Msimu huu lengo ni kutwaa ubingwa wa EPL.Yan toka nambari 15 hadi 11 ya 7 na sasa ya nne,tumeonyesha kuwa bado matumaini tunayo.lengo letu red devils ni mafanikwa na hapa EPL hamn timu yenye...
ANGALIZO > NJIA HII HAIKUBARI KWENYE AVIATOR ZOTE .
Kabla hatujaenda moja kwa moja kwenye mbinu tuanze kwanza kuelewa Algorithm ya mchezo ,
Michezo mingi kama sio yote ya casino ime designiwa...
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally, amezungumzia sakata la mshambuliaji wa klabu hiyo, Jonathan Sowah, na kuthibitisha kuwa walimuondoa kambini Dodoma na kumrejesha Dar es...
shalom wote wapendwa
najua mzee wetu ha na amani kabisaa
derby ya tar 1
naomba niwajulishe kuna mchezaji atatoka amefunga goli 3 pale
wakijichanganya anavunja recodi ya kibaden
kima la...
Yanga 5 VS JKT Tanzania 0 | Ligi kuu ya NBC | KMC Complex | 25 Februari, 2025
Mechi ipo live
Salama zinatumwa
Game over Yanga asimamisha Mnara wa 5G kwa JKT Tanzania
Magoli ya Yanga yamefungwa...
Wakuu
Hawa Simba tuwenao karibu, wasije wakagoma bure kuvuka maji. Mr. Reporter amedai tayari wameandika barua ya kutafutia sababu zao baadaye.
=
Uongozi wa Simba SC umeiandikia barua Bodi ya...
Walihamaki wana Simba walipomwona mwamba anapanda botii huwiii na mgonjwa anaenda znz jamani kha
Akicheza huyu 3 mpaka 5 zinawahusu Simba noko kwa masawe
Wapenzi watazamaji na mashabiki kindakindaki wa Simba karibuni kwenye matangazo mbashara ya mpira kati ya Simba na Dodoma Jiji kutoka uwanja wa Jamhuri. Mechi hii inachezwa leo tarehe 25.02.2025...
Wanangu wa kubeti chukuweni notis hii hapa najua itakuwa ngumu sana kuaminika kwasababu wengi wenu wanaamini ni impossible na wengine wataniuliza kwanini mimi sijabeti hivo 😀😃😄 ila any way huu...
yaan mzee anazeeka na ucheshi wakee leoo katufurahishaaa sana
anakwambia yanga n mbovu kama hujakutana ukikutana nayo utaweza jutia kwa nn uliingia uwanjani
HAHAHAA 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂 😆 DON MASAU...
Hizi habari sio nzuri sana kwa baadhi ya wananchi wapenda soka hasa wale wapenzi wa timu za derby
Niko huku msata mpaka sasa kuna timu inapigwa goli 3 -mpaka 5
Yaani hii n siku ya huxuni na kuna...
Wale mliokaribu wajuzeni wachezaji mchezo wa derby
kkutakuwa na red card ama penalty
Wacheze kwa adabu na heshima sana refa atakaekuwepo n kama amekuwa chambo mistake za kadi hatorembesha
Hali...
Majira ya kiangazi, Man Utd waliingia sokoni na kushusha silaha nzito pale mbele.
Sesko, Mbeumo na Cunha waliwasili Old Trafford kuongeza nguvu kwenye idara ya ushambulizi.
Baada ya mechi mbili...
Huyu dogo wa timu ya taifa ya Argentina na club ya Ureno Benfica Gianluca Pristianni alimuita Vini Jr Mshambualiaji wa Real Madrid nyani na kumzibia pua wakati yeye mwenyewe sura yake anafanana na...
Kama Nabi na Gamondi waliwahi kufungwa na Ihefu, Tabora united na Simba kwa nyakati tofauti hata kocha Pedro anaweza kufungwa na Simba pia. Kama ikitokea hivyo haimaanishi Pedro hafai, hajui na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.