Ahmed Ally jiridhishe kabla ya kwenda hewani, una viongozi waongo, wanakuponza ili uonekane wewe ndiye uliyekuny pale Jangwani.
Nguvu uliyotumia siku ya Simba day kumtambulisha Selemani mwalimu...
Nimeshanganzwa na Usajili wa Selemani Mwalimu unaonesha mambo makuu mawili:
1. Uongozi mzima wa Simba hawafanyi vitu kiprofessional, huwezi kutambulisha mchezaji kwenye tamasha lenu kumbe...
Ifike mahali wazalendo wa Simba tuungane na genius wa boli Murtaza Mangungu kumdhibiti huyu muhuni, tapeli na mwizi Magori anayekula pesa za benki na kutuletea magarasa.
Huyu Doumbia yeye ndiyo...
Huyu Eng. Hersi anajikuta mbabe mithili ya Trump wa Marekani. Kavamia kambi ya Simba kamteka mshambuliaji wao tegemezi.
Anawasubiria waingie kichwa kichwa kumnunua Feisal Salum (Fei Toto)...
Paris Saint-Germain (PSG) na Aston Villa zinakutana katika fainali ya UEFA Super Cup 2026, mchezo unaowakutanisha mabingwa wa mashindano mawili makubwa ya Ulaya.
PSG wamefuzu kucheza mchezo huu...
Simba timu yangu ni taka taka mbele ya yanga, kutokana na uongozi wa kijnga , achieni ngazi nyie kina mo na kina mangungu , simba inauzika kimataifa kwa watu wenye akili timamu ya mpira
Kinachofanyika ni sawa na kuwanyima burudani wenye timu zao wanaoishi Tanganyika
Lakini ni nani hasa anayehamisha Mechi za Timu za Tanganyika na kuzipeleka Zanzibar, Amelenga nini?
Je wenye Timu...
People often think of gambling companies as easy money machines. The reality? Itโs one of the most competitive industries out there.
What does it take to stay in the game?
๐๐๐๐ก ๐ฌ๐ฎ๐ฉ๐๐ซ๐ข๐จ๐ซ๐ข๐ญ๐ฒ โ...
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Crescentius Magori, ametoa kauli yake baada ya mchezaji Selemani Mwalimu kutangazwa Yanga, akieleza kuwa jambo hilo halina uzito wowote wa kuilaza au...
Nasikitika kusema kuna mashabiki maarufu kama influencer wa Simba hawana akili timamu na nikama hayawani mmoja anaitwa nyumbu.
Rais Samia ndiye huyu mlimzomea kwenye Simba day mwaka jana,leo...
Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili mshambiliaji Selemani Mwalimu ambaye msimu uliopita aliichezea Simba kwa mkopo, ikiwa ni siku chache tangu mchezaji huyo anukuliwe katika clip iliyopostiwa na...
Sina mashaka kabisa na ninachokisema.Huyu aliyempa maelekezo msemaji wa Simba anapaswa kuondoka pale Simba mara moja.
Inaonekana ni mpango wa kuidhalilisha timu uliopangwa na upande wa pili na...