Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Nduguzanguni, wapenzi wa kabumbu..
Karibu katika ukumbi wenu muupendao ikiwa leo tarehe 15 mwezi wa nane, mwaka 2010, ni siku ile ambapo twakata utepe wa hiki kinyang'anyiro cha ligi bora zaidi kwenye sayari hii kama sio kwenye galaxi tuliyomo.
Basi wale wapenzi wenye mahaba na thread za vilabu sio mbaya mkichangia na huku, wajameni!!
Ratiba ya ufunguzi ni kama ifuatavyo:
Karibu katika ukumbi wenu muupendao ikiwa leo tarehe 15 mwezi wa nane, mwaka 2010, ni siku ile ambapo twakata utepe wa hiki kinyang'anyiro cha ligi bora zaidi kwenye sayari hii kama sio kwenye galaxi tuliyomo.
Basi wale wapenzi wenye mahaba na thread za vilabu sio mbaya mkichangia na huku, wajameni!!
Ratiba ya ufunguzi ni kama ifuatavyo:
Aug 14 11:45 GMT Tottenham Hotspur v Manchester City White Hart Lane
Aug 14 14:00 GMT Aston Villa v West Ham United Villa Park
Aug 14 14:00 GMT Blackburn Rovers v Everton Ewood Park
Aug 14 14:00 GMT Bolton Wanderers v Fulham Reebok Stadium
Aug 14 14:00 GMT Sunderland v Birmingham Stadium of Light
Aug 14 14:00 GMT Wigan Athletic v Blackpool The DW Stadium
Aug 14 14:00 GMT Wolverhampton Wanderers v Stoke City Molineux Stadium
Aug 14 16:30 GMT Chelsea v West Bromwich Albion Stamford Bridge