Unaweza kudhani ni jambo la kawaida, lakini huu ni Mkakati Maalum.
Timu hizi ni za Tanganyika n.a. washabiki n.a. wanachama wake kwa % kubwa ni Watanganyika, kupeleka Timu hizi Zanzibar ni...
Habari Wana Sports,
Kiukweli mwaka huu Arsenal imefanya sajili Bora sana ingizo la striker Victor ndani ya Chama letu inatupa confidence ya kusepa na makombe mwaka huu.
Imagine Victor yupo pale...
Ingawa mkeka wangu leo kwa Yanga umelipa, ila nimefadhaishwa sana Yanga kuishia Makundi tena pamoja na kusakata kandana safi vile. Pamoja na kuwa kundi lao lilikuwa gumu sana, Yanga ilifanya...
Ligi kubwa duniani kama English Premier League (EPL) na LaLiga hazijawahi kuogopa sekta ya betting wala kuweka wazi kuwa Shirikisho la soka la FA litatafuta kampuni moja pekee kwa ajili ya michezo...
The Zimbabwean Chevrons remain unbeaten in Group B at the #T20WorldCup, showcasing grit, skill, and determination in every match. Fans are celebrating as the team continues its march toward the...
Kwa muda sasa nmekuwa nikiombea na kushiriki kwenye michango ya kazi chafu dhidi ya mikia. Kwenda kuwapiga misumali wachezaji wao na wengine kurubuniwa Simba ifanye vibaya.
Nashukuru serikali...
Hapo vip!
Ipo hivi Simba ndio mzaliwa wa kwanza wa soka au mpira wa football hapa Tanzania,Afrika mashariki na kati.
Simba ndio timu peke iliyopo na ambaya imefika na kufauluvkuingia kwenye top...
Ile damu iliopo ardhini bado inalia mpaka itendewe haki ndio mambo yatatulia.
Na mwakani mwendo ndio huuhuu
👽 AZAM OUT
👽SIMBA OUT
👽YANGA (CCM DEPARTMENT OF SPORTS) OUT
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka kadhaa ya mafanikio ya kujivunia mfululizo, kukua kwa soka la Tanzania kimataifa hatimaye klabu zote nne zimeondoshwa hatua ya makundi na kushindwea kuendelea...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amemtaka Msajili wa Vyama vya Michezo nchini, Abel Ngilangwa kuipa Simba majibu ya kinachoendelea kuhusu mchakato wa mabadiliko ya mfumo...
Mpo radhi muweke matches za huko Uk kwenye TV zenu kuliko ya ndugu zenu hapa hapa nchini? Sehemu nyingi za Public tumeona mkiwa mnaweka ligi ya Uingereza kuliko match yetu tunayochezs tena kwenu...
Kocha Miguel Gamondi leo Februari 16, 2026 amesaini mkataba rasmi wa kuinoa timu ya Taifa ya soka ya Tanzania (Taifa Stars).
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda...
Baada ya timu zetu (klab) pendwa kuondolewa "bila zengwe" katika mashindano ya kimataifa yanayoandaliwa na CAF, nimejifunza mambo kadhaa;
1. Ni kweli kabisa kwamba mpira wetu ni kivyetuvyetu...
Ingekuwa ni ajabu sana kwa Nchi iliyojaa madimbwi ya damu kwa timu zake kufuzu, Hicho kilichotokea ndio halali Yake
Asante Mungu kwa kusikia kilio cha Wananchi, Amen.
Uongozi wa Yanga ujitafakari, na utafakari tena, mashindanyo makubwa kama haya unapeleka tanzania bara, huko zanzibar, unaacha watu mamilion washangiliaji hapa, mjitafakari, msipoangalia mtaweka...
Hii ni kwa sababu huko ina mashabiki wengi kuliko Tanganyika na inashangiliwa sana.
Kingine ni kwamba ina bahati sana na Zanzibar inashinda sana huko
Ina wachezaji kadhaa Wazanzibar na hata Mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.