Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Kama ulitazama 98, 02, 06, 10, 14, 18, 22 Basi jana ya 26 uliona bongo movie.
3 Reactions
25 Replies
505 Views
Baada ya France kufungwa na kupigiwa mpira mkubwa sasa kesho ni zamu ya Argentina ambaye kuanzia group stage mpaka quarter final amekuwa akicheza na vibonde pamoja na kubebwa na marefa Sasa kesho...
7 Reactions
27 Replies
808 Views
1. Lamine Yamal – mshambuliaji (FC Barcelona) 2. Pau Cubarsí – beki wa kati (FC Barcelona) 3. Gavi (Pablo Martín Páez Gavira) – kiungo (FC Barcelona) 4. Dani Olmo – kiungo mshambuliaji (aliwahi...
4 Reactions
39 Replies
618 Views
NYOTA wawili wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lisandro Martinez na Cristian Romero, walionekana wakikwepa kupeana mikono na Rais wa Marekani, Donald Trump. Ni wakati wa kukabidhiwa medali...
6 Reactions
28 Replies
710 Views
Rodri hana goal wala assist. Messi ana goli 8 na assist 4. Rodri mchezaji bora wa mashindano wakati Messi sio. Hii ni dhuluma ya wazi kabisa.
4 Reactions
34 Replies
656 Views
The World Cup is one of the biggest sporting events on Earth, but behind every match is a multi-billion-dollar business. ⚽💰 From global broadcasting rights and sponsorship deals to ticket sales...
0 Reactions
0 Replies
90 Views
  • Featured
Baada ya mchezo wa Ngao ya Jamii Agosti 12, 2026 wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga SC na Simba SC, timu hizo mbili zitaendelea na maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya NBC 2026/2027. Yanga SC...
2 Reactions
13 Replies
925 Views
Game lishamalizika kiroho. Kazi kwako mkamaria. Hawa Argentina hawana chao na kama Argentina watashinda hii WORLD CUP basi naomba kwa ridhaa yangu mwenyewe bila shinikizo kutoka kwa mtu yeyote na...
6 Reactions
18 Replies
347 Views
Usikubali timu yako wakahamia wale mashabiki wa Christopher ni kama wana laana Waliipa hype Ufaransa ona sasa wametupwa nje ya mashindano, leo watahamishia laana England. Huko napo watakula...
6 Reactions
66 Replies
1K Views
Kama shabiki wa Man united wa miaka zaidi ya 20 ambaye nilishuhudi nyakati nzuri za mafanikio ya Man united chini ya Sir Alex Ferguson na CEO David Gill, nawasiwasi nyakati zile nzuri zinaweza...
3 Reactions
2 Replies
140 Views
Kumekuwa na ubishi sana kuhusu yupi kiungo bora kati ya Bellingham & Pedri na viungo wengine … takwimu za Jude 👇 • Magoli 6, pasi 1 ya mabao, mara 4 kuwa Mchezaji Bora wa Mechi (MOTM), mechi 6...
1 Reactions
26 Replies
352 Views
Heshima anayopewa Leonel Mess na wachezaji wenzake wa Argentina, ni mchezaji mwingine yupi wa timu ya Taifa duniani anayepewa heshima kama hiyo?
6 Reactions
16 Replies
496 Views
Kadri Kombe la Dunia 2026 linavyokaribia tamati, mjadala kuhusu mshindi wa Ballon d'Or umechukua kasi. Miongoni mwa majina yanayotajwa zaidi ni nahodha wa Argentina, Lionel Messi, ambaye akiwa na...
6 Reactions
30 Replies
582 Views
Niliifahamu sura ya Messi kuwa ni mtu anapenda kuheshimiana, baada ya yule mchezaji mwenzake wa kumuita nani sijui, alikua na urafiki na mchezaji mwenzie wa hapo timu ya taifa ya Argentina. Huyo...
7 Reactions
90 Replies
2K Views
Hawa miamba wamefanya ulimwengu umefurahi sana kila mmoja kwa nafasi yake kwa kile ambacho wamekionyesha kwenye mpira wa miguu. Ni asilimia ndogo sana wanaweza kuwepo kwenye kombe lijalo la dunia...
6 Reactions
27 Replies
343 Views
Ubora wa mechi unachangiwa na vitu vingi mfano; intensity ya mechi,element of suprise,Level ya ushindani na ufundi,vibe la nje ya uwanja, mvuto wa wachezaji husika, n.k kwa mtazamo wangu Hizi ni...
0 Reactions
12 Replies
218 Views
Kabla kabisa ya Kombe la Dunia kuanza kwa Kujiamini kabisa Mwamba wa Michezo JamiiForums (nikiwa nimepata Tuzo hapa Jukwaani) miaka kadhaa imepita GENTAMYCINE timu zangu ambazo nilizichagua na...
7 Reactions
11 Replies
269 Views
Pongezi nyingi sana kwenu kwa kuonesha mechi zote 104 za kombe la dunia,wapo waliokejeli kuwa hamna huo uwezo,leo mmewazina midomo.
2 Reactions
10 Replies
193 Views
Katika Kombe la Dunia 2026, maelfu ya picha zimeonyesha matukio makubwa, furaha, huzuni na kumbukumbu ambazo zimebeba hadithi za mashindano haya na kila picha ina simulizi yake.
2 Reactions
1 Replies
174 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…