Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

NAONA KELELE ZA WATU OOH DEPU KASHIKA NA MKOONO LEO TUMEWEKA PICHA YA MWL KASHIKA NA MKONO BODI MMEKAAA MKADANGANYANA KUWAJADAA WANANCHI ATI TUMEWAFUNGIA WAAMUZI LILIKUWA GOLI KAMA.MMERUHUSU...
1 Reactions
3 Replies
371 Views
Klabu ya Yanga imeiandikia barua Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), kuomba ufafanuzi juu ya adhabu mbalimbali ambazo zimetolewa na kamati ya saa 72 juu Club hiyo. Akizungumza na Waandishi wa...
1 Reactions
12 Replies
533 Views
Uwekezaji wa Mohammed Dewji maarufu Mo Dewji ndani ya Klabu ya Simba ni moja ya hatua kubwa zilizobadili mwelekeo wa uendeshaji wa soka la Tanzania katika miaka ya hivi karibuni. Dhamira yake ya...
2 Reactions
6 Replies
329 Views
Kumekuwa na mjadala mkubwa miongoni mwa wadau wa soka nchini kuhusu uhusiano kati ya Young Africans Sports Club (Yanga) na Singida Black Stars, huku baadhi ya mashabiki wakieleza wasiwasi wao juu...
4 Reactions
17 Replies
614 Views
Sijui namwonaje huyu beki hatari wa Liverpool Ibrahim Konate. Yuko kishambashamba tu. Sura yake haileweki sijui ana huzunika ama analia. Jana kwenye UEFA aliifungia Liverpool goli kali la kichwa...
4 Reactions
17 Replies
795 Views
Mshambuliaji wa Young Africans S.C (Yanga SC), Prince Dube, alivyomzawadia pesa Mwananchi baada ya kutua bandarini Machi 2, 2026 akitokea Zanzibar na klabu yake kufuatia mechi ya dabi ya Kariakoo...
5 Reactions
2 Replies
473 Views
Wazee wa mikeka habari. Nimekaa nimewaza kinachofanya mikeka ichanike sana mara nyingi ni tamaa za Karia (Odds 10+) Naomba kujua kwa wazoefu. Nina plann ya kuwa na mtaji wangu wa milioni mbili...
5 Reactions
22 Replies
717 Views
Tottenham Hotspur Football Club [ The Lilywhites ] , commonly referred to as Tottenham (/ˈtɒtənəm/) or Spurs, is a professional football club based in Tottenham, London, England. It competes in...
7 Reactions
67 Replies
8K Views
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola hataruhusiwa kuwa kwenye benchi la ufundi katika mechi dhidi ya Chelsea FC na West Ham United FC baada ya kupata kadi sita za njano. Hata hivyo, Guardiola...
1 Reactions
2 Replies
391 Views
Hoima Stadium Stadium ready to host AFCON Pamoja 2027, how is the status in your country Kenya and Tanzania
1 Reactions
3 Replies
262 Views
Hapo vip! Ukitazama kwa jicho latatu unaona kabisa hizi faini wanazopigwa Simba sio haki,ila nikwasababu wanajua club ya Simba inapesa hivyo wanatengeza faini za kijanja ili hiyo bodi inayongozwa...
3 Reactions
20 Replies
520 Views
Ukitizama uchambuzi wa mitandaoni sasa ni habari za Iran na Marekani na Israel. Hakuna uchambuzi au kelele au shamlashamla kuelekea mechi ya derby itakayopigwa jioni. Hakuna habari yoyote ya...
6 Reactions
10 Replies
373 Views
Mwamuzi Msaidizi namba mbili katika mchezo wa Yanga SC na Simba SC, Hamdan Said amemfungiwa miezi mitatu kwa kosa la kusimamisha shambulizi la mchezaji Prince Dube dhidi ya Simba dakika ya 61...
2 Reactions
19 Replies
687 Views
Kocha wa Yanga SC, Pedro Gonçalves amethibitisha kuwa beki wa klabu hiyo, Dickson Job atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi kinachozidi miezi miwili kufuatia majeraha aliyoyapata katika mchezo wa Dabi...
3 Reactions
5 Replies
488 Views
Mchezo wa Ligi Ya NBC 2025/2026 Yanga Sc dhidi ya Singida Big STars Kipindi cha Kwanza kimekamilika Yanga wapo mbele kwa goli 2 Magoli ya Yanga yamefungwa na Prince Dube na Allan Okello. Chuma...
2 Reactions
20 Replies
753 Views
Mitifuano inayoendelea mitandaoni kuhusu Derby ya Kariakoo kuhusu Yanga kutocheza ama kucheka inakuzwa na ujinga wa timu hiyo kongwe ya Jangwani pale penye mafuriko na tope kila mwaka Sababu...
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Floyd Mayweather mwaka huu mwezi wa nne anatarajia kupanda ulingoni kuzichapa na hasimu wake wa muda mrefu former heavyweight champion of the world Iron man Mike Tyson kwenye pambano la maonesho...
4 Reactions
16 Replies
545 Views
Kwani ukarabati wa Lupaso utaisha lini? Tangu mwaka 2023 Serikali iliposaini mkataba wa Bilioni 30 mpaka leo bado mambo hayaeleweki. Serikali imetangaza kuwa Uwanja wa Benjamin Mkapa utafungwa...
2 Reactions
12 Replies
551 Views
Kilichotokeq znz aman stadium hakuna tofauti na mechi ya simba na dodoma Baada ya kuona miminiko ya mfululizo kama mabomu ya iran yanga tuliamua kukaza kukomaa nyuma wote kama dodoma Baada ya...
5 Reactions
3 Replies
349 Views
Back
Top Bottom