Haiti imelazimika kubadilisha jezi zake za Kombe la Dunia Saa chache kabla ya kuanza kwa Kombe la Dunia 2026 baada ya FIFA kubaini kuwa baadhi ya vipengele vya muundo wake vinakiuka kanuni za...
Kheri zitawale
Zilianza taarifa kuwa hakuwa akipewa sapoti za kutosha na baadhi ya watu na media, kama mtanzania wanadai alitakiwa apewe sapoti na media zote nchini binafsi najua hizi media ni...
Kuna kufungwa, kufanga na kutoka sare. Sasa km timu unayoishabikia imefungwa usichukue hisia zako ukawa na hasira kiasi cha kutaka kuvunja mpaka TV.
Ilikua hivi mpira umeanza alipofungwa SA...
Mwamuzi mashuhuri wa soka kutoka Somalia, Omar Artan, amezuiwa kuingia Marekani licha ya kuwa miongoni mwa waamuzi 52 walioteuliwa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kuchezesha mechi za Kombe la...
Nina malalamiko kuhusu mfumo wa cashout wa SportPesa. Haiingii akilini kuona kiasi cha cashout kikiwa chini ya hata pesa niliyoweka, ilhali tayari mechi nyingi kwenye mkeka zimefanikiwa.
Kwa...
Hapo vip!
Ni wazi yanga wanalijua hili ndio maana huwa wanacheza na marefa na sio kcheza na Simba.Yanga hana uwezo wa kuifunga au kutoka sare na Simba ila refa na waamuzi wa pembeni ndio huwa...
David Eby, Waziri Mkuu wa jimbo la British Columbia nchini Kanada, ametangaza kuwa jimbo lake liko tayari na litafurahi sana kumkaribisha Omar Artan. Alieleza kuwa Artan anapaswa kuruhusiwa...
π FIFA World Cup 2026 Finals Uzi Maalum.
2026 FIFA World Cup itakuwa toleo la kihistoria la Kombe la Dunia kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa mashindano.
π Waandaaji
Mashindano...
Ni mwana Simba SC mwenzangu lia lia ila katika Uchambuzi wa mpira sitaki kuwa Mnafiki au kumtetea kwakuwa ni Lunyasi mwenzangu ila si tu hajui bali hata Mpira wenyewe tu nao haujui.
Basi...
Hiki ndicho kikosi ambacho watu wengi wanasema kuwa ndio kikosi bora kabisa cha Brazil cha muda wote.
kikosi hiki ndicho kilichobeba kombe la dunia mwaka 2002 huko korea dhidi ya timu ngumu ya...
Akisoma Bajeti Kuu ya Mwaka wa Fedha 2026/27 Bungeni, Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar amesema Katika Bajeti ya 2026/27, Serikali imefanya matumizi mahsusi kwa ajili ya kugharamia...
Je kwenye soka umri ni namba tu kama ilivyo kwenye mahusiano? Je Ronaldo(41) na Messi(39) bado wana cha kuonesha na kuwakosha mashabiki kiukweli kabisa au watabebwa na majina tu bila kuonesha soka...
Shirikisho la Mpira Duniani (FIFA) bado lina takriban viti 180,000 ambavyo havijauzwa katika miji inayoandaa michuano hiyo Marekani, Canada, na Mexico. Hali hii inazua hofu mpya kwamba viwanja...
Nimekudharau sana bwana mdogo kwa kurubuniwa kizembe sana na kukubali kuingia mkenge wa kutua ndani ya bunge la Tanzania, umebugi sana!
Bunge la Tanzania halijawahi kusaidia mwanamichezo yeyote...