Full time Simba 1 Setif 3
aggregate 3-3
Simba wamesonga mbele kwa faida ya goli la ugenini
angalia goli la okwi hapa (mods mnaweza kunisaidia kuiweka hiyo video clip hap)...
majumuhisho ya mijadala yetu katika forums mbalimbali juu ya mwendo wa kusuasua kwa maendeleo ya soka nchini ni udhaifu kt uongozi wa vilabu na siasa, naombeni mawazo yenu wakuu
Wazee japo soka la bongo linanikera sana.....leo nitaufuatilia hu mtanange....nawaombea simba washinde......mji wa setif ni baridi kali kwa sasa ni 9°C ambayo itawaathiri sana wana simba.....
Akuna raha kama mtu anaejua ajui akajitapa na kuamini akuna mwingine kama yeye
kama vile niliota jana nikamwambia rafiki wangu shafii wa clouds simba watarudi kwa aibu dar kama uamini ni dk ya 79...
''When I left Barcelona, I said to myself: Im leaving the best team in the world but there is a person having a problem with me. Hes not a man, not telling me what the problem is. But without...
hadi dk 42 kipindi cha kwanza ,setif wanaongoza kwa bao moja,na simba wanacheza pungufu! Nyosho ametolewa kwa kadi nyekundu.source michezo na magic fm.
Hello sports guys,
I have just noticed that I cant access/see ss7 and ss10 on DSTV. I have suscribed to a Premium Package. Earlier i used to access these channels.Is anyone having an idea if...
SIMBA kesho inashuka kwenye Uwanja wa Mei 8, 1945, jijini Setif, Algeria; uwanja ambao una historia ya kipekee nchini humu.
Tarehe 8, Mei mwaka 1945, majeshi ya Ufaransa iliyokuwa ikiikalia...
Kuna taarifa zisizo rasmi kuwa Tibaigana na kamati yake kwa mara nyingine eti ameirudishia yanga Point zake tatu ambazo walikuwa wamepokwa juzi kwa kumchezesha Canavaro. kama kweli basi nitaachana...
unapozungumzia mchezo wa Soka basi kwa namna moja ama nyengine hutaacha kuitaja klabu ya soka ya AC Milan kuwa ndio timu ama Baba wa soka ulimwenguni.
Milan ni timu ya kila Siku, utawala wa...
Soka la Tz limekuwa halipandi kwa sababu za kuingiza siasa za Uyanga na Usimba katika mechi za kitaifa na kimataifa. Ninachoomba kwa sakata hili la Yanga kuhusiana na adhabu walizopewa, Yanga...
Marselle vs bayern munich
APOL vs real madrid
benfica vs chelsea
ac milan vs barcelona
semi final
marsell or munich vs apol or madrid
benifica or chelsea vs milan or barca
final...