Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Nchi ambayo imeshiriki mara nyingi Fainali kombe la Dunia ni: 1.Brazil ambayo imeshiriki mara 19, ikifuatiwa na 2.Germany na Italy zimeshiriki mara 17, 3.Argentina mara 15. 4.Mexico mara 14...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Asked who he believes the next African superstar will be, Wenger responded: “I don’t know the answer to that. There is no-one at the moment. But this World Cup will be a great opportunity to see...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ile shoo iliyokuwa ikipaishwa hewani kila Jumapili kupitia Kituo cha Televisheni cha TBC1, Serebuka imekula mwereka kusonga mbele baada ya muandaaji wake kushindwa kukidhi mahitaji ya washiriki...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
NILIPOSIKIA kuwa rafiki yangu Yusuf Manji amejitosa kuwa mfadhili wa klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam na amemwaga mamilioni ya fedha kwa ajili ya usajili wa wachezaji na mambo mengi lukuki...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
I hope this guy can someday make it to good European league. In many ways, the turning point of the contest came on 67 minutes, as Khalfan came on for Philippe Davies in what was the winger's...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya uhuru tulikuwa na mashindano yanitwa Gossage Cup. Mashindano haya yalikuwa yanadhaminiwa na kampuni ya madawa ya Gossage; mashinado haya hayakuwa na uhusiano na yale mashati ya Gossage...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Maoni ya katuni Hatimaye michuano iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa ya Kombe la Dunia imeanza jana nchini Afrika Kusini. Michuano hii itakayofikia ukomo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa watakaokuwa maofisini au sehemu yeyote wataopenda kufuatilia kwa kuona live video event za worldcup.hii ni baadhi ya mitandao unaweza kuona kama internet yako ina capacity nzuri ya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Huyu dogo aligeuka kuwa buruduni kule Brazil na hata kuchukua nafasi katika luninga za nchini humo
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa masikitiko makubwa na kwa mara ya kwanza kwa zaidi ya miaka 16, watanzania wengi (hasa walalahoi) hawatopata nafasi ya kuangalia michuano ya fainali za Kombe la Dunia linalotarajiwa kuanza...
0 Reactions
59 Replies
6K Views
Nelson Mandela's great-granddaughter has been killed in a car crash after a concert on the eve of the World Cup. Zenani Mandela, 13, died when travelling home after the concert in Soweto, the...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau...zikiwa zimebaki siku takribani 32 kuanza kwa Kombe la Dunia mwaka huu wa 2010 kule 'Bondeni' si vibaya tukaanza kujadili kwa kina kuhusiana na teuzi za timu pamoja na maandalizi ya timu za...
0 Reactions
208 Replies
18K Views
Nchi yetu kama kawaida hatuma katika mashindano ya world cup.jee ni nchi gani utaishangilia katika world cup. mimi nitaisapoti south africa all the way .zikifuatiwa na nchi za kiafrika zote.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakati tukiwa ktk countdown ya mechi ya kwanza kuanza kombe la dunia, kuna kitu bado nna hasira nacho kwa tabia ya makocha na wamekua wakiigana cjui kwa kutaka umaarufu au la pale wanapowaacha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wana JF, Natamani na mimi nikaache ka TV kangu (size yake nakajua) ila ningetaka sehemu ambapo WC itaonyeshwa LIVE kwenye big screen na penye washabiki. DAR popote nitakwenda ingawa prefarable...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Forward this to your bosses please or else you will get fired during this period. Dear Sir/Madam, I wish to let you know that the FIFA World Cup is about to begin. This is not just any...
0 Reactions
0 Replies
948 Views
Pele says Spain, Brazil are best teams Last Updated: Thursday, June 10, 2010 | 10:31 AM ET The Associated Press Brazilian football star Pele kisses the FIFA World Cup during its...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
They shall surely be missed sorely in South Africa: 1. Ronaldinho 2. Nani 3. Companero 4. Ballack 5. Essien 6. Ferdinand 7. Pato 8. Drogba? 9. Robben? 10. Cesar? 11. Tores?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna Concert live sasa hivi on ESPN!.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna mtu kanipigia simu kuniuliza kama ITV wataonyesha world cup live mechi zote? Kwa kweli nimeshindwa kumjibu eti itv wametangaza hayo? Wenye habari kamili tujuze maana nimeingia kwenye wavuti...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom