Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Ila sisi watu weusi sijui tumelaaniwa yaani watu na akili zao wanaamua kuweka mfumo wa uchaguzi wa kinafki . Halafu wanashupalia kichwa kwamba uchaguzi ni wa uhuru wa haki na kidemokrasia...
0 Reactions
0 Replies
170 Views
🔮 Final Prediction: 🟢 Young Africans Sports Club is favored to win or draw, based on: Match and name numerology (4) Capricorn Moon (structure, defense) Astrological support from Venus and Saturn...
0 Reactions
1 Replies
490 Views
Mshambuliaji wa Liverpool Mohamed Salah ni miongoni mwa wachezaji wanao wania tuzo ya professional footballers associations players player of the year award 2025. Mabingwa hao wa premier...
0 Reactions
6 Replies
599 Views
Oya wadau wa kandaa, leo nimewaza tu kwa sauti kwa maana nimeona unazi wa Simba na Yanga unazidi kuongezeka kadri siku zinavyoenda hivyo kufanya usalama wa waamuzi pamoja na familia zao kuwa...
6 Reactions
55 Replies
2K Views
Wakuu Kuna jambo la hatari linatokea Kila nikiangalia namna Simba inaweza kushinda derby ya tarehe 25 .....ghafla usingizi mazito unanipata nashtuka kesho yake Lakini Kila nikiiwazia Yanga...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Wakati mashabiki wengi wanasema timu isicheze. Sasa nyie pelekeni lakini muombe Mungu Simba ishinde tu. Itokee ifungwe mtawaeleza nini mashabiki wu
2 Reactions
5 Replies
536 Views
Wakuu, hii ni bold prediction yangu kwa fainali za NBA mwaka huu: ➡️ Indiana Pacers watachukua ubingwa kwa jumla ya michezo 4-2 dhidi ya Oklahoma City Thunder. Kwa waliokuwa na usingizi Game 1...
2 Reactions
20 Replies
644 Views
Hivi karibuni sakata la kufungiwa kwa Msemaji wa klabu ya Yanga, Haji Sande Manara "Bugati" limeshika kasi katika tasnia ya michezo nchini, lakini mtiriko wa matukio ya kuichafua tasnia ya soka...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Nimekuwa nikishuhudia mauza uza katika mechi nyingi za derby na kunifanya nizidharau sana na kwamba wanaoumia na matokeo hayo wengi wana Matatizo mengine ya kiakili. Kama TFF wamekubali kuleta...
3 Reactions
6 Replies
620 Views
Unajua watanzania pamoja na kupenda kwetu hizi timu za kurithi, tuamue nini hasa ni muhimu kwa taifa hili na katika maisha yetu. Embu msikilize huyu mwamba anachosema kuhusiana na derby ya...
0 Reactions
1 Replies
473 Views
Oklahoma city thunder wameshinda ubingwa wa NBA kwa msimu wa 2024/2025 baada ya kuwatandika vikali Indiana pacers kwa vikapu 103-91 katika mechi ya saba wa mfululizo wa fainali hizo. Oklahoma city...
4 Reactions
9 Replies
532 Views
Game zote mbili alizocheza KAINGIZWA DAKIKA 5 ZA MWISHO
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Nyota wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Ally Mayay Tembele, amepata msiba baada ya leo Juni 16, 2025 kufiwa na baba yake mzazi. Mhasibu wa Chama cha Wachezaji wa Zamani Tanzania (Galacticos)...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Yanga nimewanyooshea mikono maana mmeamua kuonyesha makucha yenu. Kwa nguvu zenu viongozi wametimuliwa kuanzia Bodi hadi TFF. Sasa mnaenda kumn'goa kiranja mkuu Wallace Karia na kusimika mtu wenu...
5 Reactions
43 Replies
2K Views
Nina uhakika 💯 Simba hataleta timu Vikao vya ndani vya Simba vimeshaamua kutokucheza Kwa sababu zifuatazo. 1. Kuonyesha msimamo wao. Simba washataarifu umma kuwa hawatacheza tarehe ikibadilisha...
9 Reactions
36 Replies
2K Views
Taarifa Kutoka Shirikisho la mpira wa miguu TFF imeeleza kuwa mwenyekiti wa Bodi ya ligi Steven Mnguto amewasilisha barua ya kujiuzulu nafasi yake. Aidha Kwa upande mwingine Rais wa TFF Wallace...
10 Reactions
232 Replies
13K Views
Joan Garcia aliekuwa kipa wa Espanyol amepata vitisho kutoka kwa mashabiki wa timu hiyo, baada ya kukamilisha dili lake la kutimkia Barcelona. Baadhi ya marafiki zake wa karibu wanamuunga mkono...
2 Reactions
0 Replies
238 Views
Habarini wana jamvi. Sina mengi ya kuelezea ila hii issue ya BETTING tu, nimejitolea maeneo fulani na kwa mwezi naingiza 250K lakini nikiangalia maendeleo yangu tangu 2022 ni sawa na ziro, sina...
15 Reactions
62 Replies
3K Views
Karibu kwenye hekaheka za NBC PL za mwisho wa msimu. Leo katika uwanja wa new Amaan complex mabingwa watetezi wa league ya NBC young African SC watakuwa wenyeji wa walima zabibu kutoka mkoani...
3 Reactions
32 Replies
4K Views
Wakuu Simba mnyama leo majira ya saa kumi kamili kwa saa za Africa masharki watashuka dimbani uwanja wa manispaa ya Kinondoni kuwakaribisha matajiri wa sukari mkoani Kagera, Kagera Sugar FC...
-1 Reactions
24 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…