuwa ina kazi ya kugawa utamu tu LONDON BOY
4 Reactions
13 Replies
335 Views
Mwaka ujao kutakua na kombe la dunia na watu wengi mtandaoni wapo kwenye sintofaham ya kuingia marekan, mpaka sasa raisi hajatoa kauli yoyote lakini hali sio nzuri
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Afisa Habari wa TFF, Clifford Ndimbo amesema Taifa Stars haikuvalia vazi linalowakilisha taifa wakati ikiwasili Morocco kwenye mashindano ya AFCON kutokana na Tanzania kutokuwa na vazi rasmi la...
5 Reactions
19 Replies
563 Views
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Atatoka mapema sana LONDON BOY
1 Reactions
7 Replies
299 Views
Na leo naona mna press conference mchana wa leo najua tu mnataka kumjibu Injinia mwenye akili nyingi sana Hersi Na hamuoni hata wanasimba wenyewe wamefurahi sana kwa Injinia kutoa mfano kwa...
4 Reactions
12 Replies
533 Views
Mchezaji wa zamani wa Simba, Kariakoo Lindi, na timu ya taifa ya vijana, Mnenge Suluja amefariki dunia saa 5:00 usiku wa kuamkia Desemba 20, 2025 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya...
2 Reactions
4 Replies
616 Views
Siku hizi bongo naona watu wengi wameingiwa ugonjwa wa kupenda jezi za Zamani na zinatamba sana , viwandani wanazitengeneza kwa material ya kisasa kiasi ambacho zitatoka Bomba sana . Mfano jezi...
7 Reactions
30 Replies
1K Views
I’m an addict, yes leo nimekubali kuwa mimi ni addict wa michezo ya kamari. Sikuwa tayari ku accept hili swala na kila siku nilikua najipa moyo nita acha au huenda I will make through gambling and...
36 Reactions
117 Replies
10K Views
Unaeweza tazama maswahibu anayopitia Mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania na vilabu vya Mtibwa Sugar, Pamba, Simba na Yanga. Hapa tunamzungumzia, Alphonce Modest, beki aliyesifika...
5 Reactions
42 Replies
4K Views
AFCON Kick Off Concert, ni tamasha la kuelekea mkesha wa Ufunguzi wa AFCON ambapo limepangwa kufanyika Jumamosi hii kuanzia Saa 12:00 Jioni mpaka Saa 6:00 Usiku huko Morocco Wasanii rasmi ambao...
38 Reactions
42 Replies
2K Views
π—ͺπ—”π—­π—œπ—₯π—œ π—žπ—’π— π—•π—’ 𝗑𝗔 𝗣π—₯𝗒𝗙. π—žπ—”π—•π—¨π——π—œ π—ͺπ—”π—œπ—§π—˜π— π—•π—˜π—Ÿπ—˜π—” π—žπ—”π— π—•π—œ 𝗬𝗔 π—§π—”π—œπ—™π—” 𝗦𝗧𝗔π—₯𝗦 π— π—œπ—¦π—₯π—œ 𝗑𝗔 π—žπ—¨π—ͺπ—”π—žπ—”π—•π—œπ——π—›π—œ π—•π—˜π—‘π——π—˜π—₯𝗔 𝗬𝗔 π—§π—”π—œπ—™π—”. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo...
3 Reactions
36 Replies
767 Views
UPDATES, JOHN BOCCO πŸ‘‡ John Bocco amerejea Simba Sports Club kama Kocha Mkuu wa timu za vijana zote, JKT Tanzania baada ya kumaliza mkataba wake kama mchezaji hakupewa mkataba wa kama kocha wa...
3 Reactions
7 Replies
499 Views
Mwaka 1967, Kathrine Switzer aliandika historia kwa kuwa mwanamke wa kwanza kushiriki rasmi mbio za Boston Marathon. Wakati huo, iliaminika kuwa wanawake walikuwa β€œdhaifu” na hawawezi kukimbia...
1 Reactions
0 Replies
174 Views
FaizaFoxy sheikh gani alikuambia Ronaldo amesilimu? Maana masheikh wengi shule hamna. Na msingi wa imani yetu umejengwa kwenye ulaghai, udanganyifu kwa umma.
10 Reactions
33 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…