"Hata hivyo, wazee itabidi twitane haraka sana. Unajua, tutatoa siku mbili au tatu kwa vijana. Kila yule anayejijua kwamba yeye alikwenda pale na akaacha kinyesi, aende akatoe kinyesi hicho.
Na...
Kifuatacho utatia aibu heshima ulizojitengezea kwa miaka mingi zitakuwa hazina maana
Labda kama unataka kujitengezea na historia za hovyo
na moja ya historia mbovu ni
cra7 azimia uwanjani...
Chanzo cha kuaminika kimenipa taarifa kuhusu uongozi wa SBS kuchukizwa na kauli za Msemaji Simba Ahmed Ally kwa Mmiliki wa AZAM FC Mzee Jamal baada ya Mzee kudai TFF haiwatendei Haki.
Chanzo...
Nina maswali kwa mashabiki wa kombe la dunia na mpira wa miguu kwa ujumla, leo ninaenda kuangalia mpira wa miguu nje ya nyumbani kwangu kwa mara ya kwanza;
Vitu gani ambavyo sisi tunaokuja...
Baada ya mechi kati ya Simba na Azam, mengi yameibuka..kubwa zaidi likimuibua mmiliki wa Azam na kutoa ya moyoni hasa kuhusu marefa, na kupelekea kusema ataiondoa Azam Bara na kuipeleka Zanzibar...
Leo ni fire tu! Bonge moja ya mechi CR7 anakumbukumbu nzuri alicheza na Spain alifunga magoli 3 katika mechi nzito sana kuwahi kutokea world cup 2018 kule Urusi
#####
Majirani Ureno na Hispania...
Kwa kilicho tokea jana usiku ilikuwa kama presha inapanda inashuka.. Mimi kama shabiki aalitaka kuniuwa live hawa washenzi.
Ibaki tu kusema mechi zote zijazo Sita invest hisia za aina yoyote...
Katika hali ya kushangaza, Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limempa ruhusa mshambuliaji Folarin Balogun kucheza mechi dhidi ya Ubelgiji. Licha ya kadi nyekundu aliyopewa awali, FIFA...
Tunzeni post hii, Yanga wanadai kwanini tarehe ya mwanzo Simba waliamua tuu kua hawachezi na bodi ya ligi wakawaunga mkono bila sababu ya msingi? Yani inaonekana kama Simba yeye ndio anapanga...
Hi ladies & Gentlemen,
Welcome to Brazil National Football Team special thread.
Tuendelee kupeana updates mbalimbali kuhusiana na Timu ya Taifa ya Brazil.
Nime attach full squad itakayoenda...
Baada ya kuwa timu ya kwanza kabisa kuifunga Ujerumani kwa mikwaju ya penalti katika historia ya Kombe la Dunia, sasa Paraguay inakabiliwa na nafasi ya kutinga robo fainali ikiwa itaweza kuwaondoa...
Ukiangalia ligi ya Tanzania kuna vituko sana na moja ya kituko ni mtu anakuambia simba ni timu bora na imeonewa na marefa ndo sababu ya kutokuchukua kombe ebu tuangalie takwimu zifuatazo
Timu...
Klabu ya Singida Black Stars imewasilisha rasmi malalamiko kwa mamlaka za soka nchini, ikiwemo Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), baada ya kutoridhishwa na mwenendo wa mchezo wao dhidi ya Simba SC...
Wakati Parade la Simba likiendelea kuelekea Jangwani watani wao Yanga wamemwaga Vifusi vingi kuzuia Parade hilo lisiingie kwenye eneo lao. Pia wamepaki Mabasi yao kuhakikisha Simba IRIZAR yao...
Aliyekuwa kocha wa zamani wa Simba Pablo Martin anaweza kubeba ubingwa wa Botola ligi kama inavyojulikana ligi ya Morocco baada ya kuongoza kwa pointi 56 na wapinzani wake wa karibu RS Berkane na...
Mabingwa mara tano wa Kombe la Dunia, Brazil national football team, watakutana na Norway national football team katika hatua ya 16 bora mjini New Jersey, huku Brazil wakipewa nafasi kubwa ya...
Mpaka sasa katika Kombe la Dunia 2026, mbio za Kiatu cha Dhahabu (Golden Boot) zinaongozwa na wachezaji hawa:
Kylian Mbappé (Ufaransa) – mabao 7.
Lionel Messi (Argentina) – mabao 7.
Erling...