Baada ya France kufungwa na kupigiwa mpira mkubwa sasa kesho ni zamu ya Argentina ambaye kuanzia group stage mpaka quarter final amekuwa akicheza na vibonde pamoja na kubebwa na marefa
Sasa kesho...
NYOTA wawili wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lisandro Martinez na Cristian Romero, walionekana wakikwepa kupeana mikono na Rais wa Marekani, Donald Trump.
Ni wakati wa kukabidhiwa medali...
The World Cup is one of the biggest sporting events on Earth, but behind every match is a multi-billion-dollar business. ⚽💰
From global broadcasting rights and sponsorship deals to ticket sales...
Baada ya mchezo wa Ngao ya Jamii Agosti 12, 2026 wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga SC na Simba SC, timu hizo mbili zitaendelea na maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya NBC 2026/2027. Yanga SC...
Game lishamalizika kiroho. Kazi kwako mkamaria. Hawa Argentina hawana chao na kama Argentina watashinda hii WORLD CUP basi naomba kwa ridhaa yangu mwenyewe bila shinikizo kutoka kwa mtu yeyote na...
Usikubali timu yako wakahamia wale mashabiki wa Christopher ni kama wana laana
Waliipa hype Ufaransa ona sasa wametupwa nje ya mashindano, leo watahamishia laana England. Huko napo watakula...
Kama shabiki wa Man united wa miaka zaidi ya 20 ambaye nilishuhudi nyakati nzuri za mafanikio ya Man united chini ya Sir Alex Ferguson na CEO David Gill, nawasiwasi nyakati zile nzuri zinaweza...
Kumekuwa na ubishi sana kuhusu yupi kiungo bora kati ya Bellingham & Pedri na viungo wengine … takwimu za Jude 👇
• Magoli 6, pasi 1 ya mabao, mara 4 kuwa Mchezaji Bora wa Mechi (MOTM), mechi 6...
Kadri Kombe la Dunia 2026 linavyokaribia tamati, mjadala kuhusu mshindi wa Ballon d'Or umechukua kasi. Miongoni mwa majina yanayotajwa zaidi ni nahodha wa Argentina, Lionel Messi, ambaye akiwa na...
Niliifahamu sura ya Messi kuwa ni mtu anapenda kuheshimiana, baada ya yule mchezaji mwenzake wa kumuita nani sijui, alikua na urafiki na mchezaji mwenzie wa hapo timu ya taifa ya Argentina.
Huyo...
Hawa miamba wamefanya ulimwengu umefurahi sana kila mmoja kwa nafasi yake kwa kile ambacho wamekionyesha kwenye mpira wa miguu.
Ni asilimia ndogo sana wanaweza kuwepo kwenye kombe lijalo la dunia...
Ubora wa mechi unachangiwa na vitu vingi mfano; intensity ya mechi,element of suprise,Level ya ushindani na ufundi,vibe la nje ya uwanja, mvuto wa wachezaji husika, n.k
kwa mtazamo wangu Hizi ni...
Kabla kabisa ya Kombe la Dunia kuanza kwa Kujiamini kabisa Mwamba wa Michezo JamiiForums (nikiwa nimepata Tuzo hapa Jukwaani) miaka kadhaa imepita GENTAMYCINE timu zangu ambazo nilizichagua na...
Katika Kombe la Dunia 2026, maelfu ya picha zimeonyesha matukio makubwa, furaha, huzuni na kumbukumbu ambazo zimebeba hadithi za mashindano haya na kila picha ina simulizi yake.