Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Waangalie hapa walivyosheheni kwa silaha za jadi: pinde, mapanga, fimbo, marungu wakiwa tayari kuwashambulia waafrika wenzao walioko Afrika ya kusini.
1 Reactions
5 Replies
175 Views
Haiti imelazimika kubadilisha jezi zake za Kombe la Dunia Saa chache kabla ya kuanza kwa Kombe la Dunia 2026 baada ya FIFA kubaini kuwa baadhi ya vipengele vya muundo wake vinakiuka kanuni za...
3 Reactions
15 Replies
484 Views
Wabongo wanamua na wao kutuma ujumbe kwa waSouth Africa
2 Reactions
2 Replies
163 Views
Wapiganaji: Β· Michel Soro (Ufaransa): Rekodi 38-4-2, 27 KOs. Mtaani hujulikana kama "mkongwe", na amewahi kupigania ubingwa wa WBO miaka iliyopita. Β· Hassan Mwakinyo (Tanzania): Rekodi 25-3-0, 18...
4 Reactions
98 Replies
2K Views
Naona aliyebaki ni Mkwasa pekee, naye ni Kama anajuta kubaki Unadhani kisa gani kinasababisha wachambuzi wa soka kuikimbia TBC?
5 Reactions
16 Replies
364 Views
Kheri zitawale Zilianza taarifa kuwa hakuwa akipewa sapoti za kutosha na baadhi ya watu na media, kama mtanzania wanadai alitakiwa apewe sapoti na media zote nchini binafsi najua hizi media ni...
4 Reactions
42 Replies
816 Views
Kuna kufungwa, kufanga na kutoka sare. Sasa km timu unayoishabikia imefungwa usichukue hisia zako ukawa na hasira kiasi cha kutaka kuvunja mpaka TV. Ilikua hivi mpira umeanza alipofungwa SA...
1 Reactions
2 Replies
115 Views
Mwamuzi mashuhuri wa soka kutoka Somalia, Omar Artan, amezuiwa kuingia Marekani licha ya kuwa miongoni mwa waamuzi 52 walioteuliwa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kuchezesha mechi za Kombe la...
8 Reactions
32 Replies
812 Views
Anonymous
Nina malalamiko kuhusu mfumo wa cashout wa SportPesa. Haiingii akilini kuona kiasi cha cashout kikiwa chini ya hata pesa niliyoweka, ilhali tayari mechi nyingi kwenye mkeka zimefanikiwa. Kwa...
2 Reactions
19 Replies
252 Views
Hapo vip! Ni wazi yanga wanalijua hili ndio maana huwa wanacheza na marefa na sio kcheza na Simba.Yanga hana uwezo wa kuifunga au kutoka sare na Simba ila refa na waamuzi wa pembeni ndio huwa...
3 Reactions
9 Replies
406 Views
David Eby, Waziri Mkuu wa jimbo la British Columbia nchini Kanada, ametangaza kuwa jimbo lake liko tayari na litafurahi sana kumkaribisha Omar Artan. Alieleza kuwa Artan anapaswa kuruhusiwa...
0 Reactions
1 Replies
203 Views
  • Redirect
πŸ† FIFA World Cup 2026 Finals Uzi Maalum. 2026 FIFA World Cup itakuwa toleo la kihistoria la Kombe la Dunia kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa mashindano. 🌍 Waandaaji Mashindano...
21 Reactions
Replies
Views
Ni mwana Simba SC mwenzangu lia lia ila katika Uchambuzi wa mpira sitaki kuwa Mnafiki au kumtetea kwakuwa ni Lunyasi mwenzangu ila si tu hajui bali hata Mpira wenyewe tu nao haujui. Basi...
5 Reactions
18 Replies
400 Views
Hiki ndicho kikosi ambacho watu wengi wanasema kuwa ndio kikosi bora kabisa cha Brazil cha muda wote. kikosi hiki ndicho kilichobeba kombe la dunia mwaka 2002 huko korea dhidi ya timu ngumu ya...
1 Reactions
15 Replies
477 Views
  • Redirect
Shirkisho la mpira barani ulaya UEFA limemteuwa Omar artan kusimamia mchezo wa Uefa supercup kati ya PSG na Aston villa uko jijini salzburg
0 Reactions
Replies
Views
Akisoma Bajeti Kuu ya Mwaka wa Fedha 2026/27 Bungeni, Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar amesema Katika Bajeti ya 2026/27, Serikali imefanya matumizi mahsusi kwa ajili ya kugharamia...
0 Reactions
1 Replies
170 Views
Je kwenye soka umri ni namba tu kama ilivyo kwenye mahusiano? Je Ronaldo(41) na Messi(39) bado wana cha kuonesha na kuwakosha mashabiki kiukweli kabisa au watabebwa na majina tu bila kuonesha soka...
2 Reactions
20 Replies
351 Views
Shirikisho la Mpira Duniani (FIFA) bado lina takriban viti 180,000 ambavyo havijauzwa katika miji inayoandaa michuano hiyo Marekani, Canada, na Mexico. Hali hii inazua hofu mpya kwamba viwanja...
3 Reactions
20 Replies
416 Views
Nimekudharau sana bwana mdogo kwa kurubuniwa kizembe sana na kukubali kuingia mkenge wa kutua ndani ya bunge la Tanzania, umebugi sana! Bunge la Tanzania halijawahi kusaidia mwanamichezo yeyote...
7 Reactions
86 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…